
Tafsiri ya alichoandika Chiume, rafiki yangu mmoja huko Twitter na Facebook, ni hii:
"Utasalmu amri kwa intaneti. Duka hili katika kitongoji cha Sinza, Dar,linatumia picha yetu ya harusi. ambalo ni jambo la kufurahisha/kupendeza lakini ingekuwa vema kama tungelipwa! Kuna mwanasheria yeyote mzuri (wa kufuatilia ishu hii?) Lol! Asanteni aliyeleta picha na 'aliyetutonya' kuhusu ishu hii, ambayo 'tumekanusha' kwa kudai ni kushabihiana tu."
0 comments:
Post a Comment