22 Oct 2012



                                                    ALCOHOLISM AND EFFECTS
            POMBE NA MADHARA
                Lets check why many people change characters baada ya kulewa pombe na pombe hufanya nini mwilini mwa binadamu anapozitumia? mili yetu iliumbwa kwa ajiri ya kujiponya yenyewe endapo tu utakuwa unakula vizuri na nikisema kula vizuri haimaanishi ule ushibe hapana bali ninamaanisha ule chakula bora chenye lishe bora,rutuba ambazo ni vitamins na minerals zinazoweza kulinda na kurutubisha mwili na automatically or kujiponya naturally na upungufu wa rutuba mbali mbali mwilini ndo huleta matokeo ya watu kuumwa pasipo kupona ama kuumwa magonjwa kama presha, kisukari cancer,donda ndugu,kumea vinyama usoni malaria na typhoid za mara kwa mara,liver and kidney failure n.k na kuyaita haya magonjwa kama ni magonjwa yasiyo tibika ama magonjwa sugu kwa mimi i agree to dis agre na kwa uwezo tulio nao wa kufikiri je huwa unauhudumia mwili kama linavyohudumiwa gari?

            kwa kuwa endapo ingekuwa hivyo binadamu wote wangeweza kuishi hadi miaka 85 ndo waanze kuzeeka kama jinsi ilivyo kwa wajapani lakini tunaenda kinyume na haya yote, hebu jiulize je utaweza kuweka maji kwenye engine ya gari ama chumvi badala ya petroli? haiwezekani na hii ni kwa kuwa gari halina uwezo wa kujisafisha lenyewe na kujiponya na ndo maana huwa tunalipeleka service je sisi huwa tunajifanyia service ama body detoxination? (kuodoa sumu mwilini na uchafu usiohitajika mwilini?)

         So look at how our amazing bodies does mara nyingi huwa hatuwezi kuona emediet effects za pombe,sumu mwilini au effects za vyakula na aina ya madawa tunayotumia kwa kuwa miili yetu ili unbwa kwa ajiri ya kujiponya na kujiendesha yenyewe na ndo maana sumu haziwezi kuathiri mwili kama ambavyo ungeweka chumvi kwenye gari badala ya mafuta huwa effects zake zinajijenga taratibu na kufikia kikomo ama viungo vya kuchujia na kusambazia vitamins sahihi na minerals kukwama ambavyo mara nyingi viungo hivi viki collapse huwa very dangerous na viungo hivi ni ini na figo ambapo si tu hutumika kuchuja vilivyo vibaya na visivyo hitajika mwilini pia hutumika kwa kuvisambaza na kuvipeleka mahala husika panapohitaji certain type of vitamins and minerals so just imagine hivi viwili vikipata damage tge body suply inakuwa je?

          kwa leo nitaishia hapo juu ya vungo hivi viwili as we go on nitaendelea kuwafahamisha zaidi but today ninazungumzia pombe huwa inafanya nini mwilini hadi wengine huonekana kama wanamatusi,wakorofi na wakati mwingine kutojitambua na ni kwa sababu gani watu dini mbali mbali huzikemea! the thing is pombe si mbaya but kilicho kibaya ni vile pombe inavyo damage mwili wako na kutake control of everything when ever your drunk your life,dignity, behaviour and how you think and make desicions na hata waelimishaji wa masuala ya VVU/Ukimwi husisitiza sana watu kutokuwa walevi kwa kuwa pombe yaweza sababisha ulewe na kuamua kuwa na mwanamke au mwanaume na kufanya ngono zembe ama ngono pasipo kutumia kinga, na pia waweza kumchukua  mtu ambaye laiti ungekuwa mzima usingeweza hata kuongozana nae katika hali ya kawaida lakini kwa kuwa umekunywa pombe it was easy hadi kwenda kufanya naye mchezo mbaya kwa maana hiyo pombe hupunguza kudhoofisha ama kuua uwezo wako wa kufikiri na unakuwa poor decision maker.
               MADHARA KWA MWANAMKE MJAMZITO
     Kwa mwanamke mjamzito anayekunywa mara kwa mara pombe inaweza kumsababishia mtoto kuzaliwa taahira,inaweza ikasababisha kutoka kwa ujauzito (miscarriage) ama ikasababisha kudmaa kwa mtoto na asiweze kukua hata akiwa tumboni na baadae ikasababisha hyperactivity and irritability in the child, if a pregnant woman consumes alcohol on a regular basis (as well as drugs) the fetus can become addicted to these substances,
         Pia alcohol ni substance ambayo hutumia vitamins na minerals nyingi mno toka mwilini kwa ajiri ya kujiendesha ama umeng'enyukaji wake na kama pombe ikikuta hakuna vitamins na madini ya kutosha mwilini huwa inatabia ya kwenda kuchukua zile vitamins zilimo kwenye Tissue mwilini ambazo tissue hizi huwa katika damu na ndo husababisha kasoro nyingi za mwilini na kuleta matokeo ya kudhoofu kwa mwili na kuanza kuumwa ovyo ovyo.

               Mazingira sababishi juu ya wanywa pombe ni
Stress,Kazi,Kula bata na washkaji ama kunywa tu na marafiki pombe kwa kuwa compan yako yote wanakunywa,depression(mawazo) kujitenga, immaturity/foolish age kwa kudhani usipokunywa utaonekana haujakua bado ama hutoonekana ni kijana wa kisasa zaidi, loneliness (upweke) and Heredity
               Madhara mengine ya matumizi ya pombe ni
1.In the Pancreas (acute Pancreatistis)
2.In the liver (cirrcohosis) kwenye Ini kupunguza ufanis wa
kufanya kazi laweza pia kuvimba ama kujaa maji

3.In the Heart (kwenye moyo) kuvimba,kujaa maji, n.k

4.In the urinary system( kwenye njia ya mkojo na ndo maana huona wakati mwingine walevi huwa wanajikojolea kwa kuwa hata nerves zao huwa kama disconnected na mtu wa namna hii anaweza ahisi kitu ama kwa wanaume anaweza akashindwa kufanya tendo la ndoa kwa kuwa hakuna hisia tena ama mzunguko wa damu haui mzuri na kupeleka taarifa kwenye ubongo kwa kuwa pombe huua oksijen inayosaidia mzunguko huo wa damu na kuzidisha ufanisi wa nerves sytem

5.In the skin kudhoofisha ngozi
6.In the sexual organs (causing impotence) kupunguza uwezo wa tendo la ndoa haswa kwa wanaume
7.In the gastrointestinal and digestive tracts, kupunguza uwezo wa usagaji chakula na kusababisha gesi nyingi kila wakati hata kama hujala chakula huwa kama umeshiba na kukata hamu ya kula.

8.In the nervous sytem which can become completely unsettled by the death of cells,hii ni kwa kuwa pombe huwa inaondoa maji kwenye these cells producing a series of nervous disoders  which are frequently reflected in a sign depression and anxiety which in extreme cases can lead to delirium trements causing hallucinations ama kuweweseka,


So kwa wale wanaopata tatizo la  hang over baada ya kunywa ama kama unataka kukata pombe na unawahi meeting ama ofisini waweza call 0753 32 0009 ili kupata kujua jinsi ya kuepukana ama kudhibiti hali hiyo.

Na kwa wale wanaotaka kufanya detoxination ama kufanya miili yao service na kuondoa sumu mwilini Tafadhari call 0753 32 00 09 Mtu ni afya

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.