Showing posts with label PONZI SCHEME. Show all posts
Showing posts with label PONZI SCHEME. Show all posts

22 Apr 2009



KWA MFANO KATINA GAZETI LA SANI KUNA HABARI KWAMBA MWANANCHI MMOJA ALIYEPANDA MBEGU ZENYE THAMANI YA SHS MILIONI 20 "AMEPARALAIZI" (AMEPOOZA)UPANDE MMOJA WA MWILI WAKE BAADA YA HABARI KUWA HUENDA MBEGU YAKE HIYO IKAWA "IMEOZA ARDHINI".....KIBAYA ZAIDI NI KWAMBA MBEGU HIZO (SHS MILIONI 20) ZILIKUWA NI FEDHA ZA URITHI WA FAMILIA,NA "MPANDA MBEGU" HUYU ALITUMIA TU NAFASI YAKE KAMA MWEKA HAZINA WA FUNGU HILO AKIAMINI MBEGU ZINGEZAA FAIDA NA KISHA ANGEREJESHA KIWANGO HICHO......



7 Apr 2009


Development Entrepreneurship for Community Initiative (Deci) Tanzania, which is operating a pyramid scheme, has no bank account, investigations have established.

Meanwhile, BoT and other regulatory agencies came under the spotlight yesterday, with some Deci members and other stakeholders querying why it had taken them "so long" to establish irregularities in Deci's operations.

A source in the team that investigated Deci's operations told The Citizen yesterday that tens of millions of shillings collected from members were actually deposited in personal bank accounts operated by Deci officials.

"We wanted to know whether Deci had a company account, and who were their bankers, and they told us that the company did not have a bank account opened in its name," said the source, who did not want to be named because he was not authorised to reveal the probe team's findings to the media.

He added that Deci officials told investigators that money collected from members was kept in their (officials) personal accounts.

The probe team comprised officials from the Directorate of Criminal Investigations, Financial Intelligence Unit (FIU) of the Finance and Economic Affairs ministry, Tanzania Intelligence and Security Services, Bank of Tanzania (BoT) and Capital Markets and Securities Authority (CMSA).

It was also established that Deci was using a letter from BoT to gain the trust of people who wanted to join its pyramid scheme, and convince them that the company was operating legally.

The source said the letter was in response to Deci's application for a licence, adding that the central bank directed the firm to seek registration from the Industries and Commerce ministry.

BoT's director of banking supervision, Mr Joseph Massawe, said yesterday that Deci sent an application to the central bank two years ago seeking registration as an institution that would be issuing loans without taking deposits.

He said BoT advised Deci officials to seek registration from the relevant ministry.

"They have been misusing our letter of no objection. This matter is now in police hands. We have given them all the details on Deci's operations," Mr Massawe said.

Meanwhile, there was tension at Deci's headquarters in Mabibo, Dar es Salaam, following reports that many people who had invested in the pyramid scheme could lose their money.

People could be seen standing in groups discussing the latest developments in low tones.

However, some were hopeful, maintaining that Tanzanians were being deliberately misled into believing that Deci was a criminal outfit.

Others queried why it had taken BoT three years to realise that Deci was operating illegally.

Mr Eliseus Losulie described Deci as a saviour of poor people "who have for many years been exploited by other financial institutions, including banks".

"We reject BoT's announcement made through the media, we have already invested a lot of money here...where were they since 2007? They are liars," he said.

Another member said there was a need conduct a public awareness campaign to make those who were "demonising" Deci understand its operations.

"May be we should raise money and pay for airtime at a television station so that our leaders can explain what Deci is all about," he suggested.

Long queues could be seen outside the Deci offices at Mabibo yesterday as people waited to deposit money.

A man came out of the offices, displaying two receipts, and declaring that there was no one to stop Deci operations except God.

"Here are my receipts, I have just deposited my money. I don't care what BoT says, "we are tired of these politics which will not take us anywhere," he said.

Efforts by The Citizen to reach Deci officials failed as their mobile phones went unanswered.

At its Mabibo headquarters in Dar es Salaam, the company is said to be receiving deposits from an estimated 3,000 people every day.

Deci officials told The Citizen last week that they had paid out over Sh35 billion in "profits" and registered more than 500,000 members since last year when their operations began picking up.

They dismissed reports that the firm was running an illegal scheme as "unfounded and witch-hunting", but could not explain where the money to pay the huge interests came from.


SOURCE: The Citizen

I CAN'T HELP ECHOING SAME QUESTION AS ASKED BY MANY "WHERE HAVE THEY BEEN (relevant authorities) SINCE 2007?"I JUST HOPE IT'S NOT CONFLICT OF INTERESTS THAT HAS ALL THE SUDDEN MADE DECI OPERATIONS ILLEGAL.
THOUGH I AM IN NO WAY CONDONING FRAUD OR "DAYLIGHT ROBBERIES",THE POOR ARE LIKELY TURN TO SUCH GET-RICH-QUICK SCHEMES WHEN THEY ARE BEING NEGLECTED OR UNDER-SERVED BY FORMAL FINANCIAL SECTOR.



13 Dec 2008

Watanzania wengi wanapenda habari.Na siku hizi vyombo vya habari viko vya kumwaga.Hata hivyo,upatikanaji wa habari za uhakika bado ni tatizo.Kwanza,wanahabari wengi wa huko nyumbani wanapendelea zaidi kuripoti habari badala ya kuleta habari iliyochunguzwa.Leo hii ukitoka ughaibuni na vizawadi viwili vitatu kisha ukaitisha press conference na kudai unataka kuanzisha mradi flani,kesho yake habari hizo zitaripotiwa kama ulivyotaka.Na kama hiyo press conference itaambatana na makulaji na vinywaji basi si ajabu habari hiyo ikawa ukurasa wa kwanza.Of course,kuna exceptions kwenye magazeti kama This Day,Kulikoni,Raia Mwema,Mwanahalisi na mengine machache.

Tatizo la pili katika upitakanaji wa habari liko katika mafungu mawili.Kwanza,japo magazeti ni mengi,wenye uwezo wa kununua bado si wengi sana.Bei ya wastani ya gazeti ni shilingi 400.Ukizingatia ugumu wa maisha,ni vigumu kutoa kiasi hicho kwa gazeti ambalo ukishasoma linakuwa halina matumizi mengine ya muhimu.Pili,upatikanaji wa habari kwa njia ya runinga na redio bado ni mgumu katika maeneo mbalimbali ya nchi yetu.Nilipokuwa Ifakara hivi karibuni,nilibaini kwamba ili uweze kukamata matangazo ya vituo vyote vya televisheni ni lazima uwe na "ungo".Sasa unaweza ku-imagine ni watu wangapi wenye uwezo wa kumudu gharama za kununua na ku-install satellite dish.

Pamoja na "chengachenga" za hapa na pale,redio imeendelea kuwa tegemeo la wengi hasa vijijini.Na ukipta hapa na pale utakuta wazee wetu nyakati za jioni wakisikiliza matangazo ya Idhaa ya Kiswahili ya BBC au Deutsche Welle.Na kupitia matangazo hayo ndipo mzee wangu mmoja niliyeongea nae kwa simu jioni ya leo alipata habari kwamba kuna wawekezaji kadhaa "walioingizwa mkenge" na tapeli mmoja,Bernard Madoff,katika kile kinachofahamika kama Ponzi Scheme.Mzee huyo aliniuliza inakuwaje "wazungu" wenye uelewa mkubwa wa mambo waliweza kuhadaika na kushiriki "upatu" huo?Sikua na jibu kwa vile habari yenyewe ilikuwa bado ngeni kwangu.Kama mwenzangu nawe hujaipata,BONYEZA HAPA kuisoma kwa undani.

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.