29 Sept 2008

Shirika la Ujasusi la Uingereza (MI6) limeanza kutumia mtandao wa Facebook katika harakati zake za kusaka majasusi watarajiwa.Mpango huo wa mashushushu hao umeanza takriban wiki mbili zilizopita na unalenga kupata waajiriwa wapya kutoka katika kaliba mbalimbali za jamii.
Source: The Guardian


0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.