Showing posts with label JAMBOFORUMS. Show all posts
Showing posts with label JAMBOFORUMS. Show all posts

24 Feb 2008

Hatimaye ukumbi wa majadiliano katika mtandao (web forums) wa Jambo Forums umerejea hewani baada ya kujitokeza matatizo kati ya baadhi ya wanachama wa Jambo na jeshi la Polisi.Habari zaidi soma hapa

20 Feb 2008

Ukumbi maarufu wa mtandao (web forum) kwa Watanzania,JAMBOFORUMS,hauko hewani.Kwa mujibu wa taarifa kutoka KLH NEWS,wanachama wawili wa Jamboforums walikuwa wakishikiliwa na polisi kwa tuhuma zinazoashiria kuhusishwa na ushiriki wao kwenye Ukumbi huo.Kwa habari zaidi,soma HAPA na HAPA

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.