2 Nov 2008


Comedians flani wamemuingiza mkenge Gavana Sarah Palin kumuaminisha kuwa anaongea na Rais wa Ufaransa Nicholas Sarkozy.Sikiliza kichekesho hicho kwa ku-click link ifuatayo hapa chini:


Talking of Gov Palin,kituko kingine ni kwamba katika mkutano wake wa kampeni huko Polk City,Florida jina la mgombea mwenza wake,John McCain,was surprisingly missing kama inavyoonekana katika picha ifuatayo hapo chini.Au ndio ameshaanza kampeni za 2012?


0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.