Showing posts with label VITUKO. Show all posts
Showing posts with label VITUKO. Show all posts

28 Mar 2012

Stylish final journey: The Rolls-Royce hearse is converted from a Phantom for those who want the ultimate send-off

Pricey: The one-off funeral chariot is thought to be worth over £400,000, according to its makers

High-spec: The Rolls-Royce hearse has a 6.75-litre V12 engine developing 453bhp and a suspension designed to be the smoothest and most comfortable on the road

Gari hili la kifahari lina thamani ya zaidi ya pauni laki nne za Kiingereza (zaidi ya shilingi bilioni moja za Kitanzania) lakini cha kuogopesha sio hiyo thamani pekee bali ukweli kwamba NI GARI LA KUBEBEA MAITI...!!!

3 Mar 2012

Waishi na fisi kwa miaka 44 sasa
Friday, 02 March 2012 20:44


Wakazi wa Kijiji cha Chela, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga Mussa Serikali (kushoto), Doi Lukondya (katikati) na Matandalwa Lukondya wakiwa wamewashikilia fisi nyumbani wanaowafuga kwa ajili shughuli za burudani kama walivyokutwa hivi karibuni.
Na Shija Felician, Kahama
FAMILIA moja katika Kijiji cha Chela, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga imesimulia jinsi inavyoishi na fisi kwa miaka 44 sasa.Kijiji cha Chela ndiko alikozaliwa Waziri wa Maliasili na Utalii ambaye pia ni Mbunge wa Msalala (CCM), Ezekiel Maige na fisi hao walionekana hadharani wakati Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alipofika katika kijiji hicho akiwa katika ziara mkoani Shinyanga wiki iliyopita. 

Familia inayofuga fisi hao ni ile inayounda kikundi cha burudani ya ngoma za jadi ambacho ni maarufu katika Kanda ya Ziwa kikijulikana kwa jina la Bununguli na kwamba fisi hao ni moja ya nyenzo za kufanikisha kazi yao.
Mmoja wa wanafamilia wanaomiliki ngoma hiyo, Lukondya Mabiti Jinoja anasema aina ya fisi wanaofuga wanajulikana kama nhawa kwa lugha ya Kisukuma na kwamba fisi wa aina hiyo wana maumbo makubwa kuliko wale waitwao mbitimululu wenye maumbile madogo yasiyovutia.

Alisema ingawa fisi hao wameanza kuwatumia na kuonekana hadharani siku za karibuni, familia yake imeanza kuishi na wanyama hao tangu mwaka 1968.

“Ni miaka mingi inafikia 44 au 45 na katika muda wote huo tumejifunza mbinu mbalimbali za namna ya kuwakamata na tumefanikiwa kuishi nao kwa muda wote bila kupata madhara yoyote,” anasimulia Jinola.
Jinoja ambaye ni Mwenyekiti wa Bununguli, alisema wakati wa maonyesho ya burudani za ngoma, fisi hao hutumika kunogesha na kuvutia umati wa watazamaji wa ngoma hizo.

Wanawakamataje?
Jinola anasema mara nyingi ukamataji wa fisi hao hufanywa kwa kutumia mbinu za kijadi ambazo hata hivyo, hakutaka kuziweka wazi.

“Hawa mafisi hukaa kwenye mapango, kwa hiyo sisi huenda tukiwa kundi kubwa kuwavizia taratibu na tukiwakaribia huwa tunawavamia, tukiwakamata tu huwa tunawahifadhi kwenye masanduku yetu makubwa na kuwafungia, kisha huyabeba hadi nyumbani tunakowafuga,” alisema Jinola.

Alisema fisi hufugwa kama ilivyo wanyama wengine ambao ni mbwa au paka na kwamba baada ya kuishi nao kwa siku kadhaa, huzoeana nao na baadaye huwa wapole wasiokuwa na madhara kwa binadamu.Hata hivyo, Jinoja alisema changamoto kubwa waliyonayo ni uwezo wa kuwalisha kwani fisi mmoja ana uwezo wa kula kati ya kilo mbili hadi nne za nyama kwa siku moja kulingana na ukubwa wake.

“Natumia wastani wa kilo 16 za nyama kila wiki kuwalisha fisi wangu wanne, ni kazi kubwa kweli lakini tunajitahidi kadri tunavyoweza,” alisema.Hata hivyo, alisema baada ya familia hiyo kufanikisha mpango wa kuishi na fisi hao sasa wameweka mikakati wa kufuga chui siku zijazo.


CHANZO: Mwananchi

22 Jul 2011


















Picha zote hizo kwa hisani ya gazeti la Daily Mail zilidakwa na kamera dakika ambapo waogeleaji (pichani) walipokuwa wanajirusha kutoka jukwaani.Ashakum si matusi,hutolaumiwa ukidhani baadhi yao wanajikakamua msalani kushusha "kubwa".

28 Apr 2011


Niliposoma stori hii almanusura abiria wenzangu kwenye basi wadhani nimepandwa na uchizi kwa kicheko.Yaani mgodi kugundulika shuleni,kisha walimu na wanafunzi kuachana na elimu na kuchangamkia kusaka utajiri kwa kuchimba madini...hahahaha,Lol! (Picha ya juu haihusiani na habari hii bali taswira tu ya wanafunzi wa shule ya msingi).



CHANZO: Tanzania Daima.

What about kujiburudisha na video hii ya Kanye West "Diamond Are Forever"?

Mgodi wa dhahabu waibuka shuleni
• Walimu, wanafunzi waacha masomo, wachimba madini

na Makunga Peter, Bukombe

MGODI mpya wa machimbo madogomadogo ya dhahabu umeibuka katika Shule ya Msingi Nganzo, wilayani Bukombe, mkoani Shinyanga na kufanya viongozi wa wilaya kwa kushirikiana na mwalimu mkuu wa shule hiyo kuufanya kuwa mradi wao wa kujiingizia fedha.

Machimbo hayo yaliyoibuka takriban miezi miwili iliyopita yamesababisha shughuli na masomo katika shule hiyo kusuasua kutokana na walimu na wanafunzi kujiingiza katika shughuli za uchimbaji huku wakisahau kuzingatia masomo hali ambayo imesababisha utoro mkubwa wa wanafunzi.

Ofisa Mtendaji wa kijiji hicho yalipo machimbo hayo, Boniphace Mashebela, alisema kuwa machimbo hayo madogo kwa sasa yanamilikiwa na kamati ya shule na kijiji lakini yanaendeshwa kwa ridhaa ya Ofisa Elimu wa Shule za Msingi, Fides Munyogwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya wilaya hiyo, Kuruletera Majige, kwa kigezo kuwa machimbo hayo yapo katika eneo la shule.

Mmoja wa wachimbaji wadogo wanaoendesha shughuli za uchimbaji katika eneo hilo, Masamaki Kambale, alisema wao wapo hapo kisheria na si wavamizi kwani wao hufika na kuripoti ofisini kwa mwalimu mkuu pamoja na mtendaji wa kijiji na wao hugawiwa viwanja kabla ya kuzamisha maduwara yao.

Masamaki alisema kuwa kila duara linasajiliwa kwa sh 40,000, ambapo fedha hizo hupewa mwalimu mkuu na mtendaji wa kijiji na pindi duara linapofikia kuanza uzalishaji kila utoapo mifuko 10 ya mawe kati ya hiyo miwili ni mali ya viongozi hao wa wilaya hiyo.

Alisema kuwa kwa upande wa kamati ya shule na mtendaiji wao hutoza ushuru wa sh 1,000.

Kwa upande wake Ofisa Madini wa Wilaya ya Kahama na Bukombe, Medard Msengi, alipotakiwa kutoa ufafanuzi juu ya shutuma hizo alisema mgodi huo mpaka sasa ofisi yake haiutambui na kuomba kuongozana na waandishi wa habari hadi katika eneo hilo kujionea.

Ofisa huyo alipofika alijionea kuwa machimbo hayo yanaendeshwa kinyume cha sheria, kwani kipimo kutoka shimo hadi shimo kinatakiwa kiwe futi 10 kwa 10 lakini hayo yapo futi mbili hadi tatu, hali ambayo inaweza kusababisha maafa ya watu kufunikwa na kifusi wakati wowote wa uchimbaji.

Aidha, alitoa ushauri kuwa ni bora machimbo hayo yakafungwa kwa kuwa yapo katika eneo la shule, hali ambayo inachangia wanafunzi kutosoma vizuri na walimu kukimbilia kufanya biashara hiyo ya uchimbaji, hali ambayo itadhoofisha maendeleo ya elimu katika shule hiyo kwani hayana uataratibu wowote.

Alisema katika eneo hilo hakuna vyoo, hakuna mtaalamu anayetambulika katika ofisi yake ambaye anashughulikia madini katika eneo hilo maarufu kama waangalizi wa madini ili kufanya hali ya usimamizi katika eneo hilo kuwa rahisi na kudhibiti wanafunzi na walimu kufanya kazi hiyo.

Naye Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Bukombe alipoulizwa kwa njia ya simu, alisema kuwa kweli machimbo hayo yapo katika eneo la shule na kuongeza kuwa tayari ameshatoa taarifa kwa mkuu wa wilaya ya maandishi, ila alikanusha kuwa yeye hahusiki katika kuchukua mifuko katika eneo hilo na kuiuza kama inavyosadikiwa

26 Apr 2011


Wait a minute!Hivi jina "Mzee wa Kijiko" si lilikuwa la mwanamuziki wa dansi Ally Choki

Well,mazingaombwe ya kuibuka kwa watu wanaodai kupewa nguvu na Mungu kuponyesha magonjwa sugu yanaendelea baada ya mkazi mmoaj kuibuka na kudai anatibu kwa kijiko.Hebu soma mwenyewe habari kamili hapa chini

Fatuma Maumba, Mtwara

BAADA ya Mchungaji mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Ambilikile Masapila kuanza kutoa dawa ya kikombe katika Kijiji cha Samunge, kilichopo Loliondo Mkoa wa Arusha, mkoani Mtwara ameibuka mtu mmoja anayetibu kwa kutoa dawa ya kijiko.

Kutokana na kuwapo kwa mtu huyo, Ahmad Linangwa maarufu kama Mzee wa Kijiko, wananchi wengi wamekuwa wakifurika katika Kijiji cha Moma Wilaya ya Mtwara Vijijini, Mkoa wa Mtwara kwa ajili ya kupata dawa ya kijiko.

Akizungumza na MTANZANIA nyumbani kwake kijijini hapo juzi, Linangwa alisema kabla ya kuanza kutoa dawa hiyo inayotibu magonjwa sugu ukiwamo ukimwi, awali aliota na kupewa maelekezo na Mwenyezi Mungu namna ya kuchanganya miti ya aina tatu kwa ajili ya kupata dawa hiyo.

“Pamoja na kupewa maelekezo hayo Aprili 18 mwaka huu, pia niliambiwa baada ya kuchanganya miti hiyo, nivilige kitu kama goroli kisha nichanganye na maji pori ambayo nitayagema kwenye mti unaoitwa Mtamba.

“Nikishafanya hivyo, maji hayo niwape wagonjwa nao watapona magonjwa yanayowasumbua,” alisema Linangwa.

Kwa mujibu wa Lingangwa, kabla ya kuanza kuwapa wagonjwa dawa hiyo, alianza kuinywa yeye wakati alipokuwa porini akiiandaa.

“Nilianza kuinywa nikiwa kule porini, nilipomaliza kuinywa, nilikimbilia nyumbani haraka ili kama ni sumu iniue wakati nimeshafika nyumbani lakini sikufa.

“Kwa hiyo watu waje watumie dawa hii, haina masharti yoyote kwani kama mtu anatumia dawa za hospitali anaweza kuendelea na dawa hizo bila wasiwasi, kama unakunywa pombe, au unavuta sigara, dawa yangu haina matatizo,” alisema Mzee wa Kijiko.

Kutokana na kuwapo kwa matibabu hayo, nauli kwa pikipiki na bajaji zimepanda kutoka Mtwara Mjini hadi kijijini Moma.

CHANZO: New Habari

19 Apr 2011


Mara kwa mara nimekuwa ninasumbuliwa na watu wanaodhani jina langu la Evarist lina mahusiano na Mlima Everest.Hata hivyo,kwa upole kabisa,huwa ninawaelimisha kuwa jina hilo ni Kitatoliki na nimelirithi kutoka kwa Mtakatifu Evaristus,aliyekuwa Baba Mtakatifu (Pope) kati ya mwaka 99 hadi 108.

Lakini ukilinganisha jina langu na majina mengine,kwa mfano ya kijiji kimoja huko Wales,hapa Uningereza,basi mie sipaswi hata kunung'unika.Kijiji hicho kinaitwa Llanfairpwllgwyngyllgogerychwyrndrobwllllantysiliogogogoch.Kurahisisha ugumu na urefu wa jina hilo,kijiji hicho pia hujulikana kama Llanfairpwllgwyngyll, au spelled Llanfair Pwllgwyngyll.Kurahisisha zaidi,hujulikana kwa kifupi kama Llanfair PG or Llanfairpwll.

Unaweza kudhani hilo ndio jina refu zaidi duniani.Hapana.Kuna mengine kadhaa,kama ambavyo nimeorodhesha hapa:

Jina kamili:
Taumatawhakatangihangakoauauotamateaturipukakapikimaungahoronukupokaiwhenuakitanatahu (herufi 85)
Kifupisho: Taumatawhakatangihangakoauauotamateapokaiwhenuakitanatahu (herufi 57)
Mahali: North Island, New Zealand
Lugha: Māori
Sehemu hii inashilikia rekodi katika Guinness World Records kama jina la sehemu lililo refu zaidi kuliko yote.

Jina kamili: Llanfairpwllgwyngyllgogerychwyrndrobwllllantysiliogogogoch (herufi 58)
Kifupi: Llanfairpwllgwyngyll (herufi 20)
Mahali: Anglesey, Wales, Uingereza
Lugha: Ki-Welshi

Jina kamili: Chargoggagoggmanchauggagoggchaubunagungamaugg (herufi 45)
Kifupi: Ziwa Chaubunagungamaug (herufi 17)
Mahali: Ziwa huko Massachusetts,Marekani.
Language: Nipmuc

Jina kamili: Tweebuffelsmeteenskootmorsdoodgeskietfontein (herufi 44)
Mahali: Afrika Kusini
Lugha: Afrikaans

Jina kamili: Äteritsiputeritsipuolilautatsijänkä (herufi 35)
Mahali: Lapland, Finland

Jina kamili: Pekwachnamaykoskwaskwaypinwanik (herufi 31)
Mahali: ziwa huko Manitoba na Nunavut,Kanada
LUGHA: Inuktitut

Jina kamili: Venkatanarasimharajuvaripeta (herufi 28)
Mahali: kijiji huko Andhra Pradesh, India

Jina kamili: Mamungkukumpurangkuntjunya (herufi 26)
Mahali: Australia Kusini
Lugha: Pitjantjatjara

Jina kamili: Bullaunancheathrairaluinn (herufi 25)
Mahali: County Galway, Ireland

Jina kamili: Gasselterboerveenschemond (herufi 25)
Mahali: Drenthe, Uholanzi
Lugha: Kidachi

Jina kamili: Kuchistiniwamiskahikan (herufi 22)
Mahali: kisiwa huko Quebec, Canada

Jina kamili: Parangaricutirimicuaro (herufi 22)
Mahali: mji huko Michoacán, Mexico
Lugha: P'urhepecha

Jina kamili: Drehideenglashanatooha (herufi 22 letters)
Mahali: daraja huko County Tipperary, Ireland

Jina kamili: Siemieniakowszczyzna (herufi 20)
Mahali:kijiji huko Hajnówka County, Poland
Lugha: Kipolishi

Jina kamili: Newtownmountkennedy (herufi 19)
Mahali: kijiji huko County Wicklow, Ireland
Lugha: Kiingereza

Jina kamili: Thiruvananthapuram (herufi 18)
Mahali: mji huko Kerala, India
Lugha: Malayalam

Jina kamili: Torreblascopedro (herufi 16)
Mahali: Kijiji huko Andalucía,Hispania.

Jina kamili: Hostotipaquillo (herufi 15)
Mahali: mji huko Jalisco, Mexico
Lugha: Nahuatl

VYANZO: Wikipedia

18 Apr 2011


1. Poveglia
Where is it? The Venetian lagoon, Italy
Why can’t I visit?: Because it’s haunted! According to legend it was used to isolate plague victims during Roman times, and then as a giant Black Death grave in the Middle Ages. As if that wasn’t scary enough, it’s also home to spooky abandoned building – complete with bell tower naturally – that was apparently a mental hospital. These days it’s off-limits to visitors unless you bribe a gondolier to take you there.

2. Area 51
Where is it? Nevada, USA
Why can’t I visit?: It’s a top secret military testing base, protected by armed private security teams patrolling in jeeps who are authorised to use deadly force to deal with intruders. Whether or not you believe UFOs have crashed landed there, the ridiculously strict security around the base means you’re never going to find out for sure.

3. Le Cercle Munster
Where is it? Luxembourg
Why can’t I visit?: It’s an exclusive private members club that’s extremely selective about adding new members. Want to join? You must be backed by two sponsors and be approved by a selection committee made up of bigwigs from the finance world. Unless you’re an incredibly rich banker, businessman or equity trader, you’ll never see the sumptuous insides of the club, take part in the ‘Programme culturel’ or eat the delicious food at the in-house restaurant. Damn!

4. Church of Our Lady Mary of Zion
Where is it? Axum, Ethiopia
Why can’t I visit?: Because it’s no ordinary church. According to legend it's home to one of the most important biblical artefacts ever – the Ark of the Covenant (and we thought Indiana Jones left it in a warehouse). Only a specially chosen monk is allowed to guard the ‘Ark’. No-one else is allowed to lay eyes on it or even get close, in case they melt presumably (see Indiana Jones again). Of course, some claim this secrecy means the Ethiopian church is telling porkies…

5. Most of Niihau Island
Where is it? The Hawaiian Islands, USA
Why can’t I visit?: Super-rich family the Robinsons (they’re not Swiss) bought Niihau in 1915 and closed it off to preserve its indigenous culture and wildlife. The 200-or-so natives who live there lead a blissful existence free of electricity, burger joints and, for the most part, tourists. There are very rare helicopter tours to the isle where you can wander along one of the beaches, but getting anywhere near the locals is strictly forbidden; hence its nickname, the, er, ‘Forbidden Island’.

6. Bohemian Grove
Where is it? California, USA
Why can’t I visit?: It’s an extremely secretive men-only club whose members include artists, musicians, businessmen politicians… and the odd president (Nixon was a member). Once a year they all gather for a two-week long festival where (allegedly) rituals such as the ‘Cremation of Care’ - a wicker-man-style faux-pagan rite - and the ‘Grove Play’ - a large-scale musical theatre production - are performed by members. It sounds like fun to us, but somehow I don’t think we’ll get an invite…

7. Lechiguilla Cave
Where is it? New Mexico, USA
Why can’t I visit?: It’s perhaps the most beautiful cave on the planet and frankly, the authorities don’t want you ruining it. Discovered in 1986 by miners, the sprawling underground complex is home to stunning speleothems, gypsum chandeliers and hydromagnesite balloons. We don’t know what any of these are, but they sound impressive. Sadly, unless you’re an extremely experienced caver you’ll never get a permit to see them.

8. Jiangsu National Security Education museum
Where is it? Nanjing, China
Why can’t I visit?: Anyone is allowed in… as long as they are Chinese. There’s a big sign outside the front of this very unusual museum stating that only Chinese citizens are allowed inside. The unusual entry requirements are because the museum documents the history of Chinese espionage, and the state doesn’t want us foreigners finding out their spying secrets.

9. Ilha de Queimada Grande
Where is it? Off the shore of Brazil
Why can’t I visit?: Basically, because it’s full of snakes – hence the nickname: ‘Snake Island’. Local legend states there’s between one and five snakes per square metre on the island. And not just any old snakes, most of ‘em are golden lanceheads – noted for their extremely potent venom. Because of this, understandably, the Brazilian Navy forbids tourists from stepping foot on the island.

10. The peak of Mount Kailash
Where is it? The Himalayas, Tibet
Why can’t I visit?: Because it's home to a Hindu god. Lord Shiva, to be precise, who resides at the summit in a state of perpetual meditation. Sounds like bliss to us, which is appropriate, as Buddhists also believe the peak is home to the Buddha Demchok, who represents supreme bliss. Because of this religious significance the peak was always considered off-limits by most climbers, before this Chinese government issued an official ban in 2001

SOURCE: Yahoo!Travel UK

13 Apr 2011


16 Dec 2010

Soma stori yake HAPA

2 Jan 2009

Soma stori kamili HAPA.

8 Mar 2008

Ama kweli Dunia haijaishiwa vituko.

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.