22 May 2012

Kwanza ninawashukuru wote walionipatia mchango wao wa mawazo kuhusu idea hii ya Makala za Sauti.Ninasema ASANTENI SANA.Pili,wengi wa mlionitumia maoni yenu mmezungumzia uhafifu wa sauti.Nimelifanyia kazi hilo na ndio iliyopelekea kutengeneza makal nyingine leo ili kupata mawazo kama kiwango na ubora wa sauti vinaridhisha.

Kwahiyo,makala ya leo imelenga zaidi kutoa shukrani kwa mapokezi niliyopewa kuhusiana na makala za sauti,na kidogo nimejaribu kuongelea jinsi kila mmoja wetu anavyoweza ku-play role yake katika kuifanya Tanzania yetu kuwa bora zaidi.

Basi naomba nikuache unisikilize hapa chini

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.