29 Jul 2011


Kuna watu wana umuhimu wa kipekee kwa blogu hii na maudhui yake kiasi kwamba kuwatakia heri ya siku ya kuzaliwa kwenye Facebook wall yao pekee ni sawa na utovu wa nidhamu.Didi Vava,Mtanzania mwenzetu mwenye makazi yake huko Marekani,ni mdau mkubwa wa blogu hii,na ni miongoni mwa Watanzania wanaoguswa sana na jinsi nchi yetu inavyotafunwa na mafisadi wakisaidiwa na kiza cha mgao wa umeme.

Basi Mdau Didi, mimi binafsi na wasomaji wote wa blogu hii tunakutakia kila la heri kwa siku hii na katika maisha yako kwa ujumla.

1 comment:

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.