Leo tarehe 23.06.2016 Uingereza itapiga kura ya maoni kuamua kuhusu hatma ya uanachama wake katika Umoja wa Ulaya (EU). Jana, nilipata fursa ya kushiriki katika mjadala mkali katika kipindi cha Dira ya Dunia cha Idhaa ya Kiswahili ya BBC Radio.
Sikiliza kwenye audio hapo chini mjadala huo (unaojiri baada ya taarifa ya habari). Karibuni
0 comments:
Post a Comment