14 Oct 2014

These were the questions I put forward to Mr Robert Shumake (haya ndiyo maswali niliyomuuliza Robert Shumake)
And below are series of Shumake's responses, click photo to enlarge (na chini ni mlolongo wa majibu ya Shumake, bonyeza picha kuikuza)






My final request to Shumake was advising he publishes the provisionary Memorandum of Understanding between his company M/S Shumoja a.k.a Shumake Rails (he has so far failed to concisely clarify on this) and the Government of Tanzania. While he is yet to respond, I will continue with my investigation, and will definitely keep you posted. As for now, I leave to you wananchi to pass a verdict whether this guy a genuine investor or not? (Ombi langu la mwisho kwa Shumake ni kumshauri aweke wazi kataba wa awali kati ya kampuni yake ya M/S Shumoja au Shumake Rails (kwa ujumla ameshindwa kufafanua kuhusu hili) na serikali ya Tanzania. Wakati bado hajanijibu kuhusu ombi hilo, mie ninaendelea na uchunguzi wangu na nitawajuza maendeleo yake.Kwa sasa nawaachia ninyi wananchi kutoa hukumu iwapo mtu huyu ni mwekezaji kweli au la)





0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.