Showing posts with label IRAQ. Show all posts
Showing posts with label IRAQ. Show all posts

22 Dec 2008

AISEE,ILE ISHU YA KUMTWANGA GEORGE W BUSH NA KIATU INAENDELEA KUVUTA HISIA.LATEST,JAMAA ALOTENGENEZA VIATU VILIVYOTUMIKA KUMTWANGA BUSH AMEJIKUTA AKIPATA DILI KIBAO,YAANI CHATI NDIO IMESHAPANDA.SINTOSHANGAA TUKISKIA NA HUKO HOME SHOE-SHINER FLANI KAPATA DILI BAADA YA KIATU ALICHOKUWA AKIKIHUDUMIA KUTUMIKA KUMRUSHIA FISADI FLANI....NAJUA HIYO NI PIPE-DREAMING KWA VILE MAFISADI WENYEWE WANALETWA MAHAKAMANI NA MASHANGINGI,WAKIWA LUPANGO WANALAZWA VIP KAMA KEMPINSKI,NA WAKIPATA DHAMANA WANACHUKULIWA NA MA-VOGUE YAO!BACK TO STORI YA IRAQI,KONG'OTA HAPA USOME ZAIDI

16 Dec 2008



Chati ya Muntadhar al Zaid,mwandishi aliyemtupia viatu Rais Bush imepanda ghafla.Tayari charity organization moja huko Libya imetangaza kutoa tuzo kwa mwandishi huyo.

15 Dec 2008

He had been hunted, kidnapped, and told he was filming his own execution. But CNN correspondent Michael Ware had no plans to leave Iraq. Now, it won’t leave him...CLICK HERE FOR THE FULL STORY.


20 Sept 2008



Click HERE to read the story.

14 Sept 2008

John McCain would definitely say "Yes it Does",and so would Sarah Palin,and most,if not all,of the Republicans.However,it is claimed that violence is down in Iraq,not because of the surge,but rather the domination of the Shia and Iran in the country.HERE is the story.

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.