22 Oct 2010


Kama ilivyo ada,toleo la wiki hii la jarida la Raia Mwema limesheheni habari moto moto na makala zilizokwenda shule.

Makala yangu katika toleo hili inazungumzia kuhusu Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Jumapili wiki ijayo.Nimejaribu kujenga hoja kwanini miaka mingine mitano kwa Jakaya Kikwete ni hatari kwa ustawi wa taifa letu.

Nisikupunje uhondo bali bingirika na makala hiyo kwa KUOBONYEZA HAPA.

0 comments:

Post a Comment

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.