11 Oct 2008



The next Vice President of the United States,John McCain!?(Tena kwenye mkutano wa kampeni kwa ajili ya Joe Biden!?) Pengine sio kosa lake kwani huyo jamaa,Jim Pacillo, aliyechemsha katika kum-introduce Biden,amepata ridandansi kazini kwake hivi karibuni (pengine kichwa hakijatulia vizuri),na pia ni ,mfuasi wa Republican lakini anayewasapoti Obama na Biden ( ukibadili dini inachukua muda kutofautisha padri au shehe).

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.