
- Tumia vitamini vya Zinc na Folic Acid

- Punguza kunywa soda

Meza vitamini vya Amino Acid vya aina hizi: L-Arginine, L-Lysine na L-Carnitin 
- Jaribu 'vidonge vya asili' viitavyo Horny Goat Weed

- Kula matunda na mbogamboga (hasa maharage mekundu, maji ya nazi, apples, wild blueberries, blackberry, cranberry)

Chua misuli ya 'sehemu yako ya siri' pasipo kufikia 'kileleni'
-
- Punguza na hatimaye acha kuvuta sigara (na bangi ni adui mkubwa wa mbegu za kiume)

- Punguza msongo wa mawazo (stress)

- Fanya mazoezi mara kwa mara

- Zingatia ngono salama (maradhi ya zinaa yanaathiri vibaya uzalishaji mbegu za kiume)
CHANZO: WikiHow