Showing posts with label GEORGE W BUSH. Show all posts
Showing posts with label GEORGE W BUSH. Show all posts

22 Dec 2008

AISEE,ILE ISHU YA KUMTWANGA GEORGE W BUSH NA KIATU INAENDELEA KUVUTA HISIA.LATEST,JAMAA ALOTENGENEZA VIATU VILIVYOTUMIKA KUMTWANGA BUSH AMEJIKUTA AKIPATA DILI KIBAO,YAANI CHATI NDIO IMESHAPANDA.SINTOSHANGAA TUKISKIA NA HUKO HOME SHOE-SHINER FLANI KAPATA DILI BAADA YA KIATU ALICHOKUWA AKIKIHUDUMIA KUTUMIKA KUMRUSHIA FISADI FLANI....NAJUA HIYO NI PIPE-DREAMING KWA VILE MAFISADI WENYEWE WANALETWA MAHAKAMANI NA MASHANGINGI,WAKIWA LUPANGO WANALAZWA VIP KAMA KEMPINSKI,NA WAKIPATA DHAMANA WANACHUKULIWA NA MA-VOGUE YAO!BACK TO STORI YA IRAQI,KONG'OTA HAPA USOME ZAIDI

17 Dec 2008

A web developer has made thousands of dollars from George Bush after registering the lapsed domain name for his presidential library. 

George Huger bought the domain GeorgeWBushLibrary.com for just $10 (£6.60) after the web developers for the library website failed to renew it.

He then sold the domain back to the Bush family and their contractors for a whopping $35,000 (£23,000) - a 3,500% return on his investment.

GeorgeWBushLibrary.com is the official website for the presidential library of Mr Bush, located on the campus of Southern Methodist University in Dallas, Texas.

Jonathan Robinson, chief operating officer at domain registrar NetNames said opportunist speculators are so quick to pounce, "that brands, businesses and even former presidents can be at risk".

But internet and domain law expert Adam Taylor, principal at Adlex Solicitors, says there were several other options available.

He said: "It surprises me that they paid the $35,000 on the face of it. There are a whole range of options here."

Mr Taylor said the usual course in a case like this is to seek recovery of the domain name through arbitration under the "uniform domain name dispute resolution policy".

This protects rights owners where domain names have been registered and used in bad faith.

Court is also a possibility if it could be proven Mr Huger was misrepresenting himself as connected with the library, if he infringed a registered trade mark or if he broke the US laws on cybersquatting.

Mr Taylor added: "It looks to me as though there's a possibility the web development company paid it off their own back, perhaps out of embarrassment.

SOURCE: Sky News

16 Dec 2008



Chati ya Muntadhar al Zaid,mwandishi aliyemtupia viatu Rais Bush imepanda ghafla.Tayari charity organization moja huko Libya imetangaza kutoa tuzo kwa mwandishi huyo.

15 Dec 2008


11 Nov 2008






6 Nov 2008


25 Oct 2008

24 Oct 2008


HERE is the story.

5 Mar 2008

Hatimaye Seneta wa Arizona (Republican) John McCain ameshinda nomination ya chama chake kugombea Urais wa Marekani baadaye mwaka huu baada ya kufanikiwa kupata delegates 1195.Kwa mujibu wa Breaking news hii ya CNN,inatarajiwa kuwa kesho (kwa saa za US of A,maana hapa tayari ni Jumatano) Rais George W.Bush atam-endorse rasmi McCain.Kazi kubwa iliyobaki mbele ya Seneta huyo ni kuwaunganisha Republicans wenzie,hususan wale wanaodai kuwa he's not conservative enough kama Rush Limbaugh,Sean Hannity,Ann Coulter na wengineo.Baada ya hapo kinafuatia kimuhemuhe cha kuingia 1600 Pennsylvania Avenue NW dhidi ya Barack Obama au Hillary Clinton.

30 Jan 2008

Pamoja na mambo mengine,makala yangu katika toleo la wiki hii la gazeti la Raia Mwema inatoa changamoto kwa vyombo vya habari vya Tanzania kutumia ipasavyo teknolojia ya habari kwa kuwezesha habari zao kupatikana mtandaoni.Pia nimegusia kwa kifupi "tangazo" la Balozi Ali Karume kuhusu dhamira yake ya kugombea urais wa Zanzibar mwaka 2010.Vilevile nimetumia sehemu kubwa kuelezea namna ziara ya Rais Bush nchini Tanzania inavyoweza kusaidia mapambano dhidi ya ufisadi,hasa kama "tukimwaminisha" kuwa fedha zinazoibiwa na mafisadi hao zinaweza kuishia mikononi mwa akina Osama bin Laden (well,pengine mafisadi hawana uhusiano na magaidi wa kimataifa lakini wengi tunajua kwamba neno UGAIDI likihusishwa na kitu chochote kile/mtu yeyote yule lazima itamsukuma Bush kufanya kitu flani).Bingirika na makala hiyo na nyinginezo zilizokwenda shule kwenye gazeti mwanana la Raia Mwema kwa KUBONYEZA HAPA

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.