22 Sept 2010











NA HAPA CHINI NI PICHA YA WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AKIPOKEA TUZO YA MILENIA KWA MAFANIKIO HAYO HAPO JUU
HAPA CHINI AKIWA NA BALOZI WETU KWENYE UMOJA WA MATAIFA OMBENI SEFUE
NA KAMA ILIVYOTARAJIWA,HAPO CHINI NI PICHA INAYOONYESHA MAJIGAMBO YA KIKWETE HUKO TWITTER (Kikwete2010)
KUNA MZEMBE MMOJA KANITUMIA COMMENT YA MATUSI AKILAUMU KUWA NAANGALIA MABAYA TU YA CHAGUO LA MUNGU KIKWETE.SIJAICHAPISHA KWA VILE ANATAFUTA UMAARUFU KWA MGONGO WA BLOGU HII.AMETISHIA KUWA ATAPOREJEA HAPA BLOGUNI NIWE NIMEBALANSI STORI.NAMSHAURI AENDE MIREMBE AKABALANSI UBONGO WAKE KWANZA.VITISHO HIVYO NI DALILI KUWA UJUMBE UNAFIKA KUNAKOHUSIKA.ANAYEKERWA NA SIFA ZA BLOGU HII KWA CHAGUO LA MUNGU APONDE CHUPA AMEZE.HAPA HAONEWI HAYA MTU.BRING IT ON!!!!

20 Sept 2010

Blogu Hii inapenda kuungana na mwanahabari mkongwe,John Bwire, wa jarida la Raia Mwema,katika kipindi hiki kigumu cha msiba wa baba yake mzazi .

Nimepata taarifa hizo kutoka kwa barua pepe aliyonitumia Bwire leo.

Kifo ni kifo,lakini kifo cha mzazi kinagusa mno.Hakuna maneno yanayoweza kuwa mwafaka kabisa kumliwaza mfiwa.Hata hivyo,kuna kauli ya kiroho inayoweza kuleta faraja na matumaini,kwamba SIE TULIMPENDA SANA MAREHEMU LAKINI BWANA MUNGU ALIMPENDA ZAIDI,NA NDIO MAANA AMEAMUA KUMCHUKUA.Ni maneno yanayoweza kuonekana mepesi lakini yana uzito mkubwa.

Pumziko la milele Umpe ee Bwana,na Mwanga wa Milele Umwangazie,Astarehe kwa Amani

Amen



Hii ni Kazi ama Unyanyasaji wa watoto..?

Kwakweli nimesikitika sana baada ya kuona hii video ya documentary ya Mtanzania aliewaiba watoto walemavu  na kuwapeleka nchini Kenya na kuwafanya omba omba, Anawapeleka asubuhi na mapema sa kumi na Moja na kuwasambaza maeneo mbali mbali na usiku anawapitia kuwachukua na baaae anakusanya mafao, kijana huyo wakitanzania nchini Kenya hana kazi ingine zaidi ya hiyo hapo,Je hii ni sawa na watanzania wenzangu tunalizungumziaje swala hili? maana ni zaidi ya unyanyasaji wa wa watoto.

Video husika ni hii hapa chini



Last night,I wrote an email to Synovate Tanzania Country Manager,Aggrey Oriwo.I am really grateful to him for responding to my email in which I enquired why their recent survey intentionally avoided disclosing which presidential candidate was leading in the race.In his reply,Oriwo categorically refuted my allegation that his organisation was playing politics in favour of the ruling party CCM.He went further to point out that Synovate is a company owned by Aegis Group,a global giant which is listed on the London Stock Exchange.

However,although Oriwo explained that their recent  survey  primarily focused on how local media covered the election campaigns,he did not clarify as to why it lacked a question,or rather an answer to the public,on voting intentions.

Well,one doesn't have to be a genius to assume that had Kikwete or CCM been leading in the polls,Synovate-and most likely REDET,would have already publicised their "findings".

Now I see the logic in the saying "ACTIONS SPEAK LOUDER THAN WORDS".Synovate's silence has unintentionally revealed what the pollster is trying to conceal to the public: Kikwete is certainly trailing in the polls.

Image and video hosting by TinyPic
UBISHI TUUU: HUU UTITIRI WA MASHANGINGI SIO UTHIBITISHO WA MAISHA BORA?SASA HIYO NI AWAMU YA KWANZA.AWAMU IJAYO NI BAJAJ KWA WAJAWAZITO NCHI NZIMA


MAJI BWERERE

MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA YAMEWEZEKANA

USHAHIDI WA MAISHA BORA UNAONEKANA HATA KWA WATOTO WADOGO



YOU SEE, TATIZO LA MAJI MIJINI NA VIJIJINI LIMEPATIWA UFUMBUZI WA KUDUMU
TATIZO LA USAFIRI KWA WANAFUNZI MIJINI LIMEMALIZWA.MNATAKA MAISHA BORA YAPI ZAIDI YA HAYA?

MNAONA?POLISI WENYE MAKAZI DUNI SASA WANA SWIMMING POOL HAPO MSIMBAZI POLICE FLATS.MAISHA BORA KWA POLISI YAMEPELEKEA WAACHE KUDAI RUSHWA NA KUBAMBIKIZA KESI KWA WALALAHOI




Image and video hosting by TinyPic
KURA ZA ALBINO ZIMEZAA MATUNDA.HUYO MGOMBEA WA CCM WANAYEDAI  NI MTUHUMIWA WA BIASHARA YA VIUNGO VYA ALBINO NI SIASA ZA MAJITAKA TU


Image and video hosting by TinyPic
HATA SUPAMODO NAOMI CAMPBELL ALIPOTEMBELEZA TANZANIA ALIRIDHISHWA NA HALI ALIYOKUTA WODI YA AKINAMAMA.NA AKATOA MACHOZI YA FURAHA 


BARABARA ZETU NI MARIDADI.TUMELETEWA MATREKTA MENGI MNO KWA  KILIMO KWANZA  HADI INABIDI YAFANYE KAZI YA KUVUTA MALORI.EBO!KWANI CHA AJABU NINI TREKTA KUVUTA LORI?NI FERI ZA NCHI KAVU HIZO

CHAGUA KIKWETE NA CCM KWA BARABARA BORA.NA 2010-2015 BARABARA KAMA HIYO HAPO JUU ZITAKUWA UPGRADED TO FLYOVER.

SERIKALI YA KIKWETE IMEWAJALI SANA WANAFUNZI NA KUWANUNULIA MADAWATI BORA MNO HADI YANAWACHOSHA KUYAKALIA NA KUAMUA KUKAA SAKAFUNI

HAPANA.KOSA LA MSOMI HUYO WA CHUO KIKUU ANAYEFUKUZWA NA FFU NI KUGOMA KUCHUKUA HELA ZA KUJIKIMU ZILIZOINGIZWA KWENYE AKAUNTI YAKE KABLA HAJAWASILI CHUONI.HAPO ASKARI WA FFU ANAMHAMASISHA MSOMI HUYO AENDE BENKI.CHAGUA KIKWETE USOME KWA RAHA MUSTAREHE

NDIO MAANA RAIS MPENDWA JAKAYA KIKWETE ALISEMA MIMBA ZA WANAFUNZI NI KIMBELEMBELE CHAO TU.ANGALIA MWENYEWE MAZINGIRA BORA KABISA YA NAMNA VIJANA WETU WANAVYOPATA ELIMU.KIKWETE OYEEE

BAADA YA MABILIONI YA KIKWETE,NA KAGODA KUREJESHA MABILIONI,SASA MAISHA BORA NI KWA MWENDO WA PIPI KWA KILA MTOTO.YAH,PIPI KWANZA KISHA LAPTOP KWA KILA MWANAFUNZI.HALAFU HUYO SLAA ANAPOSEMA ATATOA ELIMU YA BURE KWANI MIE NAUZA HIZI PIPI?

SAFARI MOJA HUANZISHA NYINGINE.KWANI MLIPONICHAGUA MLITAKA NIOTE MATENDE IKULU?

MFANO HAI WA AMANI NA UTULIVU

ZAPATERO ANAELEKEA KUSHANGAA: HIVI KAMA HUYO JAMAA ANA MAWAZO YA HALI YA JUU KIASI HIKI KWANINI BADO NCHI YAKE NI MASIKINI?NO,HAPO KIKWETE ANAHUBIRI KUHUSU CHANZO CHA UMASIKINI WA AFRIKA JAPO HAFAHAMU KWANINI TANZANIA NI MASIKINI

AKINAMAMA WAMEPEWA KIPAUMBELE CHA HALI YA JUU KATIKA MIPANGO YA SERIKALI YA KIKWETE.PICHA INAWAONYESHA KAMA WANA MAJONZI LAKINI UKWELI NI KUWA WAMESHIKWA NA BUTWAA KUTOKANA NA KAZI NZURI YA CHAGUO LA MUNGU KIKWETE


MMENG'ANG'ANIA TU SUALA LA EPA NA KAGODA NA KUSAHAU MINARA PACHA.BY THE WAY,FEDHA ZA EPA HAZIKUIBWA BALI ZILIAZIMWA TU,NDIO MAANA NILIWASIHI TULIOWAAZIMA WAZIREJESHE.WALIOAZIMWA WANAREJESHA IN KIND KWA KUCHANGIA KAMPENI ZA CCM

TEH TEH TEH,NICHEKE MIE.KIKWETE MTU BOMBA SANA.SIE TUMEKUJA NA KABRASHA TUPU LEO HII TUNA MABILIONI KWENYE AKAUNTI.ASANTE DOWANS KWA KUTURITHI,ASANTE KARAMAGI NA MSABAHA.ASANTE WATANZANIA KWA KUMWAMINI KIKWETE.SI MNAONA SASA TATIZO LA UMEME NI HISTORIA KAMA ALIVYOAHIDI CHAGUO LA MUNGU KIKWETE?
MWAKYEMBE NA TUME YAKE NI ROHO MBAYA TU.KAMA MUME WANGU LOWASSA ALIHUSIKA NA UFISADI WA RICHMOND MBONA KIKWETE AMEKUJA JIMBONI KUMPIGIA DEBE?
TATIZO LENU WATANZANIA MNA KUMBUKUMBU HAFIFU.MMESAHAU ENZI ZA Boyz II Men?MIE NA JAKAYA HATUJAFAHAMIANA MTAANI.MNABISHA?SI MMEONA JINSI MAJUZI ALIVYOMWAGIA SIFA JIMBONI MONDULI?

MNASEMA NASAFIRI SANA?KWANI MLIPONICHAGUA MLIKUWA HAMFAHAMU KUWA NILIPOKUWA WAZIRI WA MAMBO YA NJE NILIKUWA NASAFIRI SANA?ACHENI UZUSHI,SAFARI ZANGU ZITAILETEA TANZANIA SIFA YA KUVUNJA REKODI YA VASCO DA GAMA.

MTAJIJU....ACHE MIE NIBEMBEE 

JIJENGE HUKO UVCCM.SI UMEONA FAMILIA YA BUSH ILITOA MARAIS WAWILI KAMA YA KABILA HUKO DRC?BASI NA WEWE JIANDAE.MIE NAITWA CHAGUO LA MUNGU,WEWE UTAITWA CHAGUO LA BABA
WE KATUNI HUELEWI SOMO LIPI TENA?YANI UNAKUWA KAMAMIE NISIYEELEWA KWANINI TANZANIA NI MASIKINI!

PICHA YA JUU NA YA CHINI: CHAGUO LA MUNGU DANCING.BY THE WAY "Never Trust a Spiritual Leader who cannot Dance".-Mr Miyagi,The Next Karate Kid,1994

HUYU SLAA ANATAKA KUNIWEKEA MCHANGA BADALA YA UBWABWA KWENYE SAHANI HII.HIZI HABARI ZA MIE KUFUKUZWA UALIMU ZA NINI TENA MUDA HUU?
WANAKUJA NA USHAHIDI NINI?WANATOKEA HUKU AU KULE?ANYWAY,HAWAWEZI KUTHIBITISHA LOLOTE
MGOSI,UNAKUMBUKA SIKU ZILEEEE KATIKA SHULE ILEEE...BASI SLAA KAINYAKA HIYO ISHU.

As a Tanzanian living in the United Kingdom,I am quite appreciative of  the role played by the British people in assisting fellow Tanzanians in form of development aid especially at the time when the UK government is planning to wield the axe on welfare and social spending and prioritise areas that foster the economy's ability to grow.

However,reports that the United Kingdom on Friday announced that it will soon start disbursing 230bn/- contribution as part of its general budget support for this fiscal year following Tanzania’s "impressive expenditure discipline".

On the one hand,the timing of the announcement could be easily perceived as an endorsement of the current Tanzania regime under Jakaya Kikwete as it tries to convince voters to re-elect it for a second term in office.I wouldn't be surprised if Kikwete would "remind" voters that "if those who give their money to support us have strong faith in my government evidenced by the Friday's announcement,why shouldn't you?"

I understand that the announcement might be a mere coincidence.However,the fact that UK said it was also pleased on how funds were spent on agriculture-fertiliser, education, enrolment, health (malaria roll back) and safe drinking water raises suspicion. The visiting Minister for International Development, Mr Stephen O'Brien (MP),was quoted saying his government was contented with mechanisms that Tanzania enforced to get much better information on the value for money of its expenditure and the results it was delivering.No wonder the fight against corruption and economic sabotage in developing world remains an illusion due to such irresponsible analysis of local situation.

The UK government will next month announce spending cuts of up to 25% in many departments as it seeks to erase a budget deficit running at 11% of national output.It therefore goes without saying that such cuts should also encompass restraints in international aid especially to such countries as Tanzania in which the lion's share of such aid is misappropriated by the ruling elite.

Mr Brian's visit to Tanzania, among other things, was to tell Dar that there would be no more aid from UK without revision on how it was spent.So did the UK revise on how previous packages of aid were spent?Seems like they did,and they were "so impressed that they decided to continue offering the aid unconditionally".

It's ironic to hear Mr Brian saying (I quote)"I have taken a keen interest in all things in Tanzania throughout my life.”Did you hear anything about the EPA scandal and the mysterious Kagoda company?What about Tangold,Meremeta,Kiwira,etc?Have you inqured from your Tanzanian friends in the government on how the "economic stimulus package" was spent?Are you impressed with how millions of donor aid offered to Tanzania has consistently failed to improve the standard of living of majority of Tanzanians?


This blog therefore urges the British government to state categorically that its recent aid package to Tanzania is not in anyway whatsoever an endorsement of Kikwete's corrupt regime which seeks re-election in the coming election scheduled for October 31.

Furthemore,Mr O’Brien's statement that the UK would continue to follow events closely in Tanzania and Zanzibar ahead of the elections and wished the country peaceful and orderly elections this October would only be meaningful if he had reflected the importance of free and fair elections in Tanzania.With the the ruling party candidate,incumbent President Kikwete,clearly violating the Election Expenses Act by "bribing voters with numerous pledges-mostly unrealistic and impractical" it is fair to conclude the next five years would another "open season" for "mafisadi" who remain the major beneficiary of the efforts by the United Kingdom and other members of the Tanzania Development Partners Group,which since established in 2004 "has been working with the Government of Tanzania and other domestic stakeholders to strengthen development partnership and effectiveness of development cooperation".


18 Sept 2010

Nimetumiwa ujumbe huu jamani, sifahamu ikiwa ni kweli ama sivyo.
Subi

Wafungwa wa gereza la IBUKONI, wilaya ya ROMBO tarehe 13/09/2010, walitumika kujenga jukwaa alilotumia JK jana wakati akifanya mkutano 15/09/2010, katika shule ya msingi mbomai kati, TARAKEA, ROMBO MKOANI KILIMANJARO. Hii ilisababisha wakazi wa Tarakea wabaki na mshangao kwani siku hiyo Tarakea ilikuwa siku ya soko, na watu wengi walishuhudia tukio hili.
MAPENDEKEZO
Wanasheria wa CHADEMA, angalieni jinsi mtakavyoshughulikia hili.
CCM tafuteni risiti nyingine za kufoji , ambazo zinaonyesha, mmewalipa MAGEREZA WILAYA YA ROMBO, au MAGEREZA MKOA WA KILIMANJARO kwa ajili ya kazi hii ya kujenga jukwaa.

BLOGU HII PIA INAWASHAURI CHADEMA KUANGALIA NAMNA YA KUSHUGHULIKIA UHUNI HUU

Jasusi ChatBot

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.