Pichani juu ni mwanamuziki mahiri kutoka nchini Jamaika,Shaggy,akisimikwa uchifu wa kabila la Wasukuma.Picha ya chini ni wasanii wawili mahiri kabisa wa Kitanzania,Profesa Jay na MwanaFa "wakikamua" (kama wanasemavyo watoto wa mjini).Na picha ya mwisho chini ni wasanii hao wakiwa na msanii mwingine mahiri Chid Benz.Swali la kichokozi: kwa kumpa Shaggy uchifu badala ya wasanii wetu wa ndani,haimaanishi kasumba ya kuthamini mno vya nje kuliko vya ndani?Nishasema ni swali la kichokozi,nothing serious anyway.And dont get me wrong,I like Shaggy,who I rate as one of the most down-to-earth celebrities.
Mwalimu wangu Profesa Matondo unasemaje kuhusu hili?Na MwanaFA una lolote la kuchangia?
Mwalimu wangu Profesa Matondo unasemaje kuhusu hili?Na MwanaFA una lolote la kuchangia?