9 May 2009
9.5.09
Evarist Chahali
IKULU, SECURITY
2 comments

Kibaka aduwaza walinzi Ikulu
2009-05-08 13:51:35
Na Jacqueline Mosha
Mfanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es Salaam, Ally Nasoro (41) amefikishwa mahakamani kujibu shitaka la kuingia Ikulu ya Rais Jakaya Kikwete na kuiba ua moja lenye thamani ya Sh. 5,000, mali ya Ikulu hiyo.
Mshitakiwa huyo alifikishwa mbele ya Hakimu Mwajuma Diwani wa Mahakama ya Mwanzo Kariakoo jijini Dar es Salaam jana, na kusomewa shitaka hilo.
Akisoma hati ya mashitaka, karani wa mahakama hiyo, Caphren Maduhu, alidai mbele ya hakimu Diwani kuwa mshtakiwa alifanya kitendo hicho Mei 2 mwaka huu.
Mahojiano mahakamani hapo yalikuwa kama ifuatavyo:
Karani: Kesi hii ni ya wizi na imefunguliwa na mlalamikaji ambaye ni askari mwenye namba E 4716 Koplo Mnyaga.
Mshitakiwa katika shitaka hili ni Ally Nasoro, anaishi eneo la Mabibo jijini Dar es Salaam na anakabiliwa na kosa wizi alilofanya Mei 2, mwaka huu, saa 4:24 usiku huko Ikulu ya Rais.
Hakimu: Mshitakiwa umesikia mashitaka ya kosa lako, unajibu nini?
Mshitakiwa: Mimi nilikuwa napima uwezo wa akili wa walinzi waliowekwa Ikulu ili kumlinda Rais wa nchi, maana isije ikawa wako wako tu kumbe hawana hata uwezo wa kumlinda.
Hakimu: Ile ni sehemu ya heshima na inalindwa iweje wewe upate wazo la kutaka kuingia ndani, ulikuwa na nia gani?
Mshitakiwa: Nilichokigundua siku hiyo ni kwamba kumbe naweza kuingia Ikulu kiulaini bila hata ya kuguswa na mtu. Kwanza nilipofika pale getini nilitaka kufahamu kama naweza kufanikiwa kuingia, hivyo, nilisimama kwa saa nne nje ya geti bila hata kuulizwa chochote na walinzi. Baadaye nilifanikiwa kupata mwanya wa kuingia ndani na kweli niliingia kiulaini bila hata 'shobo'.
Hakimu: Ilikuwaje mpaka ukaiba hilo ua?
Mshitakiwa: Nilipolichukua lile ua na kulibeba ndipo walinzi waliniona na baada ya kuniona walinzi hao walibaki wakitetemeka huku mimi nikiwa nimeshikilia ua na ndipo waliponikamata na kunichukulia hatua. Kama naweza kuchukua ua si ningeweza hata kuingia ndani kwa Rais kiulaini? Yaani walinzi wamelala pale. Hawako makini kama nilivyodhani.
Hakimu: Unajibu nini kuhusu shitaka la wizi huo?
Mshitakiwa: Si kweli, sijaiba ua.
Hakimu Diwani aliahirisha kesi hiyo mpaka itakapotajwa tena mahakamani hapo Mei 11 mwaka huu. Mshitakiwa alipelekwa mahabusu baada ya kushindwa kutimiza masharti ambayo ni kuwa na wadhamini wawili.
2009-05-08 13:51:35
Na Jacqueline Mosha
Mfanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es Salaam, Ally Nasoro (41) amefikishwa mahakamani kujibu shitaka la kuingia Ikulu ya Rais Jakaya Kikwete na kuiba ua moja lenye thamani ya Sh. 5,000, mali ya Ikulu hiyo.
Mshitakiwa huyo alifikishwa mbele ya Hakimu Mwajuma Diwani wa Mahakama ya Mwanzo Kariakoo jijini Dar es Salaam jana, na kusomewa shitaka hilo.
Akisoma hati ya mashitaka, karani wa mahakama hiyo, Caphren Maduhu, alidai mbele ya hakimu Diwani kuwa mshtakiwa alifanya kitendo hicho Mei 2 mwaka huu.
Mahojiano mahakamani hapo yalikuwa kama ifuatavyo:
Karani: Kesi hii ni ya wizi na imefunguliwa na mlalamikaji ambaye ni askari mwenye namba E 4716 Koplo Mnyaga.
Mshitakiwa katika shitaka hili ni Ally Nasoro, anaishi eneo la Mabibo jijini Dar es Salaam na anakabiliwa na kosa wizi alilofanya Mei 2, mwaka huu, saa 4:24 usiku huko Ikulu ya Rais.
Hakimu: Mshitakiwa umesikia mashitaka ya kosa lako, unajibu nini?
Mshitakiwa: Mimi nilikuwa napima uwezo wa akili wa walinzi waliowekwa Ikulu ili kumlinda Rais wa nchi, maana isije ikawa wako wako tu kumbe hawana hata uwezo wa kumlinda.
Hakimu: Ile ni sehemu ya heshima na inalindwa iweje wewe upate wazo la kutaka kuingia ndani, ulikuwa na nia gani?
Mshitakiwa: Nilichokigundua siku hiyo ni kwamba kumbe naweza kuingia Ikulu kiulaini bila hata ya kuguswa na mtu. Kwanza nilipofika pale getini nilitaka kufahamu kama naweza kufanikiwa kuingia, hivyo, nilisimama kwa saa nne nje ya geti bila hata kuulizwa chochote na walinzi. Baadaye nilifanikiwa kupata mwanya wa kuingia ndani na kweli niliingia kiulaini bila hata 'shobo'.
Hakimu: Ilikuwaje mpaka ukaiba hilo ua?
Mshitakiwa: Nilipolichukua lile ua na kulibeba ndipo walinzi waliniona na baada ya kuniona walinzi hao walibaki wakitetemeka huku mimi nikiwa nimeshikilia ua na ndipo waliponikamata na kunichukulia hatua. Kama naweza kuchukua ua si ningeweza hata kuingia ndani kwa Rais kiulaini? Yaani walinzi wamelala pale. Hawako makini kama nilivyodhani.
Hakimu: Unajibu nini kuhusu shitaka la wizi huo?
Mshitakiwa: Si kweli, sijaiba ua.
Hakimu Diwani aliahirisha kesi hiyo mpaka itakapotajwa tena mahakamani hapo Mei 11 mwaka huu. Mshitakiwa alipelekwa mahabusu baada ya kushindwa kutimiza masharti ambayo ni kuwa na wadhamini wawili.
CHANZO: Nipashe
SOMEONE SOMEWHERE IS NOT UP TO THE TASK.AWALI,RAIS MSTAAFU MWINYI ALIZABWA KIBAO HADHARANI,A COUPLE OF WEEKS AFTER MSAFARA WA JK KURUSHIWA MAWE HUKO MBEYA.SUPPOSE HUYU KIBAKA HAD INTENDED TO,NOT TEASE THE GUARDS WITH A STOLEN FLOWER BUT, CAUSE HARM TO THE PRESIDENT.....
SECURITY SLACKNESS
8 May 2009
8.5.09
Evarist Chahali
No comments

Venance George, Kilombero
BAADHI ya wadau katika Wilaya ya Kilombero, wameitahadharisha serikali kuhusu uanzishwaji wa taasisi zenye mtazamo kama wa Deci ili kuwanusuru wananchi wasipoteze mali zao.
Tahadhari hiyo inafuatia kuanzishwa kwa PUFDIA, katika mji mdogo wa Ifakara ambayo watu wanaifananisha na Deci. Wakizungumza na gazeti hili baadhi ya wadau hao, Ibrahim Madon na Kenedy Haule waliishauri serikali kudhibiti uanzishwaji wa taasisi kama hizo. Walisema kama serikali haitakuwa makini, baadhi ya watu wachache wanaojali maslahi yao, watakuwa wanaanzisha taasisi hizo na kuendelea kuwakamua wananchi maskini.
Walitolea mfano wa Deci ambayo ilipigwa marufuku na serikali hivi karibuni, baada ya kuanzisha kwa mchezo wa upatu ambao baadaye ungesababisha hasara kubwa kwa wateja wengi wao wakiwa ni wananchi maskini. Taasisi ya PUFDIA imeingia wilayani humo hivi karibuni na kujinadi kwamba ni taasisi mpya inayotoa huduma za miradi mitano endelevu kwa ajili ya maendeleo ya watu wa nchi nzima.
Miradi inayoshughulika na taasisi hiyo ni pamoja na udhamini wa masomo ya sekondari hadi chuo kikuu kwa kwa mtoto wa mtu yeyote. Katika mchakato wake taasisi hiyo inaeleza kuwa chini ya mradi wa elimu, itatoa fedha za kulipia gharama zote za masomo na bajeti inayotolewa kwa kila mtoto ni Sh 570,000 kwa wale wanaosoma shule za msingi wakati wale wanaosoma shule za sekondari watapewa Sh980,000 na Sh 2.64 milioni kwa vyuo vikuu.Gharama hizo ni kwa kila muhula.
Mradi mwingine ni wa kujengewa nyumba za thamani ya Sh 6 milioni kama msaada kwa mwananchi yeyote mwenye shida ya nyumba wakati wanaotaka kujengewa shule wanatakiwa kwenda katika ofisi hiyo kujaza fomu yenye uwezo wa kujengewa shule yenye thamani ya Sh 46.2 milioni
Taasisi hiyo pia imesema itasaidia wananchi kwa kuwapa mikopo isiyo na riba yenye thamani ya Sh 2,470,000. Mwandishi wa habari hizi alikwenda katika ofisi za PUFDIA na kuwahoji maofisa wake ambao hata hivyo, hawakutaka kutaja majina yao. Maafisa hao walidai kuwa huduma wanazotoa ni halali na kwamba wanalipia kodi.
Kwa mujibu wa maelezo yao, taasisi hiyo inafadhiliwa na taasisi kubwa ya kidini iliyoko nje ya nchi. Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, alikiri kuwepo kwa taasisi hiyo na kwamba maafisa wake, walikwenda ofisini kwake kuomba kutoa huduma hiyo.
Alisema hata hivyo atalipitia upya jalada la taasisi hiyo na kuelezea mustakhabali wake.
BAADHI ya wadau katika Wilaya ya Kilombero, wameitahadharisha serikali kuhusu uanzishwaji wa taasisi zenye mtazamo kama wa Deci ili kuwanusuru wananchi wasipoteze mali zao.
Tahadhari hiyo inafuatia kuanzishwa kwa PUFDIA, katika mji mdogo wa Ifakara ambayo watu wanaifananisha na Deci. Wakizungumza na gazeti hili baadhi ya wadau hao, Ibrahim Madon na Kenedy Haule waliishauri serikali kudhibiti uanzishwaji wa taasisi kama hizo. Walisema kama serikali haitakuwa makini, baadhi ya watu wachache wanaojali maslahi yao, watakuwa wanaanzisha taasisi hizo na kuendelea kuwakamua wananchi maskini.
Walitolea mfano wa Deci ambayo ilipigwa marufuku na serikali hivi karibuni, baada ya kuanzisha kwa mchezo wa upatu ambao baadaye ungesababisha hasara kubwa kwa wateja wengi wao wakiwa ni wananchi maskini. Taasisi ya PUFDIA imeingia wilayani humo hivi karibuni na kujinadi kwamba ni taasisi mpya inayotoa huduma za miradi mitano endelevu kwa ajili ya maendeleo ya watu wa nchi nzima.
Miradi inayoshughulika na taasisi hiyo ni pamoja na udhamini wa masomo ya sekondari hadi chuo kikuu kwa kwa mtoto wa mtu yeyote. Katika mchakato wake taasisi hiyo inaeleza kuwa chini ya mradi wa elimu, itatoa fedha za kulipia gharama zote za masomo na bajeti inayotolewa kwa kila mtoto ni Sh 570,000 kwa wale wanaosoma shule za msingi wakati wale wanaosoma shule za sekondari watapewa Sh980,000 na Sh 2.64 milioni kwa vyuo vikuu.Gharama hizo ni kwa kila muhula.
Mradi mwingine ni wa kujengewa nyumba za thamani ya Sh 6 milioni kama msaada kwa mwananchi yeyote mwenye shida ya nyumba wakati wanaotaka kujengewa shule wanatakiwa kwenda katika ofisi hiyo kujaza fomu yenye uwezo wa kujengewa shule yenye thamani ya Sh 46.2 milioni
Taasisi hiyo pia imesema itasaidia wananchi kwa kuwapa mikopo isiyo na riba yenye thamani ya Sh 2,470,000. Mwandishi wa habari hizi alikwenda katika ofisi za PUFDIA na kuwahoji maofisa wake ambao hata hivyo, hawakutaka kutaja majina yao. Maafisa hao walidai kuwa huduma wanazotoa ni halali na kwamba wanalipia kodi.
Kwa mujibu wa maelezo yao, taasisi hiyo inafadhiliwa na taasisi kubwa ya kidini iliyoko nje ya nchi. Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, alikiri kuwepo kwa taasisi hiyo na kwamba maafisa wake, walikwenda ofisini kwake kuomba kutoa huduma hiyo.
Alisema hata hivyo atalipitia upya jalada la taasisi hiyo na kuelezea mustakhabali wake.
CHANZO: Mwananchi
8.5.09
Evarist Chahali
ASHANTI
No comments
ASHANTI ft CROOKED I "Baby-Remix"
Featured by FAT JOE in What's Love
Foolish (TERRENCE HOWARD cameo)
Ja Rule ft. Ashanti & Rkelly - Wonderful
by Shameek
MTV NEWS reports that Ashanti and Murder Inc will soon be partying company.
It's weekend,let's have some fun.How about this?
8.5.09
Evarist Chahali
PAKISTAN, TALIBAN
No comments
Pakistan's army declared a "full-scale" offensive against Taliban insurgents holed up in the Swat valley today as warplanes pounded militant bunkers and caused thousands more residents to flee.The fighting was concentrated in the main town, Mingora, where an estimated 4,000 Taliban fighters are heavily dug in. Artillery and helicopter gunships battered militant-held buildings, while the Taliban planted mines across the city in expectation of a major ground offensive... continue
SOURCE: The Guardian and YouTube/Al-Jazeera
8.5.09
Evarist Chahali
TAFAKURI
No comments

KUNA JAMAA YANGU,MMOJA MWINGEREZA LAKINI AMEKAA TANZANIA KWA MUDA KIASI.KWAHIYO LUGHA YA TAIFA INAPANDA,NA ANACHUNGULIA MAGAZETI YETU MTANDAONI.KAUNIULIZA SWALI "LA KIZUSHI": HIVI MBONA MUDA MWINGI VIONGOZI WENU WAKO ZIARANI?KAMA SIO RAIS YUKO NJE YA NCHI AU ZIARANI MKOA FLANI,BASI MAKAMU WA RAIS YUKO ZIARANI SEHEMU FLANI,AU WAZIRI MKUU YUKO ZIARANI MKOA FLANI!JE MAENEO HAYO WANAYOZURU HAYANA VIONGOZI?KAMA WAPO,HAWAWEZI KUWAPELEKEA RIPOTI ZA MAENDELEO WAKUU WAO PASIPO UMUHIMU WA WAKUU HAO KUZURU?
8.5.09
Evarist Chahali
ROSTAM AZIZ
1 comment
Dar es Salaam, Tanzania (PANA) 16/09/2005- Tanzania's controversial opposition leader, the Reverend Christopher Mtikila alleged Friday that ruling Chama cha Mapinduzi (CCM) presidential candidate Jakaya Kikwete had used funds from Iran to defeat his opponents at the party's recent convention.
The Chairman of the Democratic Party claimed at a press conference that the Iranian government through Tanzanian MP Rostam Aziz, had funded Kikwete's campaign for over 10 years.
The press conference was held ahead of a meeting by eight opposition parties to plan a common strategy against the CCM in Tanzania's October elections.
Mtikila alleged that the Iranian government had set aside a substantial amount to prop presidential candidates in countries where the Asian country has economic interests.
Aziz, a Tanzanian of Iranian extraction is representing Igunga constituency in Tanzania's Union Parliament on the platform of the CCM.
Mtikila did not say how much Aziz had allegedly received from the Iranian government for Kikwete's presidential campaign, but cited Tanzania's uranium deposit as possible motivation for the alleged assistance.
He said the Iranian government could not have given Aziz money for nothing: "they must be harbouring interests in Tanzania."
This is the second time that Aziz, Kikwete's campaign manager, would be accused of securing foreign funds for Kikwete's presidential campaign.
Last April, London-based journal, Africa Confidential claimed that he had been given two million US dollars by the Oman government as campaign funds for Kikwete.
Kikwete, Tanzania's Foreign Affairs and International Co-operation Minister had vowed to sue the journal over the report, but since his nomination as CCM presidential candidate in May, he has said nothing about the report.
The London journal has challenged him to go to court insisting it has overwhelming evidence to back its claims.
There was no immediate reaction to Mtikila's allegations from either Aziz or Kikwete.
The Chairman of the Democratic Party claimed at a press conference that the Iranian government through Tanzanian MP Rostam Aziz, had funded Kikwete's campaign for over 10 years.
The press conference was held ahead of a meeting by eight opposition parties to plan a common strategy against the CCM in Tanzania's October elections.
Mtikila alleged that the Iranian government had set aside a substantial amount to prop presidential candidates in countries where the Asian country has economic interests.
Aziz, a Tanzanian of Iranian extraction is representing Igunga constituency in Tanzania's Union Parliament on the platform of the CCM.
Mtikila did not say how much Aziz had allegedly received from the Iranian government for Kikwete's presidential campaign, but cited Tanzania's uranium deposit as possible motivation for the alleged assistance.
He said the Iranian government could not have given Aziz money for nothing: "they must be harbouring interests in Tanzania."
This is the second time that Aziz, Kikwete's campaign manager, would be accused of securing foreign funds for Kikwete's presidential campaign.
Last April, London-based journal, Africa Confidential claimed that he had been given two million US dollars by the Oman government as campaign funds for Kikwete.
Kikwete, Tanzania's Foreign Affairs and International Co-operation Minister had vowed to sue the journal over the report, but since his nomination as CCM presidential candidate in May, he has said nothing about the report.
The London journal has challenged him to go to court insisting it has overwhelming evidence to back its claims.
There was no immediate reaction to Mtikila's allegations from either Aziz or Kikwete.
SOURCE: PANAPRESS
NA KUNA MJADALA UNAENDELEA HUKO JAMII FORUMS KUHUSU URAIA WA BWANA ROSTAM AZIZ.

Na Frederick Katulanda, Busanda
KAMPENI za uchaguzi za CCM katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Busanda jana zilizidi kukumbana na upinzani mkali baada ya makamu mwenyekiti wa chama hicho, Pius Msekwa na makamu mwenyekiti wa zamani, John Malecela, kujikuta wakizomewa wakati walipokuwa wakijinadi katika mkutano uliofanyika Nyarugusu wilayani Geita.
Mbali na vigogo hao wa CCM, mgombea wa chama hicho katika uchaguzi huo mdogo, Lolencia Maselle Bukwimba na mumewe, Maselle Buziku walizomewa wakati walipotambulishwa kwenye mkutano huo wa kampeni.
Tukio hilo limetokea siku moja baada ya chama hicho kujikuta kikiwa na watu wachache wakati wa kuzindua kampeni zake kwenye kata ya Kaseme, tofauti na mikutano ya vyama pinzani vya Chadema na CUF.
Dalili za hali mbaya katika mkutano huo zilianza wakati viongozi hao wakiingia eneo la Nyarugusu ambalo ni maalumu kwa wachimbaji wa dhahabu. Viongozi hao walipokelewa na alama ya vidole viwili kila walikopita. Alama ya vidole viwili hutumiwa na Chadema.
Zomea zomea hizo ziliwakabili viongozi hao wa CCM wakati walipokuwa wakimnadi mgombea wao. Hali mbaya ilianza kwa katibu mwenezi na uhamasishaji, Simon Mangelepa wakati aliposimama jukwaani na kuanza kuwatambulisha wageni walioambatana nao na kufuatiwa na mbunge wa viti maalum mkoani Mwanza, Maria Hewa ambaye alizomewa baada ya kuwaeleza wananchi kuwa wanapaswa kutulia.
Kutokana na hali hiyo mwenyekiti wa CCM mkoani Mwanza, Clement Mabina alisimama jukwaani kabla ya kumkaribisha Malecela ili amnadi mgombea wa chama hicho na kuwaeleza kuwa anazo taarifa kuwa kuna watu ambao wamepangwa hapo kwa ajili ya kuzomea, naye kuzomewa.
Baadaye ikawa zamu ya Malecela ambaye baada ya kusimama jukwaani aliwaeleza wananchi kuwa shutuma za ufisadi hazina nafasi katika kampeni kwa sasa na kuwataka wenye ushahidi wa ufisadi kuupeleka polisi, kauli ambayo iliwafanya wananchi ambao walikuwa wametulia, kuanza kuzomea wakimtaka aondoke huku wakionyesha vidole viwili.
Hata hivyo, Malecela aliwatuliza na kuwaeleza kuwa hiyo ndio njia sahihi ya kushughulikia mafisadi na kuendelea kuwaeleza wananchi kuwa iwapo wataichagua CCM katika uchaguzi huo watapatiwa umeme pamoja na kutengewa maeneo kwa ajili ya wachimbaji wadogo.

“Nataka kuwaeleza iwapo mtamchagua mgombea huyu, basi serikali italeta umeme eneo hili….na kutenga maeneo kwa ajili ya wachimbaji wadogo," alisema lakini akakatwa kauli na kelele za wananchi ambao walisema miaka yote wameichagua CCM na kuahidiwa mambo hayo bila ya kufanikiwa.
Kutokana na hali hiyo Malecela aliamua kuwatuliza na kuomba Busanda isigeuke kama Tarime na kwamba wao CCM wanataka kampeni za amani na utulivu.
Ndipo ilipofika zamu ya Msekwa kumnadi mgombea na baada ya kupanda jukwaani alimkaribisha mgombea aliyemsimamisha mumuwe, Maselle Buziku, ambaye naye alipoeleza kuwa iwapo watamchagua mkewe atatumia nafasi yake SEDA kuhakikisha wanapata mikopo, lakini akazomewa na wananchi hao.

Hata hivyo zomea zomea hizo hazikuweza kuhatarisha amani katika mkutano huo na mgombea huyo alijieleza bila ya matatizo na kupiga magoti lakini alipoomba kura, naye akajikuta anazomewa.
Katibu mkuu wa CCM, Yusuf Makamba amekiri kuwa kuna hali ngumu kwenye Jimbo la Busanda na kuwataka viongozi wa chama hicho kupigana kufa au kupona ili kuhakikisha jimbo haliangukii mikononi mwa upinzani kwa kuwa machungu ya kushindwa Tarime anayajua.
Kauli hiyo ilitolewa na Makamba juzi mchana wakati alipokuwa akizungumza na viongozi mbalimbali wa chama hicho katika mkutano wa ndani kwenye ofisi za CCM wilayani Geita baada ya kuwasili kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni wa chama chake zilizofanyika juzi katika kata ya Kaseme.
Makamba alikiri kuwa hali ni ngumu na hivyo kuwaomba kila mmoja kuhakikisha mgombea wa CCM anashinda, akilalamika kuwa makali ya kushindwa alishayaonja Tarime.
Habari zilizopatikana kutoka ndani ya kikao hicho na kuthibitishwa na mmoja wa viongozi wa chama wilayani humo zimeeleza kuwa Makamba aliamua kufanya mkutano huo kwa lengo la kuwekana sawa kutokana na CCM kukabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa wale walioenguliwa katika kura za maoni za kuwania kuteuliwa kuwa mgombea wa chama hicho.
Makamba amesema "jamani kushindwa ni kubaya, mwenzenu Tarime nilionja ubaya wake mpaka ilibidi nitoroshwe na Green Guard ili kuepuka kuzomewa, sasa tusiposhikamana mambo yatakuwa magumu tutoe tofauti zetu,'” alisema mmoja wa wajumbe waliokuwa kwenye kikao hicho akimnukuu Makamba.
Hata hivyo, baada ya kauli hiyo Makamba alishtuka na kuhoji iwapo walikuwemo waandishi wa habari ukumbini humo na kuonya utoaji wa taarifa hizo baada ya kujibiwa hawakuwemo.
Aidha baada ya kujibiwa kuwa hakuna waandishi Makamba alishtuka baada ya kubaini kuwa kulikuwa na mpiga picha wa chama na kumuagiza kuhakikisha mkanda huo anaukabidhi kwa katibu wa CCM wa mkoa.
Makamba alipoulizwa kuhusu suala hilo alijibu kuwa hajawahi kukiri kuwepo kwa hali ngumu kwa vile hana wasiwasi na uchaguzi huo na kusema alikuwa akieleza masuala ya kushikamana.

“Wewe unataka nikueleze mikakati yangu, kama nilikuwa nawahimiza watoto wangu kulima we unakutakia nini,” alihoji katibu huyo wa CCM alipoulizwa na Mwananchi kuhusu kikao hicho.
Sambamba na hatua hiyo Makamba alimtaka mjumbe wa halmshauri kuu ya chama hicho mkoani Mwanza, Anthony Diallo kutumia uwezo wake kuhakikisha kampeni hizo zinakuwa na hamasa ya kutosha ikiwa ni pamoja na kurusha taarifa zake katika vyombo vya habari.
Uchaguzi katika jimbo la uchaguzi la Busanda umepangwa kufanyika Mei 24 kwa lengo la kujaza nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, marehemu Faustine Kabuzi Rwilombe.
Vyama vingine vinavyowania kiti hicho ni Chadema, CUF na UDP.
KAMPENI za uchaguzi za CCM katika uchaguzi mdogo wa jimbo la Busanda jana zilizidi kukumbana na upinzani mkali baada ya makamu mwenyekiti wa chama hicho, Pius Msekwa na makamu mwenyekiti wa zamani, John Malecela, kujikuta wakizomewa wakati walipokuwa wakijinadi katika mkutano uliofanyika Nyarugusu wilayani Geita.
Mbali na vigogo hao wa CCM, mgombea wa chama hicho katika uchaguzi huo mdogo, Lolencia Maselle Bukwimba na mumewe, Maselle Buziku walizomewa wakati walipotambulishwa kwenye mkutano huo wa kampeni.
Tukio hilo limetokea siku moja baada ya chama hicho kujikuta kikiwa na watu wachache wakati wa kuzindua kampeni zake kwenye kata ya Kaseme, tofauti na mikutano ya vyama pinzani vya Chadema na CUF.
Dalili za hali mbaya katika mkutano huo zilianza wakati viongozi hao wakiingia eneo la Nyarugusu ambalo ni maalumu kwa wachimbaji wa dhahabu. Viongozi hao walipokelewa na alama ya vidole viwili kila walikopita. Alama ya vidole viwili hutumiwa na Chadema.
Zomea zomea hizo ziliwakabili viongozi hao wa CCM wakati walipokuwa wakimnadi mgombea wao. Hali mbaya ilianza kwa katibu mwenezi na uhamasishaji, Simon Mangelepa wakati aliposimama jukwaani na kuanza kuwatambulisha wageni walioambatana nao na kufuatiwa na mbunge wa viti maalum mkoani Mwanza, Maria Hewa ambaye alizomewa baada ya kuwaeleza wananchi kuwa wanapaswa kutulia.
Kutokana na hali hiyo mwenyekiti wa CCM mkoani Mwanza, Clement Mabina alisimama jukwaani kabla ya kumkaribisha Malecela ili amnadi mgombea wa chama hicho na kuwaeleza kuwa anazo taarifa kuwa kuna watu ambao wamepangwa hapo kwa ajili ya kuzomea, naye kuzomewa.
Baadaye ikawa zamu ya Malecela ambaye baada ya kusimama jukwaani aliwaeleza wananchi kuwa shutuma za ufisadi hazina nafasi katika kampeni kwa sasa na kuwataka wenye ushahidi wa ufisadi kuupeleka polisi, kauli ambayo iliwafanya wananchi ambao walikuwa wametulia, kuanza kuzomea wakimtaka aondoke huku wakionyesha vidole viwili.
Hata hivyo, Malecela aliwatuliza na kuwaeleza kuwa hiyo ndio njia sahihi ya kushughulikia mafisadi na kuendelea kuwaeleza wananchi kuwa iwapo wataichagua CCM katika uchaguzi huo watapatiwa umeme pamoja na kutengewa maeneo kwa ajili ya wachimbaji wadogo.

“Nataka kuwaeleza iwapo mtamchagua mgombea huyu, basi serikali italeta umeme eneo hili….na kutenga maeneo kwa ajili ya wachimbaji wadogo," alisema lakini akakatwa kauli na kelele za wananchi ambao walisema miaka yote wameichagua CCM na kuahidiwa mambo hayo bila ya kufanikiwa.
Kutokana na hali hiyo Malecela aliamua kuwatuliza na kuomba Busanda isigeuke kama Tarime na kwamba wao CCM wanataka kampeni za amani na utulivu.
Ndipo ilipofika zamu ya Msekwa kumnadi mgombea na baada ya kupanda jukwaani alimkaribisha mgombea aliyemsimamisha mumuwe, Maselle Buziku, ambaye naye alipoeleza kuwa iwapo watamchagua mkewe atatumia nafasi yake SEDA kuhakikisha wanapata mikopo, lakini akazomewa na wananchi hao.
Hata hivyo zomea zomea hizo hazikuweza kuhatarisha amani katika mkutano huo na mgombea huyo alijieleza bila ya matatizo na kupiga magoti lakini alipoomba kura, naye akajikuta anazomewa.
Katibu mkuu wa CCM, Yusuf Makamba amekiri kuwa kuna hali ngumu kwenye Jimbo la Busanda na kuwataka viongozi wa chama hicho kupigana kufa au kupona ili kuhakikisha jimbo haliangukii mikononi mwa upinzani kwa kuwa machungu ya kushindwa Tarime anayajua.
Kauli hiyo ilitolewa na Makamba juzi mchana wakati alipokuwa akizungumza na viongozi mbalimbali wa chama hicho katika mkutano wa ndani kwenye ofisi za CCM wilayani Geita baada ya kuwasili kwa ajili ya uzinduzi wa kampeni wa chama chake zilizofanyika juzi katika kata ya Kaseme.
Makamba alikiri kuwa hali ni ngumu na hivyo kuwaomba kila mmoja kuhakikisha mgombea wa CCM anashinda, akilalamika kuwa makali ya kushindwa alishayaonja Tarime.
Habari zilizopatikana kutoka ndani ya kikao hicho na kuthibitishwa na mmoja wa viongozi wa chama wilayani humo zimeeleza kuwa Makamba aliamua kufanya mkutano huo kwa lengo la kuwekana sawa kutokana na CCM kukabiliwa na upinzani mkali kutoka kwa wale walioenguliwa katika kura za maoni za kuwania kuteuliwa kuwa mgombea wa chama hicho.
Makamba amesema "jamani kushindwa ni kubaya, mwenzenu Tarime nilionja ubaya wake mpaka ilibidi nitoroshwe na Green Guard ili kuepuka kuzomewa, sasa tusiposhikamana mambo yatakuwa magumu tutoe tofauti zetu,'” alisema mmoja wa wajumbe waliokuwa kwenye kikao hicho akimnukuu Makamba.
Hata hivyo, baada ya kauli hiyo Makamba alishtuka na kuhoji iwapo walikuwemo waandishi wa habari ukumbini humo na kuonya utoaji wa taarifa hizo baada ya kujibiwa hawakuwemo.
Aidha baada ya kujibiwa kuwa hakuna waandishi Makamba alishtuka baada ya kubaini kuwa kulikuwa na mpiga picha wa chama na kumuagiza kuhakikisha mkanda huo anaukabidhi kwa katibu wa CCM wa mkoa.
Makamba alipoulizwa kuhusu suala hilo alijibu kuwa hajawahi kukiri kuwepo kwa hali ngumu kwa vile hana wasiwasi na uchaguzi huo na kusema alikuwa akieleza masuala ya kushikamana.

“Wewe unataka nikueleze mikakati yangu, kama nilikuwa nawahimiza watoto wangu kulima we unakutakia nini,” alihoji katibu huyo wa CCM alipoulizwa na Mwananchi kuhusu kikao hicho.
Sambamba na hatua hiyo Makamba alimtaka mjumbe wa halmshauri kuu ya chama hicho mkoani Mwanza, Anthony Diallo kutumia uwezo wake kuhakikisha kampeni hizo zinakuwa na hamasa ya kutosha ikiwa ni pamoja na kurusha taarifa zake katika vyombo vya habari.
Uchaguzi katika jimbo la uchaguzi la Busanda umepangwa kufanyika Mei 24 kwa lengo la kujaza nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo, marehemu Faustine Kabuzi Rwilombe.
Vyama vingine vinavyowania kiti hicho ni Chadema, CUF na UDP.
CHANZO: Mwananchi
WANACHOHITAJI CCM NI BUSARA ZA KI-UTU UZIMA,YAANI KUKIRI PALE WALIPOKOSEA,NA KUAHIDI KUJIREKEBISHA BADALA YA KUENDELEZA AHADI HUKU ZILE WALIZOTOA MWANZO ZIMEENDELEA KUBAKI AHADI TU PASIPO KUZITEKELEZA.WAINGEREZA WANASEMA " A PROMISE MEANS NOTHING UNTIL DELIVERED."
HALAFU HIZI KAULI ZA KIBAGUZI KUWA "ICHAGUENI CCM IWALETEE HIKI AU KILE" (AS IF AWALI ILIYOCHAGULIWA ILIKUWA CHADEMA AU CUF) NI KUWAFANYA WAPIGA KURA WAJINGA AU WASAHAULIFU.KAMA WALIKUWA NA NIA YA KULETA HUO UMEME,SI WANGEFANYA HIVYO WAKATI WAPIGA KURA WALISHAWAPA HESHIMA YA KUMCHAGUA MGOMBEA WA CCM KWENYE UCHAGUZI ULIOPITA?SASA HIZI HABARI KUWA MKITUCHAGUA TENA NDIO TUTAFANYA HIKI AU KILE NI MITHILI YA KUWAHADAA WANANCHI.
I HOPE WAPIGAKURA WA BUSANDA HAWATAISHIA KUFIKISHA UJUMBE KWA CCM KWA KUZOMEA TU BALI PIA KUINYIMA KURA ILI IKIAMSHE CHAMA HICHO KUTOKA USINGIZINI KWAMBA THIS IS 2009,AND SO FAR THE ASSESSMENT OF HOW THE PARTY HAS IMPLEMENTED ITS ELECTION MANIFESTO LEAVES A LOT TO BE DESIRED.KAMA TARIME WALIWEZA,BUSANDA PIA WANAWEZA.NA KAMA WOTE WASIORIDHIKA NA MWENENDO WA CCM WATAAMUA KUWA ENOUGH IS ENOUGH,NO MORE FALSE PROMISES,THEN CHANGE IS NOT ONLY COMING BUT WILL EVENTUALLY BE ACHIEVED.
AS OBAMA SAID,YES WE CAN IF WE BELIEVE IN CHANGE.
Subscribe to:
Posts (Atom)

