MWANDISHI MWENZA WA BUNGE LENYE MENO ATIMULIWA BUNGENI NA MWANDISHI MWENZIE (SPIKA SITTA)

Bwana Mapesa,John Momose Cheyo,Mbunge wa Bariadi kwa tiketi ya UDP akitoka nje ya jengo la bunge baada ya kukumbana na makali ya viwango na spidi vya Mheshimiwa Spika Samuel Sitta.Ironically,Cheyo ni mwandishi-mwenza (co-author) wa kitabu BUNGE LENYE MENO.

CHANZO: Jamii Forums

Imewekwa na Evarist Chahali na Hakuna Maoni

0 comments:

Post a Comment

LinkWithin

Blog Widget by LinkWithin

© Evarist Philemon Chahali 2006-2011

    • Zilizovuma
    • Mada
    • Zilizopita