Showing posts with label Witnesz. Show all posts
Showing posts with label Witnesz. Show all posts

11 Jun 2013


Asante Witnesz kwa ku-share video hiyo. Keep the Tanzania Flag flying higher and higher 

22 Oct 2012



                                                    ALCOHOLISM AND EFFECTS
            POMBE NA MADHARA
                Lets check why many people change characters baada ya kulewa pombe na pombe hufanya nini mwilini mwa binadamu anapozitumia? mili yetu iliumbwa kwa ajiri ya kujiponya yenyewe endapo tu utakuwa unakula vizuri na nikisema kula vizuri haimaanishi ule ushibe hapana bali ninamaanisha ule chakula bora chenye lishe bora,rutuba ambazo ni vitamins na minerals zinazoweza kulinda na kurutubisha mwili na automatically or kujiponya naturally na upungufu wa rutuba mbali mbali mwilini ndo huleta matokeo ya watu kuumwa pasipo kupona ama kuumwa magonjwa kama presha, kisukari cancer,donda ndugu,kumea vinyama usoni malaria na typhoid za mara kwa mara,liver and kidney failure n.k na kuyaita haya magonjwa kama ni magonjwa yasiyo tibika ama magonjwa sugu kwa mimi i agree to dis agre na kwa uwezo tulio nao wa kufikiri je huwa unauhudumia mwili kama linavyohudumiwa gari?

            kwa kuwa endapo ingekuwa hivyo binadamu wote wangeweza kuishi hadi miaka 85 ndo waanze kuzeeka kama jinsi ilivyo kwa wajapani lakini tunaenda kinyume na haya yote, hebu jiulize je utaweza kuweka maji kwenye engine ya gari ama chumvi badala ya petroli? haiwezekani na hii ni kwa kuwa gari halina uwezo wa kujisafisha lenyewe na kujiponya na ndo maana huwa tunalipeleka service je sisi huwa tunajifanyia service ama body detoxination? (kuodoa sumu mwilini na uchafu usiohitajika mwilini?)

         So look at how our amazing bodies does mara nyingi huwa hatuwezi kuona emediet effects za pombe,sumu mwilini au effects za vyakula na aina ya madawa tunayotumia kwa kuwa miili yetu ili unbwa kwa ajiri ya kujiponya na kujiendesha yenyewe na ndo maana sumu haziwezi kuathiri mwili kama ambavyo ungeweka chumvi kwenye gari badala ya mafuta huwa effects zake zinajijenga taratibu na kufikia kikomo ama viungo vya kuchujia na kusambazia vitamins sahihi na minerals kukwama ambavyo mara nyingi viungo hivi viki collapse huwa very dangerous na viungo hivi ni ini na figo ambapo si tu hutumika kuchuja vilivyo vibaya na visivyo hitajika mwilini pia hutumika kwa kuvisambaza na kuvipeleka mahala husika panapohitaji certain type of vitamins and minerals so just imagine hivi viwili vikipata damage tge body suply inakuwa je?

          kwa leo nitaishia hapo juu ya vungo hivi viwili as we go on nitaendelea kuwafahamisha zaidi but today ninazungumzia pombe huwa inafanya nini mwilini hadi wengine huonekana kama wanamatusi,wakorofi na wakati mwingine kutojitambua na ni kwa sababu gani watu dini mbali mbali huzikemea! the thing is pombe si mbaya but kilicho kibaya ni vile pombe inavyo damage mwili wako na kutake control of everything when ever your drunk your life,dignity, behaviour and how you think and make desicions na hata waelimishaji wa masuala ya VVU/Ukimwi husisitiza sana watu kutokuwa walevi kwa kuwa pombe yaweza sababisha ulewe na kuamua kuwa na mwanamke au mwanaume na kufanya ngono zembe ama ngono pasipo kutumia kinga, na pia waweza kumchukua  mtu ambaye laiti ungekuwa mzima usingeweza hata kuongozana nae katika hali ya kawaida lakini kwa kuwa umekunywa pombe it was easy hadi kwenda kufanya naye mchezo mbaya kwa maana hiyo pombe hupunguza kudhoofisha ama kuua uwezo wako wa kufikiri na unakuwa poor decision maker.
               MADHARA KWA MWANAMKE MJAMZITO
     Kwa mwanamke mjamzito anayekunywa mara kwa mara pombe inaweza kumsababishia mtoto kuzaliwa taahira,inaweza ikasababisha kutoka kwa ujauzito (miscarriage) ama ikasababisha kudmaa kwa mtoto na asiweze kukua hata akiwa tumboni na baadae ikasababisha hyperactivity and irritability in the child, if a pregnant woman consumes alcohol on a regular basis (as well as drugs) the fetus can become addicted to these substances,
         Pia alcohol ni substance ambayo hutumia vitamins na minerals nyingi mno toka mwilini kwa ajiri ya kujiendesha ama umeng'enyukaji wake na kama pombe ikikuta hakuna vitamins na madini ya kutosha mwilini huwa inatabia ya kwenda kuchukua zile vitamins zilimo kwenye Tissue mwilini ambazo tissue hizi huwa katika damu na ndo husababisha kasoro nyingi za mwilini na kuleta matokeo ya kudhoofu kwa mwili na kuanza kuumwa ovyo ovyo.

               Mazingira sababishi juu ya wanywa pombe ni
Stress,Kazi,Kula bata na washkaji ama kunywa tu na marafiki pombe kwa kuwa compan yako yote wanakunywa,depression(mawazo) kujitenga, immaturity/foolish age kwa kudhani usipokunywa utaonekana haujakua bado ama hutoonekana ni kijana wa kisasa zaidi, loneliness (upweke) and Heredity
               Madhara mengine ya matumizi ya pombe ni
1.In the Pancreas (acute Pancreatistis)
2.In the liver (cirrcohosis) kwenye Ini kupunguza ufanis wa
kufanya kazi laweza pia kuvimba ama kujaa maji

3.In the Heart (kwenye moyo) kuvimba,kujaa maji, n.k

4.In the urinary system( kwenye njia ya mkojo na ndo maana huona wakati mwingine walevi huwa wanajikojolea kwa kuwa hata nerves zao huwa kama disconnected na mtu wa namna hii anaweza ahisi kitu ama kwa wanaume anaweza akashindwa kufanya tendo la ndoa kwa kuwa hakuna hisia tena ama mzunguko wa damu haui mzuri na kupeleka taarifa kwenye ubongo kwa kuwa pombe huua oksijen inayosaidia mzunguko huo wa damu na kuzidisha ufanisi wa nerves sytem

5.In the skin kudhoofisha ngozi
6.In the sexual organs (causing impotence) kupunguza uwezo wa tendo la ndoa haswa kwa wanaume
7.In the gastrointestinal and digestive tracts, kupunguza uwezo wa usagaji chakula na kusababisha gesi nyingi kila wakati hata kama hujala chakula huwa kama umeshiba na kukata hamu ya kula.

8.In the nervous sytem which can become completely unsettled by the death of cells,hii ni kwa kuwa pombe huwa inaondoa maji kwenye these cells producing a series of nervous disoders  which are frequently reflected in a sign depression and anxiety which in extreme cases can lead to delirium trements causing hallucinations ama kuweweseka,


So kwa wale wanaopata tatizo la  hang over baada ya kunywa ama kama unataka kukata pombe na unawahi meeting ama ofisini waweza call 0753 32 0009 ili kupata kujua jinsi ya kuepukana ama kudhibiti hali hiyo.

Na kwa wale wanaotaka kufanya detoxination ama kufanya miili yao service na kuondoa sumu mwilini Tafadhari call 0753 32 00 09 Mtu ni afya

4 Sept 2012


Brooklyn Hip hop Festival




Wes Jackson, President and executive director of Brooklyn Hip hop festival in the middle Witnesz the Fitnes mkewe Ebonie Jackson ambaye yupo kwenye kitengo cha mahesabu ya shughuli kadhaa za mumewe ikiwemo Hip Hop Festival and Brooklyn Bodega





Brooklyn Bodega a complicated animal, creators of  BHF, Top notch blogazine (blog meets magazine) cultural programmers, Hip Hop Advocacy Group.

The bodega was founded in 2006 by Wes Jackson as the online home of the BHF , under the guidance of Bodega’s initial creative director and administrator James Blagden and Alma Geddy-Romeo.

The bodega grew into one of the most respected online destinations in the Hip Hop community Editorially, the Bodega  strives to add a more academic voice to the world of Hip Hop Journalism, It Derives deep into issue facing the Hip Hop community from music business to politics to technology and they offer a professional and intellectual voice.

Wes Jackson has over 15years experience as an entrepreneur and innovator in music business. His carrier began with producing concerts for Nas, The Roots, The Dave Mathews, band and de La Soul etc. He went on and started his own promotions company by the name seven Heads Promotions, seven Heads was instrumental in launching the career of MOs Def. ,Talib Kweli and others under Wes’ Leadership. Seven Heads expanded into a Record label and a management company, The record company that spun into the room Service Group (RSG) one of the leading digital marketing, RSG has worked with Def. Jam, Capitol, Warner Bros, Interscope, vivendi, and converse the list is endless.

 In addition to his successful business ventures Wes also serves as lecture at city University of New York (CUNY) Wes’s entrepreneurship spirit endure as he continues to grow the BHF into a world class event also as the Brooklyn Bodega Brand with the pop-up store Bbeats at DeKalb market in Downtown Brooklyn,

Wes aliweza eleza kiurefu zaidi juu ya biashara mjini New York kama mmiliki halisi wa hiyo Festival iitwayo Brooklyn Bodega na record label na mengineyo ambayo yote yanahusika na harakati za kihip hop zenye mafanikio makubwa up to date na kufafanua kibiashara zaidi mambo mbali mbali ikiwemo ujasiriamali na sababu za festival hiyo kutohusisha sana au kabisa wasanii kutoka nje wa Hip Hop,alisema wes kuwa wasanii wa hip hop Nchini New York wapo wengi mno mfano wa mafuriko na wote ni wa kali na kusbabisha eneo hilo kuwa hapatoshi hata kwa wakazi wenyewe so mtu yeyote akitoka nje ya nchi akitaka kuingia kwenye soko hilo ni lazima awe extra special, multitalented, unique na awe ni mchapa kazi mara tatu ya wasanii wa New York na ndivyo ilivyo kwa wanawake wanao fanya Hip Hop pia the half to beat men ambao they are flooded with extra energy has to be used In order to stay on the top of the game.
                                                                                                 
                                                                                                  
       Pia nilipata kujua maana ya neno Bodega kama ambapo iliwahi sikika kwenye moja ya nyimbo za Big punisher alipo sema my father’s Bodega kwenye intro na kufafanua ya kwamba neno Bodega ni la kispanish likimaanisha panapo tengenezwa wine, ama corner store mjini new york ambapo huuzwa wine,vilevi mbali mbali na vitu vyote vihusuvyo starehe ikiwemo urahisi wa kupata condoms hata nyakati za usiku huwa pako wazi masaa 24 siku saba za wiki 24/7 kwenye hiyo corner store  wanapatania ya kuwa ni an organized mess place,nikmrahisishia kwa kusema an organized place in a disorganized manner? akasema thats whats up kwa kuwa ukienda kwenye a corner store kulikuwa kuna taka taka karibia za aina zote anazohitaji mtu kwa nyakati za usiku na mchana na hutumika kama maskani na kupanga kuhusu mitikasi pamoja na kupeana mistari ma dj,rappers watu wa aina zote kwenye harakati walikuwa wakitia maguuhapo hata mkiwa hampatani mtaani mkifika hapo kila mtu huwa peacefull ni kiduka kona ambacho watu wa jinsia zote na kutoka pande zote kupata huduma,kwa upande wangu nilipata picha ya gengeni ambapo mara nyingi vijana hukaa hapo ndani ya bong na kuganga njaa ama wakihesabu magari ama kwa kuwalaghai mabinti hahahahaa!


 
                          So a lot of things happening at a bodega store you name it as the aim of the Brooklyn Bodega ambapo ndiye mama wa Hip Hop festival tamasha ambalo hufanyika kila mwaka mjini New York tangu lianze limekwisha fanya matamasha nane mpaka sasa na mwaka huu limekwisha fanyika ,ambapo watumbuizaji wa kuu walikuwa Buster Rhymes na Tribe called Quest na host Mkuu wa tamasha hilo miaka nenda miaka rudi akiwa ni Uncle Ralph.
                                                                                                                     Heshima Zizidi Kuendelea










Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.