12 Jun 2009

10 Jun 2009












"I am proud of being the smallest girl. I love all the attention I get. I'm not scared of being small, and I don't regret being small",says Jyoti Amge,a 1ft 11 tall Indian girl.For more about this smallest girl in the world CLICK HERE.


















Pics from The Daily Mail

9 Jun 2009


Kukua kwa teknolojia kuna faida na hasara zake.Kuna nyakati faida huwa kubwa kuliko hasara,na kinyume chake.Kuna nyakati faida huwa kubwa zaidi kwa eneo au sekta flani na hasara kuwa kubwa zaidi kwenye eneo/sekta nyingine.Na ndivyo ilivyo kwa athari za teknolojia ya intaneti kwa "boksi la uzembe" (runinga au televisheni).

Ni dhahiri kwamba kinachoifanya intaneti "iipige bao" runinga ni nafasi ya mtumiaji katika kutumia chombo husika.Chukua mfano huu: unataka kutafuta nafasi za masomo na/au ufadhili sehemu mbalimbali.Unajua mahala mwafaka pa kwenda ni kwa Da Subi.Unafika hapo,unaambiwa "scholarships zitaletwa kwenu saa 2 kamili usiku"!Mfano huo wa kufikirika unasaidia kuonyesha ni kwa namna gani runinga imeendelea kuhodhi uhuru na wepesi wa kupata na kutafuta habari.Kwa upande mwingine,kwa kutumia mfano huohuo,mtumiaji ana uhuru wa kwenda moja kwa moja kwenye tovuti ya Da Subi,au ku-google maneno kama "nukta 77","Subi","Scholarships",nk.


Kingine kinachoikwaza runinga ni namna watumiaji wanavyoweza "kujichanganya" (sio kuwa confused bali namaanisha interactivity).Japo teknolojia ya runinga inajitahidi kwenda na kasi hiyo ya "kujichanganya",kwa mfano kwa kukaribisha maoni yanayoweza kusomwa "laivu",kupiga kura kwenye vipindi kama Big Borther,American Idol,nk,au kutuma video na picha kama ilivyo kwa i-Report ya CNN,ukweli unabaki kuwa maendeleo hayo ni "cha mtoto" ukilinganisha na internet inavyowezesha mambo kwenye social networks kama facebook,myspace,nk.




Kama hiyo haitoshi,mtumiaji wa intaneti anaweza kuangalia runinga pasipo na matatizo (ali mradi kompyuta yake iwe na vifaa stahili na spidi mwafaka) ilhali ku-access intaneti kwenye televisheni bado ni tatizo japo baadhi ya vinajitahidi kumwezesha msomaji kutembelea kurasa flani flani.Tatizo bado linabaki kuwa kurasa hizo ni chache na zinaamuliwa na kituo husika


Wanaopenda uhuru wa kufanya mambo wanavyo taka wao wanaiona teknolojia ya runinga kama ya "kidikteta" ambapo ushiriki wa mtumiaji ni mdogo zaidi kulinganisha na ule wa kwenye intaneti.Unapoingia mtandaoni,huhitaji kuangalia "ratiba ya vipindi" (kama ilivyo kwenye tv) bali una uhuru wa kuzurura upendavyo.


Kwa mujibu wa kituo cha runinga cha Channel 4 cha hapa Uingereza,idadi ya vijana wanaoangalia televisheni imekuwa ikishuka kwa kasi kubwa kulinganisha na matumizi yao ya intaneti.Na pengine katika kutambua hilo ndio maana hata gwiji la umiliki wa vyombo vya habari,Rupert Murdoch,aliamua kununua tovuti ya "kujichanganya" ya Myspace.Tajiri huyo ni mmiliki wa Fox News,Wall Street Journal,New York Times,Sky na mlolongo wa vyombo vya habari duniani anaamini kuwa future ya sekta ya habari iko kwenye intaneti.

Unaonaje?

8 Jun 2009


WHY SHOULD WE ALWAYS LESS,IF NOT NOTHING AT ALL?HIVI TUNGEKUWA NA WAWEKEZAJI NCHINI INDIA (WANAKOTOKA WABABAISHAJI WA TRL) HALAFU WASHINDWE KUKIDHI MATARAJIO YA WAHINDI,UNADHANI WASINGETIMULIWA?POROJO KWAMBA PASIPO TRL HUDUMA ZA RELI YA KATI NDIO KWISHNE HAZIINGII AKILINI HATA KIDOGO.KAMA TUNAWEZA KUWALIPA WABUNGE WETU MAMILIONI YA SHILINGI KILA MWEZI PASIPO KUHITAJI MSAADA WA WAWEKEZAJI,SIONI KWANINI TUSHINDWE KUMUDU UENDESHAJI WA HUDUMA YA TRENI RELI YA KATI.




Abiria 552 waliotakiwa kusafiri na treni ya kati juzi, wamekwama jijini Dar es Salaam baada ya wafanyakazi wa Kampuni ya ReliTanzania (TRL), kugoma kwa lengo la kushinikiza uongozi wa shirika hilo, kusaini mkataba wa Maisha Bora unaojulikana kwa jina la Mkataba wa Hiyari.

Wakizungumza na 'HabariLeo Jumapili' katika nyakati tofauti, baadhi ya abiria waliokuwa wakitarajia kwenda Tabora, Mwanza na Kigoma, walisema walipaswa kusafiri juzi lakini ilipofika saa mbili usiku, walitangaziwa kuwa safari hiyo haipo na kutakiwa kusubiri hadi kesho yake (jana) kujua hatma ya safari hiyo.

“Kweli tulisubiri na ilipofika leo (jana) saa tano, tulitangaziwa kuwa safari haitakuwapo hivyo tujipange kwenye mstari ili turudishiwe nauli zetu. “Sisi tumefedheheshwa sana na kitendo hiki hivyo tunaiomba serikali ichukue hatua madhubuti ili abiria wanaotegemea usafiri wa treni wasiendelee kuumia,” alisema abiria aliyejitambulisha kwa jina la Masanja Said.

HabariLeo Jumapili imeshuhudia abiria wakiwa katika mistari mirefu wakisubiri kurejeshewa fedha za nauli wakati watoto na wazee walikuwa wamelala sakafuni kwenye jengo la kampuni hiyo. Meneja Uhusiano wa TRL, Midladjy Maez, alisema mgomo huo hautambuliki kisheria kwa kuwa viongozi wa Chama cha Wafanyakazi wa Reli (Trawu) wanasema hawajatangaza mgomo.

“Baada ya wafanyakazi kugoma, uongozi uliwasiliana na viongozi wa Trawu lakini viongozi hao walisema hawajatangaza mgomo kwani kisheria tangazo la mgomo linatolewa saa 48 kabla ya kuanzamgomo. Hata hivyo hakuna tangazo lolote wala kiongozi wa mgomo hajulikani,” alisema Meaz.

Inadaiwa kuwa wafanyakazi hao waligoma baada ya viongozi wa Trawu kuwapatia ripoti kwamba uongozi wa kampuni umegoma kusaini mkataba wahiyari na kwamba uongozi umeondoa kipengele kinachomtaka mwajiri kuwalipa wafanyakazi wanaopunguzwa kazi mishahara ya miezi 20 hadi 40 kama mkono wa heri.

Meaz alisema, uongozi wa TRL uliamua kurejeshea abiria fedha zao baada ya juhudi za kuwataka wafanyakazi hao kusitisha mgomo kutozaa matunda. Alisema uongozi umejaribu kuwasiliana na TRAWU Taifa na kujibiwa kuwa hakuna mgomo ila ni shinikizo.

“Tatizo haijulikani nani kiongozi wa mgomo, kila anayeulizwa anasema hajui lolote. Kisheria hakuna mgomo lakini katika hali halisi wafanyakazi wamegoma na ndio maana abiria wamerudishiwa fedha zao za nauli,” alisema Meaz. Juhudi za kuwapata viongozi wa Trawu haikuzaa matundakwa kuwa ofisi zao zilikuwa zimefungwa pia simu za mkononi zilikuwa zimefungwa.

CHANZO: Habari Leo


7 Jun 2009

Although his Blueprint 3 album is not due until later this year, he's still a power player, according to The Source magazine's annual "Power 30" list.

The long-running hip-hop magazine will land atop their annual list this year, when the magazine drops its new issue later this month.
He's the frontrunner, said the mag, because he's an industry leader and a top businessman, boasting a portfolio that includes ventures with Live Nation, Rocawear, and a small stake ownership -- along with a group of investors -- in the NBA franchise, the New Jersey Nets.

Other names on the list include Lil Wayne, Diddy, 50 Cent, Snoop Dogg, Kimora Lee Simmons, and T-Pain, among others.

Barack Obama (because of his influence on the new hip-hop generation) and the Black Eyed Peas' Will.i.an are also named as "Power 30" honorees.

"The Black Eyed Peas is like one of the biggest groups on the planet. We go out to Brazil, you know, a million, two hundred thousand people is at our concert," Will explained to the mag.

The "Power 30" issue features a coverstory from T.I. and his Grand Hustle crew, and what the rapper's hustle will be post-incarceration.


50 CENT




P DIDDY




KIMORA LEE-SIMMONS




LIL WAYNE




SNOOP DOGG



T-PAIN



WILL.I.AM


6 Jun 2009

MICHELLE OBAMA and CARLA BRUNI-SARKOZY.As I am not into the fashion stuffs,let me turn to The Telegraph for a helping hand:

Two tall women, one of them a model, were swinging in step in classic “paired” runway formation. Both were almost identically dressed in knee-length cream with belts, bare legs and heels. They could almost have been modelling some designers’ collection named “First Lady Spring 2009”.

Undoubtedly the choice of colour worn by Mrs Obama and Mrs Bruni-Sarkozy was a coincidence. Hell would surely freeze before two such self-confident dressers would confer over what to wear.

Certainly, there will be some questions asked over whether a light, summery colour is disrespectful on a sombre day of remembrance.

Sarah Brown stayed with the tradition of sober attire, safely putting her out of the way of fashion attention.

As for the other two, their Caen encounter was the sequel to their first-round meeting at the G8 in Strasbourg, where — to either their amusement or embarrassment — both women turned up wearing coats with large pussycat bow necklines.

On that occasion, the outcome may not necessarily have been to Mrs Bruni-Sarkozy’s liking.

Mrs Obama, the international new girl, was wearing a cabbage-rose print outfit from the American designer Thakoon and won rave reviews.

By contrast, Mrs Bruni-Sarkozy stuck to the demure greys and flat shoes she had so far judged necessary to counterbalance her colourful past and shorter husband. Standing next to Mrs Obama, she found the American had a two-inch advantage on her. So at this fashion face-off, it’s fascinating to see how things have changed.

The French president’s wife chose Dior again, but dropped the grey in favour of a youthfully chic and flattering cap-sleeved ivory satin sheath with a gathered neckline – just the sort of arm-revealing dress Michelle Obama has made her signature.

However, the American First Lady chose to relinquish what her husband jokingly called her “right to bare arms” for the day, choosing to put a coat by Narciso Rodriguez over a dress by Michael Kors (both New York designers), though the belt she wore was by Givenchy.

The most significant detail of all, however, is found in the two pairs of shoes on the Caen red carpet. Mrs Obama wore silver Jimmy Choos. But for the first time since marrying, Carla Bruni-Sarkozy was seen wearing heels
.

MICHELLE,CARLA and SARAH BROWN.


His experience at Chelsea shamed English football in the Eighties, when racism and violence stalked the terraces in the form of National Front skinheads.

Plucked from non-league football with Hillingdon Borough in December 1981, he made his first-team debut four months later, at the age of 20, as a substitute, away at Crystal Palace.

Looking back: Canoville recalls how he felt 'physically sick' after being subjected to racist taunts at Chelsea - by the club's own supporters

When he climbed from the bench to warm up, Chelsea supporters screamed: 'Sit down you black c***', 'You f***ing w*g, f*** off'. Then they started to chant: 'We don't want the n****r, we don't want the n****r, la la la la'. A banana landed near his feet.

'I felt physically sick,' recalls Canoville...CONTINUE



SOURCE: The Daily Mail

5 Jun 2009


Hoja yake ya msingi ni kwamba hawezi kujiuzulu katika kipindi hiki ambacho Uingereza,kama ilivyo kwa mataifa mengi ulimwenguni,inakabiliwa na msukosuko wa uchumi.

Anadai kwamba kubwaga manyanga katika kipindi hiki kigumu itakuwa sawa na kuwasaliti Waingereza.

Pamoja na msimamo huo,leo Brown ametangaza mabadiliko (reshuffle) katika baraza lake la mawaziri ambapo baadhi ya "mastaa" wameendelea na nyadhifa zao,notably "Waziri" wa Mambo ya Nje (Foreign Secretary) David Miliband (pichani chini)na "Waziri wa Fedha" (Chancellor of the Exchequer) Alistair Darling (pichani chini)Mwanasiasa ambaye jina lake limekuwa likihusishwa na kuchukua nafasi ya Brown pindi "mapinduzi" yakifanikiwa,Alan Johnson,amehamishiwa "Wizara ya Mambo ya Ndani" (Home Office) kutoka "Wizara" ya Afya."Home Office" inatajwa kuwa "kitimoto" kwa kila anayeteuliwa kuiongoza hasa kwa vile inagusa masuala nyeti kama uhamiaji na usalama wa raia (ambapo jeshi la polisi na ishu za ugaidi ni vipaumbele).
Pia katika reshuffle hiyo,Brown amemteua mfanyabiashara tajiri,Sir Allan Sugar,kuwa "enterprise tsar" (sijui tafsiri yake kwa Kiswahili inakuwaje!).

Sir Allan,anayefahamika zaidi kwa kibwagizo cha "You're Fired" katika kipindi alichokiasisi cha The Apprentice,sasa anakuwa Lord Sugar kutokana na wadhifa huo mpya unaomwingiza katika Bunge la Mamwinyi (The House of Lords).

Jasusi ChatBot

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.