7 Jun 2016

Heri ya siku yako ya kuzaliwa, dear Sintah. Mwenyezi Mungu akujaalie kila la heri na baraka katika maisha yako. Asante sana kwa kuwa ndugu mwema. Siku zote umekuwa kama ndugu uliyezaliwa tumbo moja nami. Siku yako ya kuzaliwa imeangukia wakati mwafaka, mwanzo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, na kwahiyo naomba pia kukutakia Ramadhan Kareem.

1 comment:

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.