12 Mar 2008

Makala yangu katika toleo la wiki hii la gazeti la Raia Mwema inatanua wigo wa uchambuzi kuhusu suala la ufisadi na kuangalia eneo jingine nyeti la ufisadi wa ngono.Umeshawahi kujiuliza ma-miss wangapi wanaletwa jijini Dar kutoka vijijini,wilayani au mikoani kisha kushirikishwa kwenye mashindano ya ulimwende na hatimaye kuachwa mikononi mwa fisi-maji wa ngono?Pamoja nahabari na makala nyingine zilizobobea,bingirika na makala yangu hiyo kwa KUBONYEZA HAPA

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.