28 Aug 2021

Tukio: Mauaji ya askari polisi watatu na mlinzi mmoja wa kampuni binafsi ya ulinzi
Lini: 25 Agosti 2021
Mahali: Jirani na Ubalozi wa Ufaransa, Barabara ya Ali Hassan Mwinyi, Dar es Salaam, Tanzania
Ripoti za awali: Tamko la Mkuu wa Jeshi la Polisi, Simon Sirro 

Uchambuzi wa kiintelijensia:  

Dhana za awali

Dhana zilizosalia

Hitimisho la awali (provisional conclusion)

Hamza alikuwa "radicalised" na huenda lilikuwa suala la lini/wapi, na sio endapo (when/where not if) angefanya alichofanya. Lakinipia, Hamza alikuwa na kinyongo binafsi na polisi, na hiyo "radicalisation" ilirahisisha uamuzi wake wa "kuwaadhibu." 

Mwisho: 


Intelijensia sio sayansi timilifu (exact science) hasa katika mazingira haya ambapo taarifa mpya zinaendelea kumiminika. Kwahiyo, hitimisho hilo la awali lichukuliwe tu kwa mujibu wa kinachofahamika hadi muda huu. Hata hivyo, uchunguzi zaidi unaendelea.

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.