18 Sept 2008









Picha ya hapo juu inafurahisha.Ndio namna jamaa wa The Huffington Post wanavyo-summarize masahibu yanayomkumba John McCain.Kwa mujibu wa Gallup polls,Barack Obama amefanikiwa kumwengua McCain kwenye kura za maoni ikiwa ni mara ya kwanza tangu mgombea huyo wa Republicans apande chati kufuatia convention ya chama hicho hivi karibuni.Zaidi,angalia video hii hapa chini


0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.