25 Sept 2008

Kwa mujibu wa habari katika toleo la wiki hii la gazeti mahiri la Raia Mwema,Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) huko nyumbani alishatoa kibali cha kuwafungulia mashataka mafisadi lakini hadi sasa hakuna kinachoendelea.Kwa habari hiyo pamoja na nyingine na makala motomoto GONGA HAPA kusoma gazeti hilo mwanana.

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.