Showing posts with label ODD STUFFS. Show all posts
Showing posts with label ODD STUFFS. Show all posts

30 Apr 2010

Mtakatifu au mzushi?

Raia mmoja wa India amegusa hisia za jeshi la nchi hiyo kutokana na madai yake kwamba haitaji chakula wala maji kumudu kuishi.Prahlad Jani anadai yeye ni 'breatharia',yaani mtu anayeweza kuishi kwa kutumia nguvu za asili za kiimani.Anadai anapata nguvu hizo za asili kutoka kwa 'mungu wa kike' anayemmwagia kimiminika (elixir)cha miujiza katika paa la chini la mdomo wake (palate),kwa mujibu wa gazeti la Telegraph la London. 


Wakati baadhi ya watu wanamwona kama 'mzushi' flani,taasisi ya maendeleo ya utafiti wa ulinzi inasema Prahlad anaweza kutoa mwangaza katika kuwasaidia wanajeshi kumudu kukaa muda mrefu bila kula,au hata wahanga wa majanga mbalimbali.Hadi sasa amekaa siku sita bila kula au kunywa chochote katika hospitali iliyopo Hyderabad,na madaktari wanasema haonyeshi dalili yoyote ya kuathiriwa na njaa.

"Ikithibitika kuwa madai yakni sahihi,basi itakuwa hatua kubwa sana kwenye sayansi ya tiba",anasema Dkt G.Ilavazhagan,Mkurugenzi wa Taasisi ya Ulinzi ya Fiziolojia na Stadi Shiriki."Itatuwezesha kuokoa maisha ya wanadamu katika nyakati za majanga,kimo cha juu,safari za majini,na mazingira mengine magumu ya kibinadamu na ya asili.Tutaweza kuwaelimisha watu kuhusu namna ya kustahimili (surviving) mazingira magumu pasipo chakula na maji au chochote kile".

Madaktari wataendelea kumchunguza kwa siku 15 kipindi ambacho wanataraji kuona misuli yake ikisinyaa,upungufu mkubwa wa maji mwilini,kupungua uzito wa mwili na baadhi ya viungo vya mwili kushindwa kufanya kazi.

Binadamu wengi hawawezi kustahimili zaidi ya siku 3 hadi 5 pasipo kunywa maji.

Imetafsiriwa kutoka gazeti la Daily News la India.

24 Mar 2009

BONYEZA HAPA kusoma kimbwanga hiki.

1 Dec 2008


People may be tightening their belts to cope with the credit crunch, but their favourite free leisure activity involves whipping off their undies for a quick roll in the hay, a new poll showed on Monday. Skip related content

However the overall figure disguised a stark difference between men and women, with female respondents preferring a good gossip to a good time between the sheets.

According to an online YouGov survey, 37 percent of people rank having sex at the top of their list of activities that don't cost a penny.

That was more than the next three highest options combined -- gossiping with friends (18 percent), window shopping (nine percent) and going to a museum (six percent).

"During the credit crunch our famed British upper lip might not be as stiff as before but other parts still are," said Lisa Power, head of policy at the Terrence Higgins Trust, the sexual health charity that commissioned the poll.

However, while 53 percent of men ranked sex as number one, only 21 percent of women put sex top of their list, with 28 percent saying they preferred gossiping with friends.

It also showed that passion levels may be tied to the cold weather, with 43 percent of Scots rating sex as their favourite free passtime, compared to 35 percent of Londoners.

In a separate study, the Institute for Social and Economic Research at the University of Essex found that declining house prices was increasing the risk of divorce.

The study, published in September, found that "negative house price shocks significantly increase the risk of partnership dissolution".

The YouGov survey interviewed 2,144 people over the Internet between November 21 and 23.

MEANWHILE




French say they need biggest condoms

The French say they need the largest condoms in Europe while Greeks get by on smaller ones, according to a Europe-wide study by a German consultancy that provides advice on condoms. Skip related content

The study by the Singen-based Institute of Condom Consultancy was done by asking 10,500 men in 25 countries to measure their penis and enter the number into a database.

The results show Frenchmen on average claim to need 15.48-cm (6.09-inch) long condoms, about 3 cm longer than Greeks, whose condom-size requirement was the most modest.

Jan Vinzenz Krause, the institute's director, told Reuters Friday the data was collected over a period of eight months.

He did not want to comment on how honest he thought the Frenchmen had been in reporting the data.

The survey was aimed at educating youngsters about the importance of effective contraception.

The institute also offers online condom-size advice and hosts "Pimp Your Condom" -- an annual fair organised in cooperation with the national Aids Trust -- with the aim of educating teens about sexually transmitted diseases.

Krause was in the spotlight in the past when he produced a prototype of the "spray-on condom" -- an aerosol can which contains latex that creates a perfectly fitting condom. But the idea was not developed further.

SOURCE: Yahoo! News


13 Nov 2008


A Montreal man serving time for drug smuggling has walked to freedom after authorities said he was too fat to be kept in jail. 

Michel Lapointe - also known as Big Mike - was set free three months before his scheduled release date because his 30st weight was making prison life "hell".

The 37-year-old had served 25 months for drug trafficking, conspiracy and gangsterism.

"In the end, some might say he got off easy," Mr Lapointe's lawyer Clemente Monterosso was quoted as saying by Canada's Globe And Mail newspaper.

"But he didn't choose to be morbidly obese. This man is a colossus."

Lapointe reportedly could not fit his legs under the prison tables for meals and his mattress was too narrow to accommodate his bulk.

He also complained he could not shower properly.

Footage from Canadian broadcaster CTV showed the outsize prisoner heading to court.

The Quebec parole board cited his good behaviour, his non-violent crime and the support of his wife and mother, along with his weight as reasons for his early release.

"You have been incarcerated for over 25 months and your prison conditions are difficult because of the state of your health," the board said in its report.

Following his release, Lapointe told reporters he was looking forward to getting on with his life.

SOURCE: Sky

12 Nov 2008

7 Nov 2008


For more,CLICK HERE.

30 Oct 2008

Bosi mmoja wa kampuni ya ujenzi aliamua kutumia nyenzo zake za kazi kulipiza kisasi kwa jamaa aliyempora mpenzi wake.Alipopata nafasi mwafaka ya kulipa kisasi akachukua greda/kijiko na kwenda kupondaponda gari ya "mwizi" wake (hiyo hapo pichani chini).BEWARE!

23 Oct 2008



Zaidi kuhusu kioja hiki BONYEZA HAPA.

15 Oct 2008

Black police officer 'wore traditional African robe to work in protest over dress code'

Last updated at 5:11 PM on 14th October 2008

Paul Bailey

Detective Constable Paul Bailey was found guilty of wearing an African robe, arguing with a senior officer and disputing his appraisal at a tribunal

A black policeman wore a traditional African robe to work after an argument over the force's dress code.

Unhappy with wearing a necktie to work, Detective Constable Paul Bailey, 39, decided to don the traditional robe.

His bizarre protest came after a number of disputes with senior officers over his behaviour and attitude on the force.

After a disgreement over his work appraisal, the detective accused five senior officers at Greater Manchester Police (GMP) of racial discrimination.

A full investigation in his claims was launched by the neighbouring West Yorkshire Police but his complaint was later found to be unsubstantiated.

But senior officers then launched a two-year inquiry into the behaviour of the detective which ended in a tribunal last week.

Following the hearing he was found guilty of wearing the robe, arguing with a senior officer over the force policy on neck ties, disputing his appraisal in an unprofessional way and appearing to look disinterested during briefings.

The panel found the incidents represented a 'continuing course of conduct' and that over a long period of time his 'behaviour was unacceptable'. But the panel ruled he should not face any disciplinary action.   

Mr Bailey, 39, who has been an officer for 18 years and has several commendations for his work, denied the claims.

Last night the Black and Asian Police Association (BAPA) said the investigation had only been launched because the detective had made an unsuccessful complaint of racial discrimination against the force.

African robe

A traditional African robe similar to the one Detective Constable Paul Bailey wore in protest against the force's dress code

Mr Crichlow from BAPA said: 'Paul Bailey has been victimised because he has made a complaint.

'He raised an issue to try to help the force and as a result they try to shoot him down in flames.

'There will have to be a health warning on GMP's equal opportunities policy. It is dead in the water and not worth the paper it is written on.

'If somebody comes to me for advice about what to do about an issue of concern I will have to tell them, you can make a complaint, but I can't guarantee you won't be victimised as a result.

'It means people will be very reluctant to raise issues of concern in the future.'

Assistant Chief Constable Terry Sweeney said: 'The individual made a complaint of racism which was independently investigated by West Yorkshire Police. 

'The force found no evidence of racism, but advised that GMP should consider taking action against the officer for breaches of the police code of conduct.

'We took further independent advice and considered the issues against force policy before deciding the most appropriate action was to proceed to a misconduct tribunal.  

'The panel found that the officer had breached misconduct rules on four occasions but decided that no sanctions should be taken against the individual. 

'Consideration was taken of the length of time between the complaints and the hearing, and the fact that the officer's performance was reported to have improved.'

Mr Bailey has taken legal advice and is taking the force to a employment tribunal on the grounds of racial discrimination.

Mr Sweeney said: 'As we are aware there is an employment tribunal pending, it would be inappropriate for us to comment further.'

Mr Bailey refused to comment.

The Met Police is mired in controversy and infighting after the country's top Asian policeman Tarique Ghaffur, was put on gardening leave and another senior ethnic minority officer, Commander Ali Dizaei, was suspended last month over misconduct allegations.

The Met Commissioner Sir Ian Blair was forced to step down after Mayor of London, Boris Johnson, said he had no confidence in him.

Source: Daily Mail



11 Oct 2008



The next Vice President of the United States,John McCain!?(Tena kwenye mkutano wa kampeni kwa ajili ya Joe Biden!?) Pengine sio kosa lake kwani huyo jamaa,Jim Pacillo, aliyechemsha katika kum-introduce Biden,amepata ridandansi kazini kwake hivi karibuni (pengine kichwa hakijatulia vizuri),na pia ni ,mfuasi wa Republican lakini anayewasapoti Obama na Biden ( ukibadili dini inachukua muda kutofautisha padri au shehe).

9 Oct 2008

Hii haijatulia,labda mizimu ilikuwa na beef na anayetambika.Hebu imagine,mnakwenda mtoni au baharini kufanya tambiko halafu mwenzetu anazama wakati wa shughuli hiyo!Haitashangaza baadhi ya watu wakikimbilia kudai kuwa huenda kuna miiko ilikiukwa ndio maana mwenzenu kazama na si ajabu wengine wakihitimisha kuwa "aah wapi,yule alikuwa kigagula ndio maana kasombwa na mkondo wa maji wakati wa tambiko."Kifo ni kifo,na siku zote kinahuzunisha.Lakini kuna wakati waombolezaji wanashindwa kujizuia kucheka kwenye matukio kama ya mtu anayekufa kwa kutumbukia kwenye pipa la chimpumu wakati anapima alcoholic content au  mtu aliekutwa na mauti huko kijijini baada ya kuanguka juu ya ukuta wakati anamchungulia mrembo aliyekuwa anaoga kwenye bafu lenye uwa wa makuti (kozimani,peeping tom au mpiga chabo).Anyway,Bwana hutoa Bwana hutwaa,Jina Lake Lihimidiwe milele.Zaidi BONYEZA HAPA

29 Sept 2008


Tragic or funny?You decide.Read the whole story HERE


23 Sept 2008



CAUTION:Some explicit words in the clip below



They say Crack is dangerous but these guys don't seem to get it.



Should we feel sorry for this model or just laugh like those guys on telly?



Oh God!!!



Some rules...


And finally,these kids....




19 Sept 2008












18 Sept 2008

Mlimbwende hapo juu anauza bikra (virginity) yake kwa Euro MILIONI 1 (takriban Dola za Kimarekani Milioni 1.43  au Pauni za Kiingereza Laki 7 na ushee au Shilingi za Kibongo Bilioni 1 na milioni mia 6).Tamaa ya fedha au ndio kuthamini assets zake?Stori nzima BONYEZA HAPA

12 Sept 2008

Suala la Health and Safety ni miongoni mwa vipaumbele vikubwa kwa hawa wenzetu wa nchi zilizoendelea.Lakini inapofikia hatua ya kung'oa kwa makaburi in the name of health and safety,yayumkinika kuamini kuwa hawa wenzetu nao wakati mwingine wana maamuzi as if vichwani mwao kuna mapovu badala ya ubongo.Hebu soma KIOJA HIKI CHA HAPO LONDON

Kama kioja hicho hakijakuchekesha,vipi kuhusu hiki cha Mmasai aleyekwenda Mombasa kwa matarajio ya kudaka mwanamama mtalii mzungu amuoe lakini akajikuta akiishia kuwa msusi!Bingirika na kioja hiki HAPA

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.