Jana usiku, mwekezaji wa mradi wa treni za kisasa Dar, Bwana Robert Shumake, aliomba kutumiwa maswali kuhusiana na mradi huo. Kufuatia baadhi ya mapendekezo ya wanaharakati wanaofuatilia suala hilo, niliamua kumtumia Bwana Shumake maswali yafuatayo kama inavyoonekana kwenye nyaraka hapo chini.
Iwapo utakuwa na maswali zaidi basi tuwasiliane ili niyaongeze kama nyongeza ya hayo niliyokwishamtumia.
Tusubiri matokeo
0 comments:
Post a Comment