27 Jun 2007

MUNGU AILAZE MAHALI PEMA PEPONI ROHO YA MAREHEMU AMINA CHIFUPA

Ni vigumu kuamini lakini ndio imetokea.
Bwana ametoa Bwana ametwaa
Kila mmoja atamkumbuka Amina
Hasa katika vita yake dhidi ya wauza unga
Rest in peace,Amina

Yatasemwa mengi
Yakiwamo na ya uzushi
Hiyo haitusaidii
Sana itazidisha hudhuni
Tumwombee apumzike kwa amani

Zitasomwa rambirambi
Za wabunge na mawaziri
Lakini ili zisiwe za kinafiki
Aloanzisha AMINA muyaenzi
Kwa maslahi ya wananchi

REST IN PEACE,AMINA

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.