Showing posts with label Uongozi Tanzania. Show all posts
Showing posts with label Uongozi Tanzania. Show all posts

4 Apr 2011

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Dkt. Teresya Huvisa akipata kikombe cha Babu Loliondo.

Mkuu wa mkoa wa Mwanza, Abbas Kandoro na mkuu wa mkoa wa Shinyanga Dk Yohana Balelel wakipata tiba ya mchungaji Ambilikile Mwasapile wa kijiji cha Samunge, Loliondo.

Waziri wa nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Steven Wassira (aka Tyson) na Mbunge wa Musoma Vijijini (CCM), Nimrod Mkono

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige, akipata kikombe cha tiba ya babu, katika Kijiji cha Samunge, Loliondo wilayani Ngorongoro

Waziri wa Mwasiliano na Ujenzi DOKTA John Pombe Magufuli.International insult to the Doctorate of Philosophy (PhD)?


At least ishu ya "Babu" imetusaidia wengine kufahamu kuwa wengi wa viongozi wetu wana afya zenye mgogoro.Na haihitaji rocket science kuhisi kilichowapeleka kwa "Babu" ni tiba ya maradhi gani...

KWA VIONGOZI WA NAMNA HII TUANDIKE TUMELIWA

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.