
Tafsiri ya alichoandika Chiume, rafiki yangu mmoja huko Twitter na Facebook, ni hii:
"Utasalmu amri kwa intaneti. Duka hili katika kitongoji cha Sinza, Dar,linatumia picha yetu ya harusi. ambalo ni jambo la kufurahisha/kupendeza lakini ingekuwa vema kama tungelipwa! Kuna mwanasheria yeyote mzuri (wa kufuatilia ishu hii?) Lol! Asanteni aliyeleta picha na 'aliyetutonya' kuhusu ishu hii, ambayo 'tumekanusha' kwa kudai ni kushabihiana tu."






 23.7.14
23.7.14



0 comments:
Post a Comment