Showing posts with label Treni za kisasa Dar. Show all posts
Showing posts with label Treni za kisasa Dar. Show all posts

8 Oct 2014

Jana usiku, mwekezaji wa mradi wa treni za kisasa Dar, Bwana Robert Shumake, aliomba kutumiwa maswali kuhusiana na mradi huo. Kufuatia baadhi ya mapendekezo ya wanaharakati wanaofuatilia suala hilo, niliamua kumtumia Bwana Shumake maswali yafuatayo kama inavyoonekana kwenye nyaraka hapo chini.

Iwapo utakuwa na maswali zaidi basi tuwasiliane ili niyaongeze kama nyongeza ya hayo niliyokwishamtumia.

Tusubiri matokeo



Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.