18 Apr 2008

Katika picha hapo chini,treni ikikatiza kwenye railway crossing hapo jana.Almanusura itokee ajali mbaya laitimzalendo mmoja asingemshtua dreva kwamba anaona moshi wa treni kwa mbali.Yaani hakuna namna kwa mwenye gari kufahamu awapo kwenye railway crossing iwapo garimoshi linakuja au la.














Picha ya chini ni kwa ajili ya tafakuru:hivi hayo maisha bora kwa kila Mtanzania yatawezekana vipi kwa mkazi wa nyumba hiyo pichani ilhani akina Chenge wanadai dola milioni moja za ufisadi ni vijisenti?Hii ndio Bongo


0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.