15 May 2009




Now, most footballers are partial to a flash motor or two as an ultimate status symbol.But to say this show-stopping chrome Mercedes-Benz SLR McLaren is just slightly attention-seeking would be something of an understatement.The garish £420,000 supercar belongs to proud owner Blackburn Rovers' striker El Hadji Diouf (below)....CONTINUE
SOURCE: The Daily Mail


SOMA HABARI HII KISHA UNGANA NAMI MWISHONI KATIKA KUHOJI LOGIC YA TCRA.


Kusajili simu lazima
:: Ambazo hazitasajiliwa hadi kufikia Desemba kufungwa
:: Serikali, kampuni zote za simu kushirikiana pamoja
:: Usajili kuanza rasmi Julai mosi, lengo kuthibiti uhalifu

Na Debora Sanja

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imewataka watumiaji wa simu za mikononi kusajili simu zao kabla ya Desemba, mwaka huu.

Kauli hiyo ilitolewa jana na Connie Shirima kwa niaba ya Mhandisi wa mamlaka hayo James Kilaba, wakati akiwasilisha mada ya usajili wa kadi za simu kwa wahariri wa vyombo vya habari.

Shirima alisema, kwa wale wote ambao hawatasajili kadi zao za simu, ifikapo Desemba zitafungwa na hawatakuwa na uwezo wa kuzitumia
tena.

“Kazi ya kusajili kadi za simu za mikononi itaanza rasmi Julai mosi, mwaka huu, kwa kuwa wajumbe wote wa mamlaka husika wameshakaa na kujadili ni jinsi gani kadi hizo zitasajiliwa,” alisema Shirima.

Alisema wajumbe wa kamati hiyo ya usajili ni kampuni zote za simu nchini, Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka, Idara ya Uhamiaji na TCRA
wenyewe.

Shirima alisema wameamua kushirikisha idara hizo zote, ili kuhakikisha zoezi hilo halikwami kutokana na kuacha kushirikisha idara ambayo ni
muhimu katika usajili huo.

Alisema Tanzania bado haijawa na vitambulisho vya uraia kwa watu wake, lakini vitambulisho mbalimbali vitatumika wakati wa kusajili simu hizo.

“Vitambulisho ambavyo vitatumika katika usajili huo ni kitambulisho cha kazi, leseni ya gari, kitambulisho cha benki, kitambulisho cha kupiga kura, kitambulisho cha bima ya afya, hati ya kusafiria, vitambulisho vya vyuo, vitambulisha vya umoja wa kikundi, na kadi za magari,” alisema Shirima.

Alisema vitambulisho ambavyo vitakuwa havina picha, mteja atatakiwa kupiga picha na kuipeleka kwa ajili ya usajili. Shirima alisema zoezi hilo linawezekana, kwa kuwa kuna nchi nyingi kama vile Afrika ya Kusini na Ufilipino ambako Serikali zimeweza kusajili simu zao za mikononi, japokuwa hawana vitambulisho vya uraia.

Alisema vitendo vya uhalifu wa kutumia simu za mkononi havitakuwapo tena kwa kuwa kila mwenye kadi ya simu atajulikana kutokana na taarifa zake ambazo atakuwa amejaza kabla ya kusajiliwa.

Akizungumzia tatizo la uuzaji wa kadi za simu kiholela, alisema wamiliki wote wa mitandao ya simu watatakiwa kuwasajili wachuuzi wanaouza kadi za simu kwa kuwapa namba maalumu, ambazo zitawezesha kujua mteja amenunua wapi kadi hiyo.

Wale wote watakaokuwa wanauza line za simu barabarani watapewa namba maalumu na fomu ambazo zitamuwezesha mteja kujaza taarifa zake muhimu kabla ya kununua kadi ya simu,” alisema.

Alisema kamati ya usajili imeamua fomu zote atakazojaza mteja kabla ya kununua kadi ya simu zitakuwa zinafanana, ili kuondoa utata ambao unaweza kujitokeza.

Katika fomu hizo, mteja atatakiwa kujaza jina lake kamili, namba yake ya simu, mkoa na wilaya anayotoka, kabila, namba ya kadi ya simu yake na namba ya sehemu ambapo amenunua kadi hiyo.

Vile vile alisema kuna sheria ambayo inaandaliwa kwa ajili ya kuboresha usajili wa simu za mikononi.

Akizungumzia suala la utumiaji wa namba za siri katika kupiga simu, amesema TCRA walishapiga marufuku tangu Machi mosi, mwaka huu.

TCRA imeanza jana kuadhimisha wiki ya Mawasiliano na Habari Jamii Tanzania (WTSD), ambapo jana imeanza na semina kwa wahariri wa vyombo vya habari nchini.

Miongoni mwa mada zilizojadiliwa, ni ujumbe wa mwaka huu wa kuwalinda watoto na utumiaji wa mtandao, shughuli za TCRA na nafasi iliyonayo ya udhibiti, jinsi ya kutumia teknolojia ya kisasa(digital) na usajili wa simu na kadi za simu.

Uzinduzi rasmi wa siku hiyo unafanyika leo katika hoteli ya Ubungo Plaza, ambako mada mbalimbali zitatolewa kujadili jinsi gani ya kumlinda mtoto na matumizi ya mtandao, na mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Sayansi, Mawasiliano na Teknolojia, Profesa Peter Msolla.

CHANZO:
Mtanzania


HII IMEKAA MKAO WA KURA ZA MAONI YA WAUAJI WA ALBINO.KAMA HUJANIELEWA,NAMAANISHA UTARATIBU ULIOZOELEKA WA KUJA NA MAAGIZO YASIYO PRACTICAL.MAMLAKA YA MAWASILIANO (TCRA) INALETA HADITHI ZA KULAZIMISHA KUSAJILI SIMU ZA MIKONONI.SABABU WANAYOONA YA MSINGI KUTOA AMRI HIYO NI KUPUNGUZA UHALIFU.HII NI SABABU DHAIFU KWA VILE KWANZA,UHALIFU ULIKUWAPO HATA KABLA YA UJIO WA MOBILE PHONES MWISHONI MWA MIAKA YA 90,NA TCRA HAWAJAELEZA LINI WALIFANYA UTAFITI ULIOONYESHA KUWA USAJILI WA SIMU ZA MIKONONI UTASAIDIA KUPUNGUZA UHALIFU. WANASEMA ZOEZI KAMA HILO LIMEWEZEKANA AFRIKA KUSINI NA UFILIPINO (SIO KWAMBA LIMEKOMESHA UHALIFU BALI LIMEWEZEKANA PASIPO VITAMBULISHO VYA URAIA)

ETI WANASEMA BAADA YA USAJILI HUO UHALIFU WA KUTUMIA SIMU UTAKOMA?KWA MIFANO IPI HAI?WHAT IF MTU ATANIOMBA SIMU YANGU,KISHA AKAITUMIA KWA SHUGHULI YA UHALIFU PASIPO RIDHAA YANGU?SI YANAKUJA YALEYALE YA KURA ZA MAONI KUHUSU MAUAJI YA ALBINO AMBAPO BAADHI YETU TULIONYA HATARI YA KURA ZA CHUKI?

LAKINI KUNA SUALA LA MUHIMU ZAIDI YA WHETHER MPANGO HUO UTAFANIKIA AU LA,NALO NI RIGHT TO PRIVACY.NASHANGAA MAKUNDI YA HAKI ZA BINADAMU YAMEKUWA KIMYA KUHUSU SUALA HILI.KAMA SUALA NI KUPUNGUZA ( AU KUTOKOMEZA UHALIFU) TAYARI TUNA MAMLAKA KAMA POLISI LENYE JUKUMU HILO NA SIJAWAHI KUSIKIA LIKIDAI KUWA UHALIFU UNAONGEZEKA KWA VILE SIMU HAZIJASAJILIWA.VILEVILE,JESHI HILO LINAPASWA KUWA NA TEKNOLOJIA YA KU-TRACE SIMU SIMU ZINAZOSHUKIWA KUHUSIKA NA UHALIFU.

HII NI VICTIMIZATION OF WATUMIAJI WOTE WA SIMU IN THE SENSE KUWA KILA MTUMIAJI SIMU NI POTENTIAL CRIMINAL.TUKIRUHUSU SUCH ABUSE OF OUR HUMAN RIGHTS INAWEZA KUPELEKEA FURTHER ABUSES KWENYE MAENEO MENGINE KAMA VILE INTERNET.KWA VILE KUNA TOVUTI ZINATUMIA TEKNOHAMA KUFANYA MAMBO YASIYOSTAHILI SIO EXCUSE KWA MAMLAKA HUSIKA KUZI-CRIMINALIZE TOVUTI ZOTE.IN THE SAME LINE OF THINKING,KWA VILE BAADHI YA WAHALIFU HUTUMIA SIMU KATIKA KUTENDA UHALIFU SIO SABABU YA KU-CRIMINALIZE KILA MTUMIAJI WA SIMU.

NA PENGINE CHA MUHIMU ZAIDI NI USALAMA WA HIZO PERSONAL DETAILS ZITAKAZOHITAJIKA WAKATI WA KUKAMILISHA USAJILI WA SIMU.KAMA MITIHANI INAVUJA HUKO NECTA,FEDHA ZINAIBIWA BENKI KUU (NOT MENTIONING KUIBIWA KWA LAPTOP YA IGP OFISINI KWAKE),KWANINI TUSIHOFU KUWA SIKU YA SIKU PERSONAL DETAILS HIZO ZINAWEZA AIDHA KUIBIWA AU KUUZWA? HIVI KWANINI TCRA HAIZUNGUMZII USALAMA WA DATA HIZO,ITAZIHIFADHI KWA MUDA GANI,NA HATUA ZIPI ZITACHUKULIWA PINDI DATA HIZO ZITAKAPOTUMIKA NDIVYO SIVYO?

HIVI TAASISI ZA HAKI ZA BINADAMU HUKO NYUMBANI ZIKO WAPI?AU ZIKO BUSY NA KUOMBA POSHO KWA WAFADHILI FOR PERSONAL PURPOSES?

14 May 2009


From Ms Mariam Savimbi,
Ouagadougou,Burkina Faso.

Dearest one,

Good day,my name is Mariam.J.Savimbi the only daughter of Mr. JANTORE K.SAVIMBI a licensed solid mineral (gold, diamond and cocoa)exporter during his days.

Before the death of my father, he apparently married a woman who became my stepmother because my mother died when i was six years and since then my father took me special than any other person till his point of death, but I discovered that there was some ill-feeling from my stepmother towards me since after the death of my late Dad, since after then I have been badly treated; being forced to undertake work befitting like a servant in my own father's house. When my father died instead of her being in the state of mourns as custom and traditional demanded, she went as much as desired and claimed my father's house properties etc which in future regarded as a possible danger to my live.

Before my father passed away recently, he called to informed me privately that he had a deposit
valued Seven million three hundred thousand USD ($7,300.000.00usd)and a deposit of 350 kilos of 22 carat annuval gold dust for safe keeping in a security company here , he further told me that he intended to move the said funds and gold dust abroad to his foreign associate for investment on my behalf, this properties was acquired from the diamond/gold export contract he secured and executed under the umbrella of the government.

Truly i don't know you but considering my situation and security, couple with an uncontrollable
crisis between me and my stepmother, I discover my life is no more safe here.I therefore confided on your assistance and write with due respect and ask for your kind assistance to please help me and get the funds and the gold moved to your country on my behalf for investment.

Meanwhile I am willing to offer you 15% of the total funds/gold dust as a compensation towards
your assistance.And 5% will also be set aside should in case of any income expenses handled by you during the depositing of the funds into your bank account while the remaining 80 % will be for me and the investment under your care.I have plans to do investment in your country, like real estate, industrial production or any other lucrative investment you bring to my notice in your country.

Please if you are willing to assist me, indicate your interest by sending your response so that I can communicate with you for more details and immediate procedure.

Thanks and waiting for your urgent response.

Yours sincerely.

Mariam Savimbi.


Former Tanzanian beauty queen Mona Lewis, who was dumped from The Apprentice, has admitted that it may have been because she was too boring.The 28-year-old from Kent also defended claims that she had not enjoyed this week's task - to revitalise Margate's tourist industry - because her team chose to attract gay people...continue



TOLEOJIPYA39 TOLEOJIPYA39 JIMMY PHILEMON

12 May 2009


11 May 2009






Read it HERE.


HIVI KARIBUNI,WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS (MENEJIMENTI NA UTUMISHI WA UMMA),USTAADHA HAWA GHASIA,ALITOA ONYO KALI DHIDI YA WATU WANAOJIHUSISHA NA KILE ALICHOKIITA "WIZI WA NYARAKA ZA SERIKALI".NISINGEPENDA KUREJEA REACTIONS MBALIMBALI ZILIZOTOKANA NA KAULI HIYO LAKINI MMOJA YA SAUTI ZILIZOPINGA VIKALI TAMK HILO LA GHASIA NI MBUNGE WA KARATU NA KATIBU MKUU WA CHADEMA,DR WILBROAD SLAA.MWANASIASA HUYO NGULI WA MAPAMBANO DHIDI YA UFISADI ALIELEZA WAZIWAZI KWAMBA NYARAKA ZINAZOFICHA UFISADI HAZIPASWI KUWEKWA KWENYE KUNDI LA NYARAKA ZA SIRI ZA SERIKALI.DR SLAA ALIELEZA BAYANA KWAMBA PINDI AKILETEWA NYARAKA ZA AINA HIYO ATAZIMIA PASI UOGA KWA VILE NI KWA NJIA HIYO NDIO TUMEFANIKIWA KUBAINI SKANDALI KAMA ZA EPA,RICHMOND NA NYINGINEZO.


NI DHAHIRI TAMKO LA WAZIRI GHASIA LILENGA KUWATISHA WATU KAMA DR SLAA.LAKINI PIA WAZIRI HUYO ALIFANYA HIVYO KWA VILE NI MIONGONI MWA VIONGOZI WA SERIKALI WENYE DHAMANA NA MASUALA YANAYOHUSU IDARA MBALIMBALI ZA SERIKALI.


BILA KUUMAUMA MANENO,HEBU TUJIULIZE: HIVI ROSTAM AZIZ ALIPOITISHA PRESS CONFERENCE YAKE NA KUTOA "USHAHIDI" MBALIMBALI KUPIGILIA MSUMARI HOJA YAKE KUWA REGINALD MENGI (MWENYEKITI MTENDAJI WA MAKAMPUNI YA IPP) NI FISADI NYANGUMI,ALIZIPATAJE NYARAKA MBALIMBALI ZINAZOPASWA KUWA KATIKA HIFADHI YA TAASISI HUSIKA ZA SERIKALI?

ROSTAM SI MTUMISHI WA MAMLAKA YA MAPATO AU MWAJIRIWA KATIKA WIZARA YA FEDHA KIASI CHA KUWA NA "DATA" ALIZOTOA KUHUSU MENGI.NA KWA VILE MAMLAKA HUSIKA ZIMEKUWA KIMYA KUHUSU WAPI MBUNGE HUYO WA IGUNGA ALIPATA NYARAKA HIZO NI WAZI KWAMBA ALIPATIWA KWA RIDHAA YA WAHUSIKA.

WATETEZI WA ROSTAM,KUANZIA WAZIRI SOPHIA SIMBA NA KAPTENI GEORGE MKUCHIKA WAMEKUWA KIMYA KABISA KUKEMEA "HUKUMU" ALIYOTOA ROSTAM DHIDI YA MENGI TOFAUTI NA WALIVYOKURUPUKA MARA BAADA YA KIPENZI CHAO KUTAJWA KUWA NA MENGI KUWA NI FISADI PAPA.BY THE WAY,MENGI SI MTU WA KWANZA KUMTUHUMU ROSTAM KUWA NI FISADI.HIYO NI OPEN SECRET,NA KINACHOKWAZA WATU HAWA KUCHUKULIWA HATUA NI NJAA TU ZA HAO WENYE WAJIBU WA KUFANYA HIVYO ZINAZOKIDHIWA NA JEURI YA FEDHA ZA MAFISADI HAO.

SASA,SIJUI WAZIRI GHASIA ANAWEZA KUTUELEZA NINI KUHUSU WIZI WA NYARAKA ZA SERIKALI ULIOFANYWA NA ROSTAM.NAUITA WIZI KWA VILE ROSTAM SIO TRA,DPP,MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI AU TAASISI YOYOTE YA SERIKALI YENYE DHAMANA YA KUWA NA NYARAKA ZILIZOTUMIWA NA MFANYABIASHARA HUYO KWENYE "KUJENGA KESI" YAKE DHIDI YA MENGI.

SASA NAELEWA KWANINI ROSTAM ANAWEZA KU-WISH ASINGEJIBU HOJA ZA MENGI KWANI WATAPOFIKA MAHAKAMANI ANAPASWA KUULIZWA YEYE ALIKUWA NA NYARAKA HIZO KAMA NANI?ALIZIPATAJE?NA JE KUWA NAZO SIO KOSA (KWA KUREJEA "MKWARA" WA WAZIRI GHASIA?

NA HIYO NI NJE YA TAARIFA ZA KUAMINIKA KUWA NYINGI YA DATA ALIZOTUMIA ROSTAM NI "MAKANJANJA" (FAKE DATA) AMBAPO WAJANJA WA MJINI WALIPOSIKIA KUNA TENDA YA FEDHA NYINGI YA KUWEZESHA KUPATIKANA KWA INCRIMINATING EVIDENCE DHIDI YA MENGI WAKACHANGAMKIA TENDA HIYO LAKINI KATIKA HALI YA UFISADI.WHY NOT,KUMFISADI FISADI NI SAWA KABISA NA KULIPA KWA NOTI BANDIA MANUNUZI YA CHENI ILIYOTENGENEZWA KWA DHAHABU FEKI.


MWISHO,NAPENDA KUSISITIZA KWAMBA SINA CHUKI NA ROSTAM AU MTANZANIA YEYOTE MWENYE ASILI YA NJE YA NCHI.ILA SIFICHI UKWELI KWAMBA NINA ZAIDI YA CHUKI,HASIRA,DUA BAYA (NA MENGINE NISIYOWEZA KUTAJA HAPA) DHIDI MAFISADI.UTETEZI WA KIPUUZI WA MAFISADI UMEKUWA KWENYE VITU KAMA RANGI,DINI,KABILA,NK.MTAKUMBUKA MKURUGENZI WA IPC,EMMANUEL OLE NAIKO ALIZONGWA KUHUSU KWANINI ALITOA KIBALI CHA UWEKEZAJI KWA KAMPUNI YA KITAPELI YA RCHMOND,KIMBILIO LAKE KUU LILIKUWA UKABILA.ETI "NAANDAMWA KWA VILE NATOKA ENEO MOJA NA LOWASSA"!

LEO HII AKINA ROSTAM,MANJI,SOMAIYA,JEETU NA SUBASH WANATAKA KUTUAMINISHA KUWA TUHUMA DHIDI YAO ZINACHANGIWA NA "UTANZANIA" WAO WENYE ASILI YA NJE YA NCHI.HUU NI UTETEZI MUFILIS NA NI WA KIFISADI KAMA WANAVYOTUHUMIWA.HIVI WANATAKA KUTUAMBIA KUWA TULIPOPAMBANA NA MKOLONI,MJERUMANI NA MWINGEREZA TULIKUWA WABAGUZI WA RANGI?

Jasusi ChatBot

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.