24 Aug 2014

Leaving: Brown is seen walking to his Lamborghini after the drama at 1Oak in Los Angeles
Chris Brown akielekea kwenye Lamborghini lake kuondoka katika klabu ya usiku palipotokea shambulio la risasi
Prodyuza Marion Suge Knight (pichani chini) amejeruhiwa kwa risasi amejeruhiwa kwa risasi katika shambuli lililotokea katika pati iliyokuwa ikiendeshwa na msanii Chris Brown.
Music producer Suge Knight has been injured during a shooting at an awards show party at a Los Angeles nightclub hosted by singer Chris Brown, it has been reported
Mashuhuda wanaeleza kuwa msanii huyo ambaye bado yupo katika msamaha wa uchungu (parole) baada ya kutoka jela hivi karibuni ndiye alikuwa mlengwa wa shambulio hilo, ambapo alikuwa MC wa pati ya utangulizi wa Tuzo za Video za Muziki (MVA) zitakazofanyika leo usiku (kwa saa za Marekani).
OK now: Brown smiled as he left the nightclub where he was reportedly targeted by a gunman
Inadhaniwa kuwa Chris hakuumia katika shambulio hilo, lakini watu wengine watatu, akiwemo Suge Knight, mwanzilishi wa lebo ya muziki ya Death Row Records iliyokuwa ikitumiwa na msanii mwingine maarufu wa nchi hiyo, Marehemu Tupac Shakur, walijeruhiwa na kupelekwa hospitali ya Cedar's Sinai. Inaelezwa kuwa mmoja wa majeruhi hao yupo taabani.
Witnesses: Partygoers talk to emergency personnel after the shooting 
Mwanamitindo na mcheza filamu Tyson Beckford na memba wa kundi la Black Eyees Peas Apple De Ap walikuwa miongoni mwa waliohudhuria pati hiyo, na walieleza kuwa walisikia sauti nne za risasi mida ya saa 7.30 alfajiri ya kuamkia leo.
Treatment: Another victim is fitted with a neck brace following the dramatic shooting
Majeruhi akitibiwa
Suge Knight ambaye kwa sasa anamiliki kampuni ya muziki ya Black Kapital Records alionekana na polisi  nje ya ukumbi baada ya shambulio hilo na akachukuliwa katika gari la kubeba wagonjwa. Inaelezwa kuwa alipigwa risasi mbili, na kujeruhiwa tumboni na mkononi na sasa anafanyiwa upasuaji.
Host: Brown enjoys the party before the alleged shooting took place
Chris Brown 'akijirusha' kabla ya shambulio
Waliofanya shambulio hilo walikamatwa na polisi ambao sasa wanaendelea na uchunguzi wa tukio hilo.

Mastaa wengine waliokuwa kwenye pati hiyo ni pamoja na Justin Beiber na rapa The Game.
Guests: Justin Bieber (right) was among the guests at the VMA Pre-Party hosted by  Brown
Justin Beiber alikuwa miongoni mwa waliohudhuria pati hiyo, kama ilivyokuwa kwa rapa The Game (pichani chini)

Jayceon Terrell Taylor, aka The Game attends a VMA Pre-Party hosted by Chris Brown and Pia Mia
Iliposikika milio ya risasi hizo, Chris Brown alionekana akiruka kuelekea kwenye eneo la baa katika klabu hiyo ya usiku (nightclub), huku kwa hasira akiwaagiza watu wengine kujikinga.
Aftermath: Brown jumped on a table after the shooting, apparently furious at what had taken place
Chrsi Brown akiruka kuelekea eneo la baa baada ya milio ya risasi
Saa 12 kasorobo asubuhi ya leo, msanii huyo alitwiti


Akimaanisha 'Jamii haiwezi kustarehe au kuburudika pasipo mikwaruzo.'
Injured: Another victim is transferred into an ambulance in a stretcher
Majeruhi wakiingizwa kwenye gari la kubebea wagonjwa
Angry: Brown at first appeared to still be furious when he made his way from the West Hollywood club
Chris Brown akiwa ametahayari baada ya shambulio hilo



CHANZO : The Mail Online




0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.