Makala yangu ktk Raia Mwema Toleo la April 20: "CCM na joka lenye vichwa vitatu!"
Makala yangu katika toleo la wiki hii la jarida mahiri la Raia Mwema inazungumzia suala lililokamata hisia za Watanzania wengi kwa sasa la CCM kujivua magamba
Makala yangu Katika Jarida la Raia Mwema Wiki Hii: "Viongozi Wetu Wanafurahia Matanuzi"
Makala yangu katika toleo la wiki hii la jarida la Raia Mwema inazungumzia namna watawala wetu wanavyoendekeza matumizi ya anasa huku wananchi wa kawaida wakizidi kuwa masikini
Makala yangu katika Jarida la Raia Mwema Machi 30: "Idara ya Usalama na Changamoto Mpya"
Makala yangu wiki hii inajadili changamoto zinazowakabili mashushushu wetu





























































