Showing posts with label TP MAZEMBE. Show all posts
Showing posts with label TP MAZEMBE. Show all posts

3 Apr 2011


Japo mechi ni ngumu sana,na maandalizi yalikuwa duni, historia ya Wana-Msimbazi Simba Sports Club kwenye michuano ya kimataifa ni ya kupigiwa mstari.Na hilo linatupa matumaini ya kuweka historia nyingine kwa kuwafunga hao Wakongomani TP Mazembe na hatimaye kuwavua ubingwa.

Laiti Mazembe wangekuwa na uhakika wa ushindi dhidi ya Simba katika mechi ya awali basi wasingehangaika kutaka kutoa rushwa kwa waamuzi na hatimaye kuwatishia vifo laiti wangemwaga siri hiyo baada ya waamuzi hao kukataa.Habari hiyo nimeisoma HAPA

Kila la heri wana Msimbazi

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.