11 Aug 2013


Wasanii wawili wakongwe wa Bongoflava, Mwana FA na AY wapo nchini Afrika Kusini kurekodi video kwa ajili ya wimbo wao mpya wa Cheza Bila Kukunja Goti waliomshirikisha msanii mahiri kutoka Nigeria J. Martins.

Kwa mujibu wa taarifa nilizopewa na Mwana FA mwenyewe, wasanii hao pia jana walifanya 'shoo ya kufa mtu' jijini Pretoria.

Kaa mkao wa kula kusubiri video ya kiwango cha kimataifa kutoka kwa wasanii hao bora kabisa nchini Tanzania.

Sikiliza wimbo huo hapa chini



0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.