Showing posts with label AL-QAEDA. Show all posts
Showing posts with label AL-QAEDA. Show all posts

4 May 2011

Osama (kushoto) na Zawahiri
Ayman al-Zawahiri,daktari mwenye umri wa miaka 59 aliyezaliwa Misri,anatarajia kuwa kiongozi wa kundi la kigaidi la Al-Qaeda baada ya kuuawa kwa Osama Bin Laden.

Gazeti la Wall Street Journal la Marekani linamwelezea Zawahiri kuwa ni mwenye msimamo mkali kuliko Osama,japo ana mapungufu wa mvuto (charisma) na utajiri wa Osama.

Taarifa za kwenye kompyuta Zililopatikana katika eneo alilokuwa akiishi Osama,kama zinavyoelezwa HAPA na mtandao wa Politico,zinaweza kuwasaidia mashushushu wa Marekani kufahamu mengi zaidi kuhusu Al-Qaeda na kupelekea uwezekano wa kufahamu alipo Zawahiri.Hadi itapokuwa hivyo,gaidi huyo aliyekuwa namba 2 (Osama akiwa namba 1) katika kundi la Al-Qaeda anaendela kubaki kwenye orodha ya Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI) ya watu wanaosakwa kwa udi na uvumba,na tishio kubwa.

Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) limeshawahi kukaribia kumkamata Zawahiri.Huku akiwa mafichoni,gaidi huyo alitoa mkanda wa video kuhusu vuguvugu la mageuzi nchini Misri mwanzoni mwaka huu,akisema demokrasia inawezekana tu katika ukafiri.Pia alimtukana Rais Obama akitumia neno la ki-baguzi wa rangi (racial epithet).


CHANZO: Huffington Post

9 Apr 2009

Twelve men have been arrested during a major anti-terror operation which was triggered by a top police officer's security blunder. Skip related content

Eight addresses in Liverpool, Lancashire and Greater Manchester were raided by counter-terrorism police in connection with a suspected al-Qaeda plot.

One man was held at Liverpool John Moores University while four others were arrested in the Toxteth and Wavertree areas of the city during the operation by officers from the North West Counter-Terrorism Unit, Merseyside Police, Greater Manchester Police and Lancashire Constabulary.

In Greater Manchester, two men were held at an internet cafe in Cheetham Hill Road and two others were arrested at an address in Galsworthy Road while another man was detained on the M602.

In Clitheroe, Lancashire, two security guards were reportedly arrested at a Homebase store.

It has emerged that the raids had to be brought forward after Metropolitan Police Assistant Commissioner Bob Quick was earlier photographed walking into 19 Downing Street carrying sensitive documents, some of which could be read.

One of the papers, which was clearly marked "secret", is said to have carried an outline briefing of an ongoing counter-terrorism operation and reportedly included the names of several senior officers, locations and details about the nature of the threat.

Mr Quick, the UK's most senior anti-terror officer, had been due to meet Prime Minister Gordon Brown and Home Secretary Jacqui Smith. He has apologised to Metropolitan Police Commissioner Sir Paul Stephenson, saying he "deeply regretted" the incident.

At the Liverpool university, terrified students were held inside the main library on Maryland Street for up to 30 minutes as two Asian men in their mid to late 20s were searched by police.

Craig Ahmed, 24, a business student from Maghull, Merseyside, said: "Suddenly there was all shouting and commotion outside so I went to the window and saw about eight police officers.

"One of them was armed and was pointing his gun at two men who were ordered to lie face down on the ground. For about half an hour they held the men on the floor. The police were shouting things at them but I couldn't hear what was being said."

Elsewhere, there were multiple arrests as armed police raided an internet cafe and other addresses in Cheetham Hill in Manchester.

Police also sealed off a terrace of properties in Earle Road in the Wavertree area of Liverpool while arrests were made at a Homebase store in Clitheroe, Lancashire.

Meanwhile, Whitehall officials are said to be furious about the security breach.

But it is not the first time Mr Quick, who returned to the Met last year from Surrey where he was chief constable, has become embroiled in controversy. Last December he apologised for an outburst in which he accused senior Conservatives of leaking a story about his wife's business interests.

Mr Quick faced unwanted newspaper headlines after it emerged his wife Judith was running a luxury car hire firm from their home and details of their address were published on a website.

The stories followed hot on the heels of his involvement in overseeing the arrest of shadow immigration minister Damian Green as part of a Whitehall leak inquiry.

Speaking at his home, Mr Quick told a reporter his wife and children were forced to move out because of security concerns sparked by the public furore. The comments were an unusual response from a man who regularly meets members of the global intelligence community and whose role thrives on discretion.
SOURCE: ITN

27 Dec 2007


Mwanasiasa mahiri na Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistani,Benazir Bhutto ameuawa baada ya kupigwa risasi mjini Rawalpindi,karibu na mji mkuu wa nchi hiyo Islamabad.Mwanamama huyo ambaye alirejea nchini humo hivi karibuni akitokea kwenye hifadhi ya kisiasa,alipigwa risasi mbili,moja ya shingoni na nyingine ya kifuani,baada ya kumaliza kuhutubia mkutano wa hadhara.Aliyemuua alijilipua kwa bomu la kutoa mhanga baada ya shambulio hilo.Angalau watu 20 waliuawa pia katika shambulio hilo linalotarajiwa kuiingiza Pakistan katika machafuko.
-------------------------------------------------------------------
NANI ANAHUSIKA NA MAUAJI HAYO? (Uchambuzi wa kiuanafunzi)
Jibu jepesi ni YEYOTE.Kifo hicho kinaweza kuwa ni mkakati wa Al-Qaeda kuhakikisha Pakistan inaendelea kuwa "unstable" hivyo kuweka mazingira mazuri ya kustawi kwa "cells" za kikundi hicho cha kigaidi.Pia mauaji hayo yanaweza kuwa kazi ya kikundi chochote kile chenye msimamo mkali wa kidini (ambacho pengine hakina mahusiano na Al-Qaeda).Kwanini wamuue?Sababu kuu ni kwamba mwanamama huyo alikuwa akiwakilisha yale yote yanayopingwa na vikundi vyenye msimamo mkali:demokrasia,haki za akinamama,mahusiano mazuri na Marekani na nchi za Magharibi bila kusahau sapoti yake kwa vita dhidi ya ugaidi.Lakini pia,Bhutto anaweza kuwa ameuawa na "elements" flani ndani za mfumo wa siasa za nchi hiyo (majenerali walio madarakani na wastaafu,mashushushu,nk).Baadhi ya hawa wanaweza kuwa maadui aliowatengeneza kipindi cha utawala wake,lakini wengine wanaweza kuwa wale ambao hawakuwa radhi kumwona mwanamama huyo akirejea kwenye upeo wa kisiasa wa nchi hiyo.

Mmoja wa wasaidizi wa Bhutto anadai kuwa aliandikiwa barua na mwanasiasa huyo hivi karibuni ambapo aliwataja watu watatu walio kwenye serikali ya Rais Pervez Musharaf ambao alidai wana mpango wa kumkwamisha katika harakati zake za kisiasa.Lakini pia Oktoba 18 mwaka huu,Bhutto alinusurika kuuwawa katika shambulio lililogharimu maisha ya mamia ya wafuasi wake.Kwa mtazamo wa mbali zaidi,kidole kinaweza kuelekezwa kwa Ramzi Yousef (ambaye kwa sasa yuko gerezani nchini Marekani kwa kuhusika kwake na mashambulizi ya kigaidi ya Septemba 11,2001).Mwezi Julai mwaka 1993,Ramzi alijaribu kumuua Bhutto kwa bomu lakini hakufanikiwa.Ilifahamika baadae kwamba gaidi hiyo alikuwa akitekeleza mpango ulioandaliwa na "elements" flani ndani ya Pakistan,katika baadhi ya nchi za Ghuba na kamanda mmoja wa vikundi vya Afghanistan aliyekuwa na "connection" na Saudi Arabia.

Kama nilivyosema mwanzoni,YEYOTE kati ya makundi hayo niliyoyataja,anaweza kuwa mhusika.Ukweli unabaki kuwa uamuzi wa mwanamama huyo kurejea Pakistan kutoka kwenye hifadhi yake ya kisiasa ulikuwa ni sawa na kujiandikia hukumu ya kifo kwani alikuwa na maadui wengi,ndani na nje ya Pakistan.Bhutto mwenyewe alikiri kufahamu kwamba uamuzi wake wa kurejea Pakistan ulikuwa ukihatarisha maisha yake,na hilo linaweza kumfanya akumbukwe kwa ujasiri wa kutoogopa kuuawa (japo sasa ameuawa) kwa minajili ya kuwatumikia Wapakistani.

PS: Huu ni uchambuzi wangu binafsi kama mwanafunzi wa Siasa za Kimataifa,jisikie huru kunikosoa.

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.