23 Apr 2015


Unapoingia mtandaoni kwa minajili ya ku-search kitu, uwezekano mkubwa utaenda kwenye mtambo wa kutafuta habari (search engine) wa Google. Sasa, kwenye mtandao huo, ukiingiza neno pale kwenye kiboksi cha kutafutia habari, wenyewe utaanza kubashiri maneno kulingana na herufi husika zinavyotengeneza neno. Mfano rahisi ni huo pichani juu.Ukitafuta 'What is Tanzania..." kabla hujamaliza, Google itaanza kukupa ubashiri wa unachotafuta. Kitu hicho kinajulikana kama Google autocomplete

Sasa hapa chini ni ramani ya dunia kwa mujibu wa Google autocmplete. Yaani ramani hiyo ya dunia, na kama ilivyogawanywa kwa kila bara ni kwa mujibu wa jinsi watu wanavyo-search habari kuhusu nchi husika. Kwa mfano autocomplete searches nyingi kuhusu Canada ni passport, kwa Brazil ni makahaba...na kwa Tanzania yetu ni SAFARI...Well, sio BIA YA SAFARI bali safari za utalii.


Null


Null



Null

Null

Null

CHANZO: i100


0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.