Showing posts with label Joshua the Kenyan. Show all posts
Showing posts with label Joshua the Kenyan. Show all posts

16 Jul 2012

 Sehemu ya kilichojiri Kanisani kwa mchungaji Gwajima, jumapili ya leo, pale mchungaji huyo mashuhuri nchini alipokuwa akikanusha kuwa kuna mtu mwenye asili ya Kenya ambaye alifika kanisani kwake kukiri na kutubu dhambi ya kuhusika kwake katika utekwaji na uteswaji wa Dr. Ulimboka, kama ambavyo jeshi la Polisi liliarifu hivi karibuni 

 Video na caption kwa hisani za Da Subi na Jukwaa Huru

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.