9 Sept 2010
8 Sept 2010

Josephine Mushumbusi, amezungumza kupitia Mwanasheria Mkuu wa Chadema, ambaye pia ni wakili wa Dk Willibrod Slaa, Tundu Lissu, akaviambia vyombo vya habari kuhusu tuhuma zinazowakabili yeye na Dk. Slaa kuwa kwa mara nyingine, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimerejesha mfumo wa uchaguzi unaobadilishwa kuwa mfumo ya kijinga (a silly season). Akasema kwamba CCM wamekuwa wakikishambulia Chadema kuwa ni chama Wachagga; kwamba baadhi ya viongozi wake ndio walimuua Chacha Wangwe; na kwamba Dk Slaa ametumwa na kanisa Katoliki kugombea urais; lakini baada ya kuona hadithi hizo zimepuuzwa, sasa wameibuka na suala jipya na “ndoa za Dk. Slaa” wakidhani zitawasaidia kugeuza macho ya umma kutoka kwenye masuala muhimu ya wakati huu.
Akasema CCM hawataki Dk. Slaa na Chadema wajadili wizi, ubadhirifu wa fedha na mali za umma; hawataki wajadili wizi wa Sh. bilioni 772 zilizoibwa katika mwaka 2008/9 tu, kwa mujibu wa ripoti ya Mkaguzi na mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali; hawataki Chadema itaje majina ya wezi wa Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT); hataki Chadema wajadili jinsi JK na rafiki zake, akina Edward Lowasaa, Nazir Karamagi, Andrew Chenge na Rostam Azizi walivyofilisi taifa hili; hawataki Chadema ijadili madai halali ya wafanyakazi wa Tanzania na ahadi za ‘maisha bora kwa kila Mtanzania.’ CCM hawataki Chadema kijadili sera mbadala ambazo zinalenga kuwakomboa Watanzania kutoka lindi la umaskini.
Wanataka kulielekeza taifa zima katika kujadili masuala ya ‘chumbani’ kwa Dk. Slaa; analala na nani, ana wake wangapi, kawapata wapi na kadhalika; ili kwa kufanya hivyo mgombea wao awarubuni wananchi kwa ziara mikoani na ahadi kemkem zisizotekelezeka.
Tundu Lissu amesisitiza kuwa kila wanapoona wamebanwa, CCM huwa wanabuni njama za kukomoa washindani wao, kama walivyofanya huko nyuma. Alitoa mifano ya kilichotokea miaka ya 1995 na 2005.
Mwaka 1995: Kwa kumwogopa Mrema aliyekuwa tishio kwa CCM, walimtumia mwanamke mmoja, aitwaye Angelina, wakidai ni kimada aliyezaa na Mrema; akawa analala getini kwa Mrema, Masaki, Dar es Salaam. Wakamdhalilisha. Baada ya uchaguzi, Mrema akashindwa, na suala la Angelina halikujadiliwa tena.
Mwaka 2005 tishio la CCM ilikuwa Chama cha Wananchi (CUF), hasa Zanzibar. CCM wakamtumia Inspekta Jenerali wa Polisi, Omar Mahita, siku chache kabla ya uchaguzi, kudai kuwa amekamata lori lenye mapanga, majambia, visu na silaha nyingine zenye nembo ya CUF. Wakakipaka chama matope. Baada ya uchaguzi, hatukuelezwa lolote kuhusu visu hivyo.
Mwaka huo huo, katika uchaguzi wa ndani ya chama, baada ya kundi la JK kuona limezidiwa mno, likaamua kumzushia Dk. Salim Ahmed Salim likidai ni Mwarabu, na muuaji wa Rais Abeid Amani Karume. Wakamhujumu, Na baada ya uchaguzi hawakuzungumzia tena uarabu wa Dk. Salim.
Mwaka 2010: Tishio la CCM ni Chadema na Dk. Slaa. Baada ya kuona upepo unawaendea vibaya, CCM wameamua kufanya siasa za mtaro wa maji taka; hizi wanazotumia watu kumwandama Dk Slaa.
Tundu Lissu alisema kuwa Chadema hawako tayari kufanya siasa za majitaka; na kwamba Watanzania hawako katika kujadili mambo hayo, kama hali ya afya za wagombea, ambao baadhi wanadaiwa kuwa na virusi vya ukimwi kiasi cha kubadili damu kila baada ya miezi, na kwamba kwa sababu ya unyonge huo, baadhi yao waanguka mara kadhaa jukwaani.
Akasema wao hawatazungumzia baadhi ya wagombea urais wana wake wangapi, mahawara wangapi, na wamewaweka katika ofisi gani za umma, wapi wamepewa mikataba minono ya fedha kwa upendeleo, na kadhalika. Akasisitiza kwamba Chadema haitajibu uchafu unaosambazwa na vyombo vya habari, lakini akasema, “sauti yetu itasikika iwapo wataenda mahakamani.”
Akasema Chadema itazungumzia umaskini wa Watanzania na namna ya kuupunguza au kuuondoa; jinsi Tanzania ilivyo nchi ya tatu katika Afrika lakini wanakijiji wanalazimishwa kujenga shule za kata huku serikali ikifuja mabilioni ya pesa (kama hizo bilioni 772/- zilizotafunwa ndani ya mwaka mmoja.
Akasema Chadema itajadili malipo ya anasa kwa mawaziri, maisha duni ya polisi, walimu, wauguzi na makundi mengine yanayonyonywa katika jamii. Akasema Chadema itajadili jinsi ya kuboresha afya za wananchi.
Akasema, “hatutaki siasa za chumbani, bali za hadharani.”
Kwanini wamshambulie Dk Slaa? Kwa sababu ni Dk. Slaa.
- Ana rekodi ya kuwashinda CCM mara tatu, kwa miaka 15 mfululizo
- Amekuwa sauti kuu ya wananchi Bungeni, inayotetea masilahi ya umma
- Kuliko kiongozi yeyote aliyewahi kuwapo Tanzania ndani ya miaka 50, ni Dk Slaa pekee aliyetaja hadharani mafisadi 11 bla woga wowote. Walioathirika kwa ujasiri wake ndio hao wanaomsakama sasa kwa mambo ya chumbani badala ya mambo ya hadharani.
7 Sept 2010
6 Sept 2010
Balozi Mpya wa Tanzania nchini Uingereza Mh Peter Kallaghe aliwaalika Watanzania na kuftari pamoja nyumbani kwake jumamosi tarehe 04.09.10. Baada ya kuftari Mh Kallaghe alijitambulisha na kuwashukuru Watanzania wote waliofika nyumbani kwake. Pia aliahidi kuwa karibu na Watanzania.
Urban Pulse Creative Imewaletea video ya tukio hili.
From:
Mr. Ban Ki-Moon
To: [email protected]
Eco Bank Compensation unit, maro militaire Boulevard
St Michel face Fedas Building Plot 433, YAYI BONI
Crescent Asokoro District Cotonou Benin republic
P.O. Box 280, Cotonou.
In affiliation with the United Nations
Send a copy of your response to official
Contact person Mr. Traval Cheick
Email: [email protected]
Director Eco Bank Benin plc
Direct Line: +22998717333 Fax: +22998717337
ATTN: Sir / Madam,
How are you today, Hope all is well with you and family? You may not understand why this mail came to you. In regards to the recent meeting between the United Nations and the Present United States Government to restore the dignity and Economy of the Nations Base on the Agreement with the World Bank Assistance to help and make the world a better place for all with the sole aim of abolishing poverty.
We have been having a meeting for the passed 7 months which ended 2 days ago with the then secretary to the UNITED NATIONS.
This email is to all the people that have been scammed in any part of the world, the UNITED NATIONS have agreed to compensate them with the sum of $1.500.000.00 {One Million Five Hundred Thousand United States Dollars} This includes every foreign contractors that may have not received their contract sum, and people that have had an unfinished transaction or international businesses that failed due to Government problems etc.
Your name and email was in the list submitted by our Monitoring Team of Economic and Financial Crime Commission observers and this is why we are contacting you, this have been agreed upon and have been signed.
You are advised to contact Mr. Traval Cheick of Eco BANK BENIN PLC, as he is our representative in Benin, contact him immediately for your ATM master card of {$1.5Million} This funds are in a ATM Master Card for security purpose ok? So he will send it to you through Courier Company of your choice.
This meeting was first held on the 8th of April 2003. You can view this page for your perusal:
http://www.un.org/News/Press/docs/2003/ik344.doc.htm
Therefore, you should send him your full Name and telephone number/your correct mailing address where you want him to send your ATM Master Card immediately:
Contact: Mr. Traval Cheick
Email: [email protected]
Director Eco Bank Benin plc
Phone: +22998717333 Fax: +22998717337
Good luck and kind regards,
Making the world a better place
Mr. Ban Ki-Moon
Secretary (UNITED NATIONS)
http://www.un.org/sg/
5 Sept 2010
Ni dhahiri kuwa wanaoeneza sumu hiyo dhidi ya Dkt Slaa wanafanya hivyo kwa malengo makuu mawili.Kwanza,kama nilivyobainisha hapo juu,ni kumfanya aonekane hafai kuwa rais wa Tanzania.Aonekane hafai,kisha akose kura za kutosha kumwingiza Ikulu,na mafisadi waendelee kuvuna wasichopanda katika nchi yetu iliyogeuzwa shamba la bibi.
Lakini la pili ni kupoteza malengo au kwa ufasaha ku-divert attention.Yaani wanachotaka ni Dkt Slaa na Chadema waanze kuhangaika kujibu shutuma,jambo ambalo litawapunguzia muda na focus ya kampeni.Yaani badala ya mgombea huyo kuwashawishi Watanzania atawafanyia nini,mafisadi wanataka aanze jukumu la kujitetea kuhusu tuhuma zinazoelekezwa kwake.
Wapo wanaoshauri kuwa dawa ya kudili na tuhuma ni kuzipuuza.Kuna wakati mkakati huo ni mzuri lakini hilo linawezekana katika aina flani ya jamii.Katika jamii yetu ambapo bado asilimia kubwa ya watu wananyimwa uhuru wa kujua ukweli na kuchanganua mambo,uongo usiokanushwa unaweza kabisa kuchukua nafasi ya ukweli.Na ukidhani nachoandika hapa ni hisia zangu tu basi rejea zengwe aliloundiwa Dokta Salim Ahmed Salim alipotangaza dhamira yake ya kugombea urais mwaka 2005.Kikwete na wanamtandao wenzake walimwaga sumu kubwa dhidi ya Dkt Salim hadi wakafanikiwa kumdhibiti.Jitihada zake za kujisafisha hazikuweza kufua dafu kwa character assassination strategy ya wanamtandao.
Ikumbukwe kuwa tunaishi katika jamii iliyolazimika kutegemea umbea na tetesi kubashiri ukweli.Haya ni baadhi ya matokeo ya mfumo dhalimu wa chama kimoja ambapo mambo pekee yaliyopaswa kufahamika kwa umma ni yale yaliyoonekana mazuri kwa watawala.
Kadhalika,kinachotokea kwa Dokta Slaa ni sehemu ya uchafu unaoambatana na fani ya siasa (politics is a dirty game).Huko Marekani,baada ya Barack Obama kuonekana ana nguvu za kumpeleka Ikulu,zilianza kampeni chafu kuhusu imani yake ya dini ikidaiwa alikuwa Muislam (kana kwamba Uislam ni sawa na uhaini nchini humo).Baadaye wakamzushia kuwa sio raia wa Marekani.Timu ya Obama haikukaa kimya bali ilipambana kwa nguvu dhidi ya kampeni hizo chafu na hatimaye Obama akafanikiwa kuingia Ikulu.
Chadema na Dokta Slaa wanaweza kuamua kuwapuuza wanaoeneza sumu kali dhidi yao.Lakini kwa namna hali ilivyo ambapo vyombo vya serikali (vinavyoendeshwa kwa fedha za walipa kodi) kama gazeti la Habari Leo vinapojiunga na kampeni hizo za siasa za maji taka basi ni muhimu kukabiliana nao mapema.
Na kwa kuanzia,nadhani kuna umuhimu wa kulichukulia hatua gazeti la Habari Leo hususan pale lilipoandika "Dokta Slaa padri msomi".Sentensi hiyo ilikuwa na lengo la kumkosesha mgombea huyo kura za wasio Wakatoliki.Ni dhahiri sentensi hiyo ililenga kuendeleza kashfa kuwa Dokta Slaa ni kiongozi wa dini na anataka kuingia Ikulu kuwatumikia Wakatoliki/Wakristo na sio Watanzania wote kwa ujumla.Kulipeleka gazeti hilo kwa Baraza la Habari ni kupoteza muda kwa vile sana sana wataishia kupewa onyo tu.Wanachostahili sio onyo bali adhabu kali ya kuwakumbusha kuwa wanatumia vibaya fedha za walipa kodi kwa maslahi ya watu binafsi.Ni mafisadi kama wale wa Kagoda au Richmond.
Sijui sheri za Tanzania zinasemaje kuhusu super injunctions zinazokataza kuzungumzia maisha ya mtu binafsi.Hapa Uingereza baadhi ya watu maarufu wamekuwa wakizitumia taratibu hizo za kisheria kuwabana vimbelembele wanaoishi kwa kuchokonoa maisha ya wenzao.Naamini Chadema wana wanasheria mahiri wanaoweza kuangalia namna ya kukabiliana na wazushi hawa wanaofadhiliwa na mafisadi.
Blogu hii inatoa wito kwa Dokta Slaa na Chadema kwa ujumla kutokalia kimya uhuni huu ambao pasipo kudhibitiwa unaweza kabisa kuathiri matokeo ya uchaguzi.Hatuhitaji kujiuliza kwanini wamwandame Dkt Slaa pekee na sio wagombea wengine kwani rekodi yake dhidi ya mafisadi ni siri iliyo wazi,na hofu kubwa ya wanaoeneza sumu dhidi yake ni kuwa akiingia Ikulu itawalazimu watafute mahala pa kujificha.
5.9.10
Evarist Chahali
CCM, CHADEMA, LIST OF SHAME
No comments
Pasipo kutarajia,CCM inaweza kulazimika kuuambia umma kwanini mafisadi waliotajwa kwenye List Of Shame (orodha ya mafisadi sugu iliyowekwa wazi na Chadema viwanja vya Mwembeyanga) hawajachukuliwa hatua hadi leo.Kama ambavyo chama hicho tawala kilivyokosa umakini katika kuongoza nchi ndivyo walivyokurupuka na kuwasilisha malalamiko yao NEC wakidai "wametukanwa kwa kuitwa mafisadi".Sijui ni ulevi wa madaraka au ubabaishaji tu kiasi kwamba walisahau kuwa wote waliotajwa katika List of Shame hawajathubutu kwenda mahakamani kama walivyotishia kwa kuogopa "kuwekwa uchi zaidi".Sasa wamejipeleka mahakamani wenyewe kwa kudai tuhuma hizo ni kashfa.Utamu wa stori hii uko kwenye ukweli kwamba ukidai nimekukashifu basi unawajibika kuthibitisha tuhuma nilizotoa dhidi yako sio za kweli.Kibaya zaidi kwa mafisadi waliotajwa,CHADEMA wana ushahidi mzito dhidi ya watajwa.Patamu hapo!
Hebu soma habari husika
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewasilisha ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) majibu ya utetezi wake kuhusu malalamiko ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa kimeikashifu viongozi wake waandamizi wakati wa uzinduzi wa kampeni huku kikitoa orodha ya mafisadi kama moja ushahidi kwake.
Katika majibu hayo imo orodha ya majina 12 ya watuhumiwa wa ufisadi ambayo iliwahi kutangazwa na Chadema mwaka 2007 katika viwanja vya Mwembeyenga.
Naibu katibu wa Chadema John Mnyika jana aliwaambia waandishi wa habari kuwa wamechukua hatua hiyo ili kuthibitisha kauli zao walizozitoa kwenye uzinduzi wa kampeni zao wiki moja iliyopita katika viwanja vya Jangwani.
“Ilani ya uchaguzi ya mwaka 2015 ya Chadema inaeleza wazi kuwa viongozi wote ambao walishabainisha kuhusika na tuhuma za ufiasadi na ubadhilifu wa mali ya umma ambao serikali imeshindwa kuwafikisha mahakamani, watafiishwa mahakamani ndani ya siku 180, iwapo tutaingia madarakani,” alisema Mnyika.
Alisema watuhumiwa hao wakiwamo marais wastaafu ambao wataondolewa kinga yao na Bunge ili wafikishwe mahakamani.
Mnyika alifafanua kuwa hatua hiyo imelenga katika kujenga uongozi bora na kuimarisha utawala wa sheria hapa nchini.
Kuhusu kutaja orodha ya majina ya mafiasadi kwenye mkutanio huo chama hicho kilisema huo si ukiukaji wa maadili ya uchaguzi kwakuwa tuhuma hizo zipo na wahusika hadi sasa hawajachukuliwa hatua na baadhi yao wanagombea nafasi za uongozi kwenye uchaguzi wa mwaka huu.
Alisema madai yote waliyoyatoa kwenye viwanja hivyo wana ushahidi nayo na mengi ni yale ambayo tayari waliwahi kuyaweka wazi siku za nyuma.
Kwa sababu hiyo, Chadema iliitaka Nec kutupilia mbali malalmiko ya CCM kwa sababu waliwasilisha bila kusoma sheria za maadili.
CHANZO: Mwananchi
Hatimaye watajwa kwenye List of Shame wanaweza kulazimika kuuthibitishia umma kwanini wasiwe jela muda huu wanaopita huku na kule kuomba wachaguliwe tena.
Patamu hapo!!!
5.9.10
Evarist Chahali
CHILE, WEIRD NEWS
No comments
ONE of the trapped Chilean miners is dreading his rescue - his wife has discovered his secret mistress.
Yonni Barrios' wife Marta Salinas and lover Susana Valenzuela were both holding vigils for him
Marta was stunned when she heard Susana shouting his name amid a crowd of miners' loved ones.
Marta, 56, is said to be "horrified" - but is determined not to give up her man to her love rival.
She told friends: "Barrios is my husband. He loves me and I am his devoted wife. This woman has no legitimacy." But Susana said the 50-year-old miner, who she met on a training course five years ago, has been planning to leave his wife for her.
She said: "We are in love. I'll wait for him."
Barrios has been one of the heroes of the landslide drama - using his first-aid training to treat sick colleagues.
He has also vaccinated all 33 men, including himself, against flu and pneumonia. Meanwhile, the captives have been hit with a booze and tobacco ban by Nasa experts helping the rescue.
The space agency's doc James Michael Duncan said: "We need to get their nutrition up before we consider drinking." Two of the smokers have been dropped nicotine patches and gum to deal with their cravings.
But the miners - who may not be drilled out until Christmas - have started eating proper meals of 2,000 calories a day.
Their rations include yoghurt and cereal for breakfast, chicken sandwiches for lunch and jam sarnies for dinner. They each have tea and five litres of water daily.
And yesterday the stranded men had their first hot meal in a month, shredded beef and rice. But they were denied the traditional side dish of beans - to stop them getting wind.
Subscribe to:
Posts (Atom)









