4 May 2011


CCM yamvua gamba Azzan
Wednesday, 04 May 2011 19:34 newsroom

NA SELINA WILSON

KAMATI ya Siasa ya CCM Mkoa wa Dar es Salaam, imemfungia kwa miezi 18 Mbunge wa Kinondoni Idd Azzan, kutogombea nafasi yoyote ndani ya Chama. Pia, imempa onyo kali kwa kosa la kutumia vibaya madaraka yake na kuzichafua mamlaka za CCM Mkoa. Adhabu hiyo imekuja kufuatia Azzan kuwatuhumu wajumbe wa Kamati ya Siasa na Sekretarieti ya Mkoa kuwa ni mafisadi na wala rushwa, hivyo kutaka wajivue gamba. Kwa mujibu wa taarifa, adhabu hiyo imetolewa kwa kujibu Kanuni za Uongozi na Maadili toleo la Februari, Ibara ya 8 (iii).

Katibu wa Itikadi na Uenezi ya CCM Mkoa Dar es Salaam, Juma Simba, alisema jana kuwa uamuzi huo ulitolewa jana baada ya kupokea taarifa ya kamati ya maadili na kuijadili. “Kamati ya Siasa imeona shutuma nzito kama vile ufisadi, rushwa na kushindwa kutekeleza wajibu kwenye vyombo vya habari kwa mamlaka za vikao, Sekretarieti na Kamati ya Siasa ni kukipaka matope Chama, hivyo imetoa adhabu ya karipio,” alisema. Hata hivyo, alisema kuwa baada ya Kamati ya Siasa kujadili tuhuma hizo, ilimpa nafasi Azzan kujitetea kwa mujibu wa Katiba ya CCM, Ibara ya 14 (4), ambapo ilionekana kuwa amefanya makosa kwa makusudi kuzichafua mamlaka za Chama. Azzan alidaiwa kutoa maneno hayo, ambayo yaliripotiwa kwenye vyombo mbalimbali vya habari matoleo ya Aprili 13, mwaka huu.

Simba alisema kuwa baada ya kuchapishwa kwa taarifa hizo, Chama kilimuandikia barua Azzan kikimtaka kufuata taratibu kwa kuwasilisha malalamiko yake badala ya kutumia vyombo vya habari. Hata hivyo, Simba aliongeza adhabu hiyo haina lengo la kumfunga mdomo Azzan wala kumsafisha kiongozi yeyote wa CCM Mkoa, na kwamba anapaswa kuwasilisha tuhuma zake kwa kufuata utaratibu. Hivi karibuni Azzan alikaririwa na vyombo vya habari akiipa siku 30 Kamati ya Siasa na Sekretarieti ya CCM Mkoa, kujivua gamba kutokana na kukithiri kwa rushwa na ufisadi.

CHANZO: Uhuru

Osama (kushoto) na Zawahiri
Ayman al-Zawahiri,daktari mwenye umri wa miaka 59 aliyezaliwa Misri,anatarajia kuwa kiongozi wa kundi la kigaidi la Al-Qaeda baada ya kuuawa kwa Osama Bin Laden.

Gazeti la Wall Street Journal la Marekani linamwelezea Zawahiri kuwa ni mwenye msimamo mkali kuliko Osama,japo ana mapungufu wa mvuto (charisma) na utajiri wa Osama.

Taarifa za kwenye kompyuta Zililopatikana katika eneo alilokuwa akiishi Osama,kama zinavyoelezwa HAPA na mtandao wa Politico,zinaweza kuwasaidia mashushushu wa Marekani kufahamu mengi zaidi kuhusu Al-Qaeda na kupelekea uwezekano wa kufahamu alipo Zawahiri.Hadi itapokuwa hivyo,gaidi huyo aliyekuwa namba 2 (Osama akiwa namba 1) katika kundi la Al-Qaeda anaendela kubaki kwenye orodha ya Shirika la Upelelezi la Marekani (FBI) ya watu wanaosakwa kwa udi na uvumba,na tishio kubwa.

Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) limeshawahi kukaribia kumkamata Zawahiri.Huku akiwa mafichoni,gaidi huyo alitoa mkanda wa video kuhusu vuguvugu la mageuzi nchini Misri mwanzoni mwaka huu,akisema demokrasia inawezekana tu katika ukafiri.Pia alimtukana Rais Obama akitumia neno la ki-baguzi wa rangi (racial epithet).


CHANZO: Huffington Post

3 May 2011


Sakata linalomhusu Ridhiwani Kikwete,mtoto wa Rais Jakaya Kikwete-kwa upande mmoja,na Katibu Mkuu wa Chadema Dkt Willibroad Slaa na Mwenyekiti wa chama cha DP,Mchungaji Christopher Mtikila-kwa upande mwingine,linaanza kupamba moto baada ya wanasiasa hao kumjibu Ridhiwani.Kimbembe hicho kilianza kwa kauli zilizotolewa na Dkt Slaa na Mtikila ambao katika nyakati tofauti walimtuhumu Ridhiwani kuwa bilionea aliyepata fedha isivyo kihalali akitumia mgongo wa baba yake,Rais Kikwete.

Tuhuma hizo zilipelekea Ridhiwani kuitisha mkutano na waandishi wa habari ambapo licha ya kukanusha kuwa sio bilionea-na kudai kuwa magari ya kifahari anayoonekana akiendesha mara kwa mara ni ya kuazima kutoka kwa marafiki zake-alitoa siku saba kwa Dkt Slaa na Mtikila kuthibitisha madai yake vinginevyo atawafikisha mahakamani.

Sasa,kama habari ifuatayo inavyoonyesha,wanasiasa hao wamemtaka Ridhiwani awahi kwenda huko mahakamani,na wao watatumia fursa hiyo kuthibtisha madai yao.Nisikumalizie uhondo,soma mwenyewe hapa chini

Slaa, Mtikila wamtega mtoto JK

Tuesday, 03 May 2011 21:50
Leon Bahati na Raymond Kaminyoge

KATIBU Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa, amemtega mtoto wa Rais Jakaya Kikwete, Ridhiwani, akisema akifanikiwa kukifikisha chama hicho mahakamani atakuwa amefanikiwa kula mfupa ambao uliwashinda vigogo waliowatangazwa hadharani kuwa ni mafisadi nchini.

Dk Slaa alitoa kauli hiyo jana alipotakiwa kutoa msimamo wake kuhusu kauli ya Ridhiwani aliyoitaoa Dar es Salaam juzi, kuwa atamfikisha mahakamani ili kuthibitisha kauli yake kwamba mtoto huyo wa rais ni bilionea aliyepata utajiri wa kutisha kipindi kifupi.

Ridhiwani alimpa siku saba Dk Slaa, kuanzia jana awe amekanusha kauli hiyo ya kumtuhumu kuwa fisadi, vinginevyo atamfikisha mahakamani.
"Sisi tunasema atangulie huko mahakamani sisi tutakuja nyuma," alisema Dk Slaa.

Dk Slaa ambaye katika uchaguzi uliopita aligombea urais na kutoa upinzani mkubwa kwa Rais Kikwete aliyetangazwa kuwa mshindi, alisema kauli za kushtakiwa wanapotangaza taarifa za ufisadi hadharani zimekuwa za kawaida.

Alisema wengi waliwahi kutoa kauli kama hiyo kupitia vyombo vya habari baada ya kuwatuhumu hadharani kuwa ni mafisadi, lakini wakashindwa kwenda mahakamani.

"Chadema tuna uzoefu tulipotaja orodha ya mafisadi walitutishia kuwa watatushtaki mahakamani tukawaambia watangulie sisi tutakuja nyuma, lakini walishindwa kutekeleza ahadi yao," alisema Dk Slaa na kuongeza kuwa, iwapo Ridhiwani atafanya hivyo atakuwa amevunja rekodi ambayo imewashinda watu wazito.

Katibu huyo ambaye umaarufu wake ulikuja kwa kasi kipindi cha miaka 15 aliyokuwa Mbunge wa Karatu, Arusha, alijigamba kuwa hawazungumzi jambo bila vielelezo ndio maana wanajiamini kwa kila wanachokisema hadharani.

Dk Slaa alitupia lawama Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), kwamba amekuwa akisisitiza ifutwe kwa sababu inashindwa kufanya kazi yake, ikiwamo kufanya uchunguzi kwa watu wanaotuhumiwa kupata utajiri katika mazingira yenye utata.

Katika mkutano na waandishi wa habari, Ridhiwani alikanusha kuwa kijana bilionea kama Dk Slaa anavyomtuhumu.Alisema anamiliki shamba mkoani Pwani, lenye ukubwa wa ekari 1.5, gari ndogo na akaunti kwenye benki ya CRDB, NBC na Stanbic, ambazo hakutaja kiasi cha fedha.

Dk Slaa alipinga vikali kauli hiyo na kwamba, alimaliza shule miaka michache iliyopita, lakini sasa ni bilionea na utajiri huo aliupata kwenye mazingira ya utata.

Wakati huohuo, Mwenyekiti wa DP, Mchungaji Christopher Mtikila, alisema atatoa uthibitisho mahakamani kuhusu mali alizozitaja kuwa zinamilikiwa na Ridhiwani.“Siwezi kumuomba radhi mtu, nina uhakika wa kuwa kijana yule anamiliki mali ambazo hajazipata kwa njia halali, itakuwa vizuri ikiwa atanipeleka mahakamani, kwani huko ndiko nitakakoonyesha uthibitisho wangu,” alisema Mchungaji Mtikila.

Jumamosi iliyopita, Mtikila alikaririwa na vyombo vya habari akisema, Ridhiwani ni bilionea anayemiliki nyumba za ghorofa, malori, kampuni za ujenzi wa barabara na ardhi.
CHANZO: Mwananchi

Uzuri wa sakata hili upo katika pembe nyingi.Kwanza,Ridhiwani ni mwanasheria kitaaluma,kwahiyo yayumkinika kuamini kuwa tishio lake (la kuwapeleka Dkt Slaa na Mtikila mahakamani iwapo watashindwa kuthibitisha tuhuma dhidi yake) lilikuwa sio danganya toto.Pili,Ridhiwani ni mtoto wa Rais Kikwete,na kwa vile tuhuma hizo zinamhusisha pia baba yake (kwa maana ya kutumia fursa ya urais kumnufaisha mwanaye) inatarajiwa kuwa suala hapa sio kujisafisha yeye tu bali pia baba yake.

Lakini kwa upande wa pili ni wasifu wa Dkt Slaa,na pengine Mtikila.Wengi tunafahamu kuwa Mtikila na mahakama ni kama mtu na nyumbani kwake.Japokuwa siku za karibuni amekuwa na msimamo unaoyumba lakini bado anatambulika kuwa anapoamua kupigania haki basi atakwenda umbali wowote ule pasipo kuchelea madhara ya kufanya hivyo.

Kwa Dokta Slaa,wengi tunamfahamu kama mmoja wa wanasiasa adimu kabisa ambao ni nadra kutoma matamshi pasipo kuyafanyia utafiti wa kutosha na kuwa na uthibitisho.Yayumkinika kuamini kuwa Dkt Slaa alikuwa akifahamu vema kuwa kwa vile Ridhiwani ni mwanasheria,na pia asingependa kuona jina lake na la baba yake yanahusishwa na ufisadi hadharani,ni lazima angetishia kwenda mahakamani kama sio kwenda kabisa huko mahakamani kufungua kesi ya madai.Kwa mantiki hiyo,na kwa kurejea historia ya Dkt Slaa,inawezekana kuamini kuwa alikuwa na uhakika na alichosema,sambamba na kuwa na ushahidi mzito kuhusu madai hayo.

Enewei,siku saba si nyingi.Leo ni siku ya pili,tumebakiwa na siku tano.Tusubiri kusikia kauli kutoka kwa Ridhiwani Jumatatu ijayo ambapo siku saba alizotoa zitakuwa zimekwisha muda wake.

Ngoma inogire!


The United States Naval Special Warfare Development Group (NSWDG), commonly known as DEVGRU and informally by its former name SEAL Team Six (ST6), is one of the United States' two secretive Tier One counter-terrorism and Special Mission Units (SMUs); the other such group is 1st SFOD-D (Delta Force).

The vast majority of information surrounding DEVGRU is highly classified and details of its activities are not commented on by either the White House or the Department of Defense. While DEVGRU is administratively supported by the Naval Special Warfare Command like the other SEAL Teams, it is operationally commanded by the Joint Special Operations Command.

History

The origins of ST6 can be traced to the aftermath of Operation Eagle Claw, the failed 1980 attempt to rescue American hostages at the U.S. Embassy in Iran.During the Iran Hostage Crisis in 1979, Richard Marcinko was one of two Navy representatives for a Joint Chiefs of Staff task force known as the TAT (Terrorist Action Team). The purpose of the TAT was to develop a plan to free the American hostages held in Iran, which culminated in Operation Eagle Claw. In the wake of the operation's disaster at Desert One, the U.S. Navy saw the need for a full-time dedicated Counter-Terrorist Team and tasked Marcinko with its design and development.

Marcinko was the first commanding officer of this new unit that he named SEAL Team Six. At the time, the US Navy had only two SEAL teams. Marcinko purportedly named the unit Team Six in order to confuse the Soviet intelligence as to the number of SEAL Teams in operation. It became officially operational in 1981.The men in the unit were handpicked by Marcinko himself from across the U.S. Navy's Special Operations personnel. SEAL Team Six would be known as the U.S. Navy's premier counter-terrorist unit. It has also been compared to the US Army's Delta Force.Marcinko held the command of SEAL Team Six for three years from 1980–1983 instead of what was typically a two-year command in the Navy at the time.SEAL Team Six was formally created in October 1980, and an intense, progressive work-up training program made the unit mission-ready six months later. Prior to this, the existing SEAL teams had already begun counter-terrorism training, including 12 platoons in SEAL Team One on the West Coast. On the West Coast, elements of the SEAL Team One had taken the issue one step further. They formed a dedicated two-platoon group known as "MOB Six" (Mobility Six) in anticipation of a maritime scenario requiring a counter-terrorism response and had begun training to that end.
Richard Marcinko, founder of SEAL Team Six, and its first C.O.

In 1987, a new unit was formed, given the official title of "Naval Special Warfare Development Group" (abbreviated to NAVSPECWARDEVGRU, or DEVGRU) after SEAL Team Six was dissolved. Reasons for the disbanding are varied.But the name SEAL Team Six is often used in reference to DEVGRU because of their similarities as a maritime counter-terrorism unit.
[edit] Recent renaming

In a recent article, Marc Ambinder wrote that DEVGRU's designation had been changed by the Defense Department to a new name. However, the new name is currently classified. This has also been the case for Delta Force, which was originally designated 1st Special Forces Operational Detachment-Delta, and is now known as Army Compartmented Elements," or "ACE."

Recruitment, selection, and training

In the early stages of creating SEAL Team Six, Marcinko had been given only six months to get ST6 up and running. This meant that there was a timing issue and Marcinko had little time to create a proper selection course, similar to that of Delta Force, and as a result hand-picked the first plankowners of the unit himself after assessing their Navy records and personally interviewing each man. It has been said that Marcinko regretted not having enough time to set up a proper selection process/course. All applicants came from the UDTs and East and West Coast SEAL teams. Marcinko's criteria for recruiting applicants was combat experience due to the fact that he would know they could perform under fire; language skills were vital, as the unit would have a worldwide mandate to be able to communicate with the local population if needed; union skills, in order to be able to blend in as civilians during an operation; and finally SEAL skills. Each member of SEAL Team Six was selected in part because of the different specialty skills each man brought with him to the unit.

The training schedule was intense. The claim had been made by one former Team member that in one year SEAL Team Six fired more rounds of ammunition than the entire U.S. Marine Corps.The emphasis was on shooting skills, range firing, close-quarters battle (CQB), and stress shooting in a variety of conditions.

As with most aspects of the unit being highly classified, information regarding the process of recruitment and selection for the NSWDG ("DEVGRU") is also scarce, but what is speculated and is known is that the selection and training for the unit hasn't changed dramatically since its creation. All applicants come from the "regular" SEAL teams and the Navy's Explosive Ordnance Disposal units, unless applying for support positions (in which there have been open advertisements on the web for support personnel).

It can be inferred from the quality of their pool of applicants that those considered are in peak physical condition, maintain an excellent reputation as an operator within the Naval Special Warfare community, and have done operational deployments with a SEAL Team where an operator will have picked up invaluable experience. As a result, the candidate will usually be in his 30s. As ST6 was recruiting the best and brightest SEALs/UDTs from the regular teams, this created animosity between the unit and the "regular" teams that their best SEALs were being poached for the unit.

Those who pass the stringent recruitment and selection process will be selected to attend a six- to seven-month Operators Training Course. Candidates will join the unit's training wing known as "Green Team." The training course attrition rate is extremely high; at least half the class will fail the course. During one selection course, out of the original 20 candidates, only 12 completed the course. All candidates are watched closely by DEVGRU instructors and evaluated on whether they were suitable to join the individual squadrons.

Like all Special Operations Forces units that have an extremely intensive and high-risk training schedule, serious injuries or death among operators can result. SEAL Team Six/DEVGRU has lost several operators during training, including parachute accidents and close-quarters battle training accidents. It is presumed that the unit's assessment process for potential new recruits is different from what a SEAL operator experienced in his previous career, and much of the training tests the candidate's mental capacity rather than his physical condition, as he will have already completed Basic Underwater Demolitions/SEAL training.

Candidates will be put through a variety of advanced training courses that can include courses led by civilian and/or military instructors. These can include free-climbing, advanced unarmed combat techniques, defensive and offensive driving, advanced diving, and "survival, evasion, resistance, and escape" (SERE) training. All candidates must perform at the top level during selection, and the unit instructors evaluate the candidate during the training process. Any candidate not performing to the highest level will be returned to his previous unit.

Once a candidate has been selected, he will be assigned to one of the Tactical Development and Evaluation Squadrons.

Roles and responsibilities

When SEAL Team Six was first created it was devoted exclusively to counter-terrorism with a worldwide maritime responsibility; its objectives typically included targets such as ships, oil rigs, naval bases, or other civilian or military bases that were accessible from the sea or inland waterways.

SEAL Team Six was originally also tasked with covertly infiltrating international hot spots in order to carry out reconnaissance or security assessments of U.S. military bases and U.S. Embassies.

Although the unit was created as a maritime counter-terrorism unit, it has become a multi-functional Special Operations unit with multiple roles that include high-risk personnel/hostage extractions. Such operations include the failed rescue of Linda Norgrove, the successful rescue of an American businessman, and in 1991 the successful recovery of Haitian President Jean-Bertrand Aristide and his family during a coup that deposed him.

After SEAL Team Six was disbanded and renamed, the official mission of the currently operating NSWDG is to test, evaluate, and develop technology and maritime, ground, and airborne tactics applicable to Naval Special Warfare forces such as Navy SEALs; however, this is presumed this is only a small part of the group's work assignment.

DEVGRU's full mission is classified but is thought to include preemptive, pro-active counterterrorist operations, counter-proliferation (efforts to prevent the spread of both conventional weapons and weapons of mass destruction), as well as assassination or recovery of high-value targets (HVTs) from unfriendly nations.DEVGRU is one of only a handful of U.S. special mission units authorized to use preemptive actions against terrorists and their facilities.

DEVGRU and the Army's Delta Force train together and deploy together on counter-terrorist missions usually as part of a joint special operations task force (JSOTF).

The CIA's highly secretive Special Activities Division (SAD) and more specifically its elite Special Operations Group (SOG) recruits operators from SEAL Team Six. Joint Navy SEALs and CIA operations go back to the famed MACV-SOG group during the Vietnam War. This cooperation still exists today and is seen in the wars in Iraq and Afghanistan.

SOURCE: Wikipedia







A little-known spy agency in Washington helped track the hour-by-hour movements of the al Qaeda courier who inadvertently led a Navy SEALs assault team directly to Osama bin Laden on Sunday, where they killed the terrorist mastermind with two precision shots to the head.

For eight months, after analysts tentatively identified a spacious walled compound near Islamabad, Pakistan, as a possible bin Laden hideout, an array of satellites and unmanned drones kept an unblinking, day-night “staring eye’’ watch, tracking individuals’ movements in and out, and following “individuals of interest’’ as they traveled across the region.

The data was continuously downloaded to an Air Force ground station housed in a nondescript hangar at Langley Air Force Base in Virginia, where teams of analysts pored over the “take’’ and streamed it live to intelligence analysis cells at the CIA, the National Security Agency and the National Counterterrorism Center.

The NCTC, housed in an innocuous office building in Rosslyn, Va., just across the Potomac River from Washington proper, operates far from the spotlight that illuminates even the secretive CIA, but it played a pivotal role in the bin Laden manhunt.

Working with the military’s Joint Special Operations Command Targeting and Analysis Center, located at Langley, and with the National Geospatial-Intelligence Agency up the river in Bethesda, Md., the NCTC analysts helped develop what the military calls a “common operating picture.’’ In layman’s terms, that amounted to a detailed four-dimensional “map’’ of the bin Laden compound and its occupants and their patterns of living and working.

The data enabled JSOC’s commandos to build, in a remote section of the U.S. air base at Bagram, Afghanistan, a full-scale replica of the al Qaeda compound at Abbottabad, an hour’s drive north of Islamabad. In constant rehearsals at the mock-up, they perfected the timing and the tactics used in Sunday’s raid.

NCTC officials declined to comment publicly on the agency’s operations or the work that led to bin Laden’s death on Sunday.

But a senior intelligence official, who briefed reporters anonymously because much of the information is classified, said the breadth and depth of the information was critical. After the compound was initially discovered last summer, he said, officials “developed good information on how life at the compound was carried out.’’

The information was so complete, he added, that “the operators who assaulted the compound felt they had all the intelligence they needed.’’ Such assessments are unusual because the military, and commandos in particular, rarely acknowledge they have “enough’’ intelligence.

In a statement, James R. Clapper, the director of national intelligence who presides over all 16 of the country’s intelligence agencies, said that in his nearly 50-year career “never have I seen a more remarkable example of focused integration, seamless collaboration and sheer professional magnificence’’ as was evident in the final hunt for bin Laden.

As impressive as it is, the elimination of the al Qaeda founder, after nearly a decade of effort, won’t have nearly the impact on global terrorism that it might have several years ago, counterterrorism officials say. Thanks to the “franchising’’ of extremist Islamist terror cells to Yemen, Somalia and elsewhere, the danger -- and the action -- has shifted away from bin Laden’s core al Qaeda group, according to NCTC director Michael Leiter.

None of the recent terrorist operations against the United States, including the 2009 Fort Hood shootings that killed 13 Americans and the drive-by shooting later that year that killed a soldier at a Little Rock, Ark., recruiting station, were directed or inspired by bin Laden. Rather, these two attacks, together with the three failed but potentially deadly attacks -- the attempted Times Square bombing, the bungled Christmas 2009 airliner bombing, and the parcel bombs hidden in printer cartridges last fall -- all were inspired or directed by a the Yemeni-based cleric, Anwar al-Awlaki, and the al Qaeda offshoot, al Qaeda in the Arabian Peninsula, also based in Yemen.

Leiter and other counterterrorism officials say that AQAP and other “franchises’’ have surpassed the original Pakistan-based al Qaeda in terms of speedy planning and imaginative attacks. They cite a further threat: the emergence of homegrown Islamist terrorists in the United States, such as the alleged Little Rock shooter, Abdulhakim Mujahid Muhammad, a 24-year-old Muslim convert formerly known as Carlos Bledsoe.

“Bin Laden personally, al Qaeda’s terrorist tradecraft, all of that is becoming less popular in most places in the world,’’ Leiter said in a December speech at the Center for Strategic and International Studies in Washington.

The affiliates, he added, “no longer simply rely upon their linkages to al Qaeda senior leadership in Pakistan but they have in fact emerged more as self-sustaining, independent movements and organizations.”

Leiter also noted that the affiliates maintain “important tentacles back to al Qaeda senior leadership” but operate with a high degree of independence.

“And, frankly, they operate at a different pace and with a different level of complexity than does al Qaeda senior leadership, and that has complicated our task significantly,’’ Leiter added.

The NCTC’s role in the killing of bin Laden is payback of sorts for the U.S. intelligence community, which was criticized for its failure to prevent the 9/11 attacks -- when a lack of coordination kept intelligence officers from fitting together known pieces of the al Qaeda plot. In the aftermath of the attacks, a presidential commission urgently recommended the establishment of a new agency to unify “strategic intelligence and operational planning against Islamic terrorists.’’

The NCTC was operational by 2004.

This time, by all accounts, the intelligence agencies and the military operational headquarters worked together smoothly and swiftly, justifying the effort put into breaking down institutional walls and separate data bases, said counterterrorism officials who requested anonymity because their operations are classified.

A former Navy pilot who flew EA6B Prowler jamming and attack planes over the Balkans and Iraq, Leiter, 42, is a cum laude graduate of Harvard Law School and clerked for Supreme Court Justice Stephen G. Breyer before starting work in counterterrorism. He was appointed as NCTC director by President George W. Bush -- and asked to stay on by President Barack Obama. He was married Saturday evening in Washington; the honeymoon was postponed.

SOURCE: Huffington Post



Hapana,leo sio April 1-Siku ya Wajinga- bali habari ifuatayo ni ya kweli na wala si kanyaboya flani.Baada ya usanii uliodumu kwa takriban mwezi mzima,hatimaye CCM imerejea kwenye asili yake.Wengine tulishashtukia mapema usanii uliobeba jina la "kujivua magamba".Tangu lini nyoka akageuka mjusi baada ya kujivua magamba?Na tangu lini mchawi akageuka mtu mwema kwa vile tu kavua tunguri?

Enewei,habari kamili ni hii:

CCM yatoa msimamo

*Mukama asema maazimio ya NEC yamepotoshwa
*Ataka chama kiheshimu taratibu, aisulubu Chadema
Na Mwandishi Wetu

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Wilson Mukama, amesema Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM, haijawahi kutoa maazimio ya kuwataka watuhumiwa wa ufisadi kujiuzulu nyadhifa zao ndani ya siku 90, ila wenye kutoa kauli hizo wanapotosha.

Mukama alikuwa akizungumza na wahariri wa vyombo vya habari vyote nchini, walipokutana jijini Dar es Salaam jana. Alitoa kauli hiyo baada ya kuhojiwa ataje majina ya mafisadi ni akina nani, na kwamba barua wanazosema watapewa zitakabidhiwa lini kwa wanachama hao wa CCM.

Akizungumza kwa tahadhari kubwa, Mukama alisema NEC ilitoa maazimio 26, na kati ya hayo, azimio namba 15 lilikuwa likiwataka watuhumiwa wa ufisadi, “kupima, kutafakari na kuchukua hatua wenyewe,” ila akaongeza kuwa wakati Mwenyekiti, Rais Jakaya Kikwete anafunga kikao cha NEC, alisema watuhumiwa wasipochukua hatua wenyewe chama kitawachukulia hatua.

“Kwa maana hiyo, kuna watu wame-hype information (wamepotosha taarifa kwa propaganda)… sijui hizi siku 90 zimetoka wapi? Kwanza NEC haikutani kila baada ya siku 90. NEC inakutana kila baada ya siku 120, yaani miezi minne au mara tatu kwa mwaka… Mimi nasema maamuzi ya NEC hayakutaja majina ya watu. Kitu hiki hakipo. Mtuache kama Chama tuna taratibu zetu, wala hatuhitaji mashinikizo kutoka popote,” alisema Mukama.

Mukama alisema yeye anaamini katika utaratibu wa kuendesha chama kama taasisi, hivyo kauli za watu zinazotoa siku 90 si za chama, bali chama kinasimamia maamuzi yanayotokana na kumbukumbu rasmi ambazo ni maazimio 26 ya NEC na hotuba rasmi ya Mwenyekiti wao wakati anafunga kikao cha NEC.

Msimamo huu wa Katibu Mkuu Mukama, umekuwa tofauti na kauli zilizotolewa na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Pius Msekwa, Naibu Katibu Mkuu (Bara), John Chiligati na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, ambao wamekuwa wakitamba kuwa baada ya siku 90 chama kitawafukuza kwenye chama watuhumiwa wa ufisadi ikiwa wao watashindwa kujiondoa sasa.

Hata hivyo, Mukama alisema watu wanaotuhumiwa wanapaswa kufikiri na kuchukua hatua wenyewe wanazoona zinafaa kwa nia ya kujenga chama chao upya. Alisema falsafa ya kujivua gamba imefanyiwa kazi kwa Kamati Kuu na sekretarieti ya chama kujiuzulu, hivyo hakuna sababu ya watu kupotosha falsafa hiyo na kukilazimisha chama kufanya maamuzi ya kujiua.

Wakati huo huo, Mukama alikishambulia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuwa kitakufa kabla ya CCM, kwani chama hicho kimeanzishwa kwa shinikizo la Shirika la Fedha Ulimwenguni (IMF). “You can quote me on this (nikariri katika hili) Chadema kilianzishwa kwa shinikizo la IMF. Yule aliyetofautiana na Nyerere ndiye aliyekwenda kukianzisha,” alisema Mukama bila kufafanua.

Katika mkutano huo, Mukama aliambatana na Katibu wa Idara ya Siasa na Mambo ya Nje, January Makamba, Katibu wa Fedha na Uchumi, Mwigulu Mchemba na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye.

Mukama alisema CCM haijapoteza mwelekeo, na itaendelea kujijenga upya kwa nia ya kutumikia vyema wananchi, huku akisisitiza kuwa mabadiliko yaliyofanywa yalikuwa ya lazima kukipa uhai mpya chama hicho.

CHANZO: New Habari


Mtoto wa Rais Kikwete aukana ubilionea

na Betty Kangonga

MJUMBE wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana (UVCCM), Ridhiwan Kikwete, amekanusha tuhuma zilizoelekezwa kwake juu ya kumiliki mali na mabilioni ya fedha.

Ridhiwan alikanusha madai hayo baada ya nyakati tofauti Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa na Mchungaji Christopher Mtikila kutoa madai kuwa Ridhiwan pamoja na kumaliza shule miaka michache iliyopita, hivi sasa ni tajiri bilionea.

Akizungumza jana jijini Dar es Salaam na waandishi wa habari, Ridhiwan, alisema habari hizo si za kweli bali za kizushi na kwamba zimejaa uongo unaolenga kumchafua yeye pamoja na baba yake Rais Jakaya Kikwete huku wakipandikiza chuki kwa umma.

Ridhiwan alisema kwa sasa anamiliki shamba la hekari moja na nusu, gari aina ya Toyota Cami na akaunti tatu tofauti zilizo katika benki ya NBC, Stanbic na CRDB.

Alipoulizwa mbona anaonekana akitembelea magari ya kifahari, mtoto huyo wa Rais alisema: “Hapa mjini unaweza kumuona mtu amevaa suti ukadhani ya kwake kumbe ameazima. Mimi nina marafiki wengi, huwa wananiazima magari yao nitembelee, juzijuzi hapa nilikuwa na benzi ya rafiki yangu….jamani miundombinu ya mjini si mnaijua?”

Alisema kutokana na kuwaheshimu wazee hao na umri walionao ni bora watumie busara na kujitokeza ili watoe ushahidi juu ya hayo waliyoyasema na hatua zaidi zichukuliwe.

Aliongeza kuwa iwapo itadhihirika kuwa habari walizozieleza ni za uongo basi atakuwa tayari kuwasamehe; lakini alidai leo atawafikishia barua wazee hao ambapo ndani ya wiki mbili amewataka wathibitishe taarifa hizo walizozitoa juu yake.

“Kama haitoshi narudia tena niliwaahidi ushirikiano na endapo watataka ili kuthibitisha yote hayo waliyosema na hata yale wanayoyasikia, wakithibitisha habari walizopewa ni za uongo basi wasisite kuueleza umma,” alisema Ridhiwan.

Ridhiwan alienda mbali zaidi na kudai kuwa si mara ya kwanza kwa Dk. Slaa kuongopewa, akidai kuwa wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka jana, watu wasiopungua 50 walikutana katika mji wa Mwanza kwenye Hoteli ya La Cairo ili kuhujumu uchaguzi.

“Mchungaji Mtikila ambaye yeye amewahi kukiri wazi kuwa alishawahi kuongopewa hivyo, imani yangu kwamba atakapojiridhisha juu ya maroli, maghorofa na hiyo kampuni ya kutengeneza barabara atatumia busara ili hatua za kisheria zifuatwe,” alisema.

Aliwataka wazee hao kutokuwa makanjanja wa kutengeneza habari katika njia ya kutafuta sifa za kisiasa na kuonekana wanajua kuongea.

Ridhiwan alieleza kutokana na kutokuwa na kinga ya aina yoyote na kutambua nchi inaendeshwa katika misingi ya utawala bora ambao unaheshimu haki za binadamu, yuko tayari kutoa ushirikiano kwa vyombo mbalimbali ili ukweli uwekwe wazi.

Mwishoni mwa wiki iliyopita mchungaji Mtikila alimtuhumu Rais Jakaya Kikwete kuitumia Ikulu kumtajirisha mwanawe, ambaye anaaminika kuwa tajiri bilionea.


Rais Obama,Makamu wake wa Rais Joe Bden (wa kwanza kushoto),Waziri wa Mambo ya Nje Hillary Clinotn (aliyeweka mkono mdomoni),Waziri wa Ulinzi Robert Gates (wa kwanza kulia),pamoja na timu ya usalama wa taifa wakifuatilia shambulizi la askari wa kikosi maalum (SEALs) nchini Pakistan lililopelekea kuuawa kwa Osama Bin Laden.Hapo ni katika ukumbi wa kutathimini mwenendo wa mambo (Situation Room),Ikulu ya Marekani

Rais Obama akisisitiza pointi huku Mshauri wake wa usalama wa taifa Tom Donilon (kulia) akisikiliza.





Rais Obama na timu yake ya usalama wa taifa huku Makamu  Mnadhimu Mkuu wa Majeshi ya Marekani,Jenerali James Cartwright akonekana kwenye screen




Rais Obama akisikiliza kwa makini mwenendo wa operesheni ya kumuua Osama Bin Laden

Rais Obama akiongea kwenye simu katika moja ya simu mbalimbali muhimu alizopiga kufahamisha mafanikio ya operesheni ya kumuua Osama,ikiwa ni pamoja na simu kwa Maraisi wa zamani wa nchi hiyo Bill Clinton na George W. Bush




Rais Obama akipitia hotuba yake kabla hajalihutubia taifa kufahamisha kuwa Osama ameuawa




Viongozi waandamizi katika utawala wa Rais Obama wakifuatilia hotuba yake kwa taifa kuhusu kuuwawa kwa Osama.Kutoka Kulia kwenda Kushoto ni Makamu wa Rais Joe Baden,Waziri wa Nje Hillary Clinton,Mkuu wa Majeshi ya Marekani Jenerali Mike Mullen,Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) Leon Panetta,Mshauri wa Rais katika usalama wa taifa Tom Donilon,na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa James Clapper.




Rais Obama akiwahutubia Wamarekani na dunia kutangaza kuuawa kwa Osama Bin Laden




Rais Obama akipena mkono na Mkuu wa Majeshi ya Marekani Jenerali Mullen baada ya hotuba yake.Wengine pichani ni Hillary Clinton na Mkurugenzi Mkuu wa CIA Panetta.
CHANZO: Picha za Ikulu ya Marekani katika tovuti ya picha ya Flickr

2 May 2011



Ed Pilkington
guardian.co.uk, Monday 2 May 2011 10.52 BST

How sweet it was on Saturday night for Barack Obama to be able to take to the stage at the White House correspondents dinner in Washington and mock his nemesis Donald Trump for having embraced the birther conspiracy that the president scotched only last week with the production of his birth certificate.

That was nothing compared with the sweetness of the moment that came 24 hours later when Obama took to the national stage, announcing from the East Wing of the White House that he had successfully ordered the killing of Osama bin Laden.

That address, delivered sombrely but with evident relish by Obama, will almost certainly dash any remaining hopes on Trump's part that his wife Melania will be choosing new curtains for the White House in 2013. It may also sweep away the aspirations of several other potential Republican candidates hoping to limit Obama to one term.

Rarely has an incumbent president been handed such a gift in the runup to an election year. As the huge crowd that assembled outside the White House testified, "getting Osama" is grounds for national jubilation, free from party affiliation.

Obama was at pains in his announcement to emphasise the personal role he had played as commander-in-chief. He underlined that he had ordered the CIA to make the killing or capture of Bin Laden its top priority, that he had met repeatedly with the national security team when the al-Qaida leader's whereabouts had become known, and that it was "at my direction" that the operation to assassinate him was launched.

The accent on his firmness in the face of the terrorist threat is unlikely, in the case of Bin Laden, to displease even the most liberal of Democratic voters who have grown increasingly despondent about the president's refusal to break with the central features of George Bush's "war on terror", such as the maintenance of the detention camp at Guantánamo Bay. It is likely to play very well with independent voters upon whom his re-election depends.

In his wording, it was clear that Obama was seeking to put to rest the comparison with Jimmy Carter, the last Democrat to be thrown out of the White House after just one term, that has dogged his presidency.

Obama stressed that none of the US special forces had been harmed in the operation to kill Bin Laden, an allusion to Carter's disastrous attempt in 1980 to rescue the Iranian hostages that cost American lives.

Obama will be hoping that the feelgood fallout from the news of Bin Laden's death will lead to a bounce in his popularity ratings that have remained worryingly low for many months. In the latest Rasmussen poll, 49% of voters said they disapproved of his leadership, 37% strongly, although that was before this weekend's events in Pakistan.

On the other hand, the polls show consistently that the top priority for voters is no longer national security – that has waned as a preoccupation almost 10 years after 9/11 – but the economy.

With petrol prices at a historic high, and unemployment still at 9.2%, Obama will know that even the death of Bin Laden will not secure him a second term unless the economy improves.

At least, for now, he has the pleasure of watching his opponents squirm. The announcement saw Republican 2012 hopefuls reaching for the superlatives, including Mitt Romney who called the news "a great victory for lovers of freedom and justice everywhere".

The gloves won't stay off for long, but for now Obama can enjoy being on top.


For Immediate Release
May 02, 2011
Remarks by the President on Osama Bin Laden
East Room

11:35 P.M. EDT

THE PRESIDENT: Good evening. Tonight, I can report to the American people and to the world that the United States has conducted an operation that killed Osama bin Laden, the leader of al Qaeda, and a terrorist who’s responsible for the murder of thousands of innocent men, women, and children.

It was nearly 10 years ago that a bright September day was darkened by the worst attack on the American people in our history. The images of 9/11 are seared into our national memory -- hijacked planes cutting through a cloudless September sky; the Twin Towers collapsing to the ground; black smoke billowing up from the Pentagon; the wreckage of Flight 93 in Shanksville, Pennsylvania, where the actions of heroic citizens saved even more heartbreak and destruction.

And yet we know that the worst images are those that were unseen to the world. The empty seat at the dinner table. Children who were forced to grow up without their mother or their father. Parents who would never know the feeling of their child’s embrace. Nearly 3,000 citizens taken from us, leaving a gaping hole in our hearts.

On September 11, 2001, in our time of grief, the American people came together. We offered our neighbors a hand, and we offered the wounded our blood. We reaffirmed our ties to each other, and our love of community and country. On that day, no matter where we came from, what God we prayed to, or what race or ethnicity we were, we were united as one American family.

We were also united in our resolve to protect our nation and to bring those who committed this vicious attack to justice. We quickly learned that the 9/11 attacks were carried out by al Qaeda -- an organization headed by Osama bin Laden, which had openly declared war on the United States and was committed to killing innocents in our country and around the globe. And so we went to war against al Qaeda to protect our citizens, our friends, and our allies.

Over the last 10 years, thanks to the tireless and heroic work of our military and our counterterrorism professionals, we’ve made great strides in that effort. We’ve disrupted terrorist attacks and strengthened our homeland defense. In Afghanistan, we removed the Taliban government, which had given bin Laden and al Qaeda safe haven and support. And around the globe, we worked with our friends and allies to capture or kill scores of al Qaeda terrorists, including several who were a part of the 9/11 plot.

Yet Osama bin Laden avoided capture and escaped across the Afghan border into Pakistan. Meanwhile, al Qaeda continued to operate from along that border and operate through its affiliates across the world.

And so shortly after taking office, I directed Leon Panetta, the director of the CIA, to make the killing or capture of bin Laden the top priority of our war against al Qaeda, even as we continued our broader efforts to disrupt, dismantle, and defeat his network.

Then, last August, after years of painstaking work by our intelligence community, I was briefed on a possible lead to bin Laden. It was far from certain, and it took many months to run this thread to ground. I met repeatedly with my national security team as we developed more information about the possibility that we had located bin Laden hiding within a compound deep inside of Pakistan. And finally, last week, I determined that we had enough intelligence to take action, and authorized an operation to get Osama bin Laden and bring him to justice.

Today, at my direction, the United States launched a targeted operation against that compound in Abbottabad, Pakistan. A small team of Americans carried out the operation with extraordinary courage and capability. No Americans were harmed. They took care to avoid civilian casualties. After a firefight, they killed Osama bin Laden and took custody of his body.

For over two decades, bin Laden has been al Qaeda’s leader and symbol, and has continued to plot attacks against our country and our friends and allies. The death of bin Laden marks the most significant achievement to date in our nation’s effort to defeat al Qaeda.

Yet his death does not mark the end of our effort. There’s no doubt that al Qaeda will continue to pursue attacks against us. We must –- and we will -- remain vigilant at home and abroad.

As we do, we must also reaffirm that the United States is not –- and never will be -– at war with Islam. I’ve made clear, just as President Bush did shortly after 9/11, that our war is not against Islam. Bin Laden was not a Muslim leader; he was a mass murderer of Muslims. Indeed, al Qaeda has slaughtered scores of Muslims in many countries, including our own. So his demise should be welcomed by all who believe in peace and human dignity.

Over the years, I’ve repeatedly made clear that we would take action within Pakistan if we knew where bin Laden was. That is what we’ve done. But it’s important to note that our counterterrorism cooperation with Pakistan helped lead us to bin Laden and the compound where he was hiding. Indeed, bin Laden had declared war against Pakistan as well, and ordered attacks against the Pakistani people.

Tonight, I called President Zardari, and my team has also spoken with their Pakistani counterparts. They agree that this is a good and historic day for both of our nations. And going forward, it is essential that Pakistan continue to join us in the fight against al Qaeda and its affiliates.

The American people did not choose this fight. It came to our shores, and started with the senseless slaughter of our citizens. After nearly 10 years of service, struggle, and sacrifice, we know well the costs of war. These efforts weigh on me every time I, as Commander-in-Chief, have to sign a letter to a family that has lost a loved one, or look into the eyes of a service member who’s been gravely wounded.

So Americans understand the costs of war. Yet as a country, we will never tolerate our security being threatened, nor stand idly by when our people have been killed. We will be relentless in defense of our citizens and our friends and allies. We will be true to the values that make us who we are. And on nights like this one, we can say to those families who have lost loved ones to al Qaeda’s terror: Justice has been done.

Tonight, we give thanks to the countless intelligence and counterterrorism professionals who’ve worked tirelessly to achieve this outcome. The American people do not see their work, nor know their names. But tonight, they feel the satisfaction of their work and the result of their pursuit of justice.

We give thanks for the men who carried out this operation, for they exemplify the professionalism, patriotism, and unparalleled courage of those who serve our country. And they are part of a generation that has borne the heaviest share of the burden since that September day.

Finally, let me say to the families who lost loved ones on 9/11 that we have never forgotten your loss, nor wavered in our commitment to see that we do whatever it takes to prevent another attack on our shores.

And tonight, let us think back to the sense of unity that prevailed on 9/11. I know that it has, at times, frayed. Yet today’s achievement is a testament to the greatness of our country and the determination of the American people.

The cause of securing our country is not complete. But tonight, we are once again reminded that America can do whatever we set our mind to. That is the story of our history, whether it’s the pursuit of prosperity for our people, or the struggle for equality for all our citizens; our commitment to stand up for our values abroad, and our sacrifices to make the world a safer place.

Let us remember that we can do these things not just because of wealth or power, but because of who we are: one nation, under God, indivisible, with liberty and justice for all.

Thank you. May God bless you. And may God bless the United States of America.


Jasusi ChatBot

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.