23 Jul 2011


Tunasikitika kuwatangazia kifo cha
Machira  NYITAMBE

Kilichotokea mchana leo huko  MUSOMA-TANZANIA

Mazishi yatafanyika huko Kirongwe, Shirati, katika mkoa wa Mara.


Marehemu ni baba mzazi wa:

Mrs Veronica Dibogo Nyitambe
Mrs Beatrice Nyitambe(Baba Mdogo)
Mr Soni Nyitambe (Baba Mdogo) ,


ambao wote wapo hapa Uingereza.

Msiba upo
14 Rothwell Walk
Caversham
Reading

RG4 5DB

Kwa mawasiliano zaidi tumia simu zifuatazo:
Bernard Chisumo
Mob: (0) 787 612 6862
Home: (0) 118 954 5890 
---------------------------------------------------------------- 

POLENI SANA WAFIWA.SIE TULIMPENDA MAREHEMU LAKINI BWANA ALIMPENDA ZAIDI

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.