Tarehe kama ya leo miaka 7 iliyopita (29/05/2008), mama yangu mzazi Adelina Mapango (Mama Chahali) alifariki. Kifo chake kimeacha pengo kubwa lisilozibika-kwa mumewe (yaani baba) walodumu katika ndoa kwa miaka 53, kwa sie wanawe wanane, na hasa kwa vitinda mimba Kulwa na Doto ambao kwao marehemu alikuwa ni zaidi ya mzazi kwao bali rafiki pia. Miaka 6 imepita lakini uchungu moyoni ni kama kifo hicho kimetokea leo. We miss you so much mama. We stiĺl and will always love you. May your soul rest in eternal peace. Amen!
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Tuzidi kumwombea mama yetu. Roho ya marehemu itarehe kwa amani. Amina
ReplyDelete