Showing posts with label iPHONE. Show all posts
Showing posts with label iPHONE. Show all posts

30 Jul 2014

signalapp
Mie ni miongoni mwa waumini wakubwa wa filosofia ya 'ishu binafsi shurti zibaki kuwa za binafsi' (private things should always remain private). Na ninaposema 'ishu binafsi' ninamaanisha pia masuala nyeti yasiyopaswa kusikizwa na yeyote yule asiyehusika nayo. Siwezi kufafanua zaidi ila naamini kwamba kuna nyakati tunakuwa na masuala yanayopaswa kufahamika kwa wahusika tu.

Sasa iwapo unatumia iPhone,kuna app moja inaweza kuwa na manufaa makubwa kwako pindi ukijikuta katika mazingira ambapo unataka kuwasiliana na mtu pasi maongezi hayo 'kunaswa' na watu wengine. Labda kama hadi hapa hujanielewa vizuri, ni vema ukafahamu kuwa taarifa za hivi karibuni kutoka kampuni ya simu za mkononi ya Vodafone inaonyesha kuwa Tanzania ni moja ya nchi inayoshika nafasi za juu duniani kwa mashushushu wake kunasa mawasiliano binafsi ya simu za wananchi.

App husika inaitwa SIGNAL, na inapatikana bure kwenye App Store.

Kwa kutumia teknolojia inayoruhusu wahusika tu wa ujumbe husika kuupata ukiwa kamilifu (encryption), app hiyo ya Signal inayafanya maongezi katika iPhone kuwa ya faragha kiasi kwamba mtu asiyehusika hawezi kuyanasa.

Jinsi ya kui-set up App hiyo ni rahisi kabisa, na unahitaji kuingiza namba yako ya simu tu na kuithibitisha kwa kuingiza tarakimu 6 (6-digit code), ambazo zitatumwa kwako kwa SMS au simu, na utakuwa tayari kuitumia app hiyo. Namba za simu ulizohifadhi katika simu yako zitahamia kwenye app hiyo mara moja, lakini zitakazoonekana ni zile tu ambazo mtumiaji naye anatumia app hiyo. Ukimpigia simu mtu asiyetumia app hiyo,atatumiwa ujumbe wa ku-install app hiyo kwenye simu yake.

Unapopiga simu kwa kutumia app hiyo kwa mtu ambaye simu yake nayo ina app hiyo, faragha ya mawasiliano yenu inahakikiwa kwa kutumia maneno yanayoonekana katika screen ya simu ya anayepiga na anayepigiwa.Kisha mnafananisha maneno hayo kuhakikisha kuwa yanalingana, na yakilingana basi mawasiliano yenu yanakuwa ya siri. Yasipolingana basi inamaanisha kuna mtu anaingilia (anasikiliza) maongezi yenu.

Wakati kwa sasa app hiyo inaweza tu kuyafanya maongezi ya simu kuwa ya siri, kampuni iliyotengeneza app hiyo imeeleza kuwa ipo mbino kuwezesha hata mawasiliano ya SMS nayo kuwa ya siri.

17 Nov 2010


You can't access the internet. And it doesn't have a camera or games you can play.In fact, this new mobile phone doesn't even let you send text messages.The designers of 'John's Phone' have created a device that has only one function: it lets you make calls.Hailed as the world's simplest phone, it is designed to be a tongue-in-cheek 'basic backlash' by targeting users who do not want the flashy features of next-generation models.

Dubbed the 'anti iPhone', the £67 device with a brightly coloured facade and big buttons resembles a toy.
The phone's Dutch makers, advertising agency John Doe, are hoping it will be a hit with technophobes and children buying their first phone.The manual is only one page long and, unlike its battery-hungry smartphone counterparts, the makers of 'John's Phone' claim that a single charge will provide users with three weeks' battery life.Even the phone's 'built-in' address book is old-fashioned - concealed behind a flap at the rear of the phone, it's a physical pen-and-paper notepad used to store your contacts.
For those in a rush, the device does have the ability to record ten speed dial numbers.The phone's designers wanted the phone to have 'no frills and no unnecessary features such as a camera, text messaging and an endless number of ringtones'.

Designer Diedriekje Bok said: 'At a time when there is an abundance of choices and oppressive channels, we wanted to develop a simple gadget.

'It is also a useful phone while travelling, exercising or weekend sailing.

'You always reach for your close family and friends, so John's Phone is for when the rest of the world does not matter.'

It remains to be seen whether all mobile phone users will be rushing to swap their hi-tech phones for this new, pared-down model just yet.

Customer Ben Reed, 24, from Preston, said 'I think it looks quite cool. The design is stylish and I like the simplicity of it.

'But I don't know if I could use it instead of my current phone. I rely on it to coordinate my social life, keep an eye on my work e-mails and to follow news updates online.

'I can see how this phone might be good for old people or very young kids, though

8 Oct 2008


Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.