23 Sept 2008



CAUTION:Some explicit words in the clip below



They say Crack is dangerous but these guys don't seem to get it.



Should we feel sorry for this model or just laugh like those guys on telly?



Oh God!!!



Some rules...


And finally,these kids....






Mgomo wa NMB nchi nzima-Mishahara kuchelewa

Na Waandishi Wetu 

ZAIDI ya wafanyakazi 5,000 nchini wanaochukua mishahara yao kupitia Benki ya National Microfinance Bank (NMB) watalazimika kutolipwa wiki hii kutokana na mgomo wa nchi nzima wa wafanyakazi wa benki hiyo ulioanza jana. 

Wafanyakazi hao waligoma wakiishinikiza Serikali kuwalipa mafao na kupewa asilimia tano ya hisa zilizotengwa kwa ajili yao wakati Serikali ilipoamua kuuza hisa zake. 

Mgomo huo umekuja baada ya Chama cha Wafanyakazi wa Viwanda, Biashara, Taasisi za Fedha, Huduma na Ushauri (TUICO), kutoa notisi ya saa 48, Septemba 19 mwaka huu ikieleza kusudio la kugoma. 

Akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana kuhusu mgomo huo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo, Bw. Ben Christiaanse, alisema hatua iliyochukuliwa na wafanyakazi hao katika matawi 121 nchini, ni kubwa kuliko tatizo lililopo. 

Aliulaumu uongozi wa TUICO kwa kile alichodai mbali ya kusababisha matatizo mengine, umekiuka amri ya mahakama kwa kuwa suala la wafanyakazi hao bado lilikuwa linashughulikiwa na kusisitiza, kwamba mgomo huo umesababisha matatizo makubwa kwa mamilioni ya Watanzania. 

Akizungumza kwenye mkutano huo, Mwanasheria wa NMB, Bw. Rosan Mbwambo, alisema jana asubuhi benki hiyo iliwasilisha ombi rasmi mahakamani la kukiukwa amri hiyo iliyotolewa Januari 21 mwaka huu na kutaka wahusika kuchukuliwa hatua za kijinai. 

Alisema baada ya kuwasilisha ombi hilo, mahakama hiyo iliagiza pande mbili, Benki na Chama cha Wafanyakazi, kufika mahakamani leo asubuhi. 

Aliwataja viongozi wa TUICO wanaotakiwa mahakamani leo kuwa ni Katibu Mkuu wa TUICO, Bw. Boniface Nkakatisi, naibu wake Alquine Senga, Mwenyekiti wa NMB TUICO Tawi na Kamati ya Majadiliano, Bw. Joseph Misana na Katibu wa Tawi la NMB, Bw. Abdallah Kinenekejo. 

Kutoka Tanga, Benedict Kaguo anaripoti kuwa wateja wa Benki ya NMB waliulalamikia uongozi wa benki hiyo kwa kushindwa kusikiliza madai ya watumishi wao hadi kusababisha mgomo mkubwa ulioleta adha kubwa. 

Wakizungumza kwa jazba nje ya ofisi za benki hiyo tawi la Madaraka jana baada ya kukuta tangazo lililowaomba radhi wateja kuwa hakutakuwa na huduma, wateja hao walidai jambo hilo limetokana na kupuuzwa hoja za wafanyakazi hao. 

Walieleza kutofurahishwa na kauli ya Mkurugenzi Mkuu wa Benki hiyo, Bw. Christiaanse kung’ang’ania kuwa mgomo huo ni batili bila kueleza chochote ama ni hatua gani amechukua kutekeleza madai ya wafanyakazi wake. 

“Sisi tunamshangaa huyu Mkurugenzi wa NMB, anaacha kueleza ni nini atawafanyia wafanyakazi hawa ili wasigome, yeye anang’ang’ania kuwa mgomo ni batili haya ni mambo ya ajabu sana,” alisema Mwalimu Deo Temba. 

Alieleza kuwa NMB ni benki kongwe nchini, hivyo kitendo cha kutowajali watumishi wake kinaifedhesha benki hiyo ndani ya jamii. 

Kutoka Shinyanga, Suleiman Abeid anaripoti kuwa mgomo ulichukua sura mpya baada ya wafanyakazi benki hiyo kutishia kuwashawishi na kuwaomba wafanyakazi wa sekta nyingine nao wagome kuishinikiza Serikali ikubali kutekeleza madai yao. 

Wakizungumza na waandishi wa habari mjini humo jana, wafanyakazi hao wakiongozwa na viongozi wao wa chama chao, ngazi ya tawi na mkoa, walisema watafanya chini juu kuwaomba wafanyakazi wenzao wawaunge mkono, ili Serikali ishughulikie haraka madai yao. 

“Iwapo madai yetu hayatapatiwa ufumbuzi mapema, sisi tutaendelea na mgomo wetu na ni wazi wafanyakazi wenzetu hawataweza kulipwa mishahara yao na hata baadhi ya wafanyabiashara watapata shida, tutawaomba nao wagome katika maeneo yao,” alieleza Bw. Emmanuel Samara Katibu TUCTA mkoani hapa. 

Naye Katibu wa TUICO Shinyanga, Bw. Gabriel Melchior, alisema wafanyakazi wa NMB hawajagoma bali wanaendeleza mgomo ulioanzishwa na Serikali na mwajiri wao. 

Naye Francis Godwin kutoka Iringa anaripoti kuwa mgomo wa wafanyakazi NMB ulikabiliwa na askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) baada ya kutanda benki hiyo huku wateja wakiwa wamepanga foleni tangu asubuhi wakisubiri kuchukua fedha zao katika ATM. 

Kutokana mgomo huo baadhi ya wananchi walimtaka Waziri wa Fedha na Uchumi, Bw. Mustafa Mkulo, kuchukua hatua ya kujiuzulu haraka kwa kushindwa kumudu nafasi hiyo. 

Mwandishi wa habari hizi alishuhudia wateja hao wengi wao wakiwa ni walimu na watumishi wa Serikali wakisubiri milango ya benki hiyo ifunguliwe, kutokana na kutokuwapo tangazo lolote lililoonesha kuwapo mgomo katika benki hizo. Matangazo hayo yalibandikwa saa 5 asubuhi. 

Kutoka Mwanza Jovin Mihambi anaripoti kuwa wafanyakazi katika matawi mawili ya NMB jijini humo walisema wataendelea na mgomo licha ya Menejimenti na Serikali kupuuza mwito wa kuwataka kukutana nao kutatua matatizo yao. 

Wakizungumza na Majira katika ukumbi wa DVN maeneo ya Posta jijini hapa, walisema awali walikubaliana na uongozi wa benki hiyo kupitia kwa Meneja wake, Bw. Methusela Israel, kuwa wangekutana kujua hatma ya nyongeza ya mishahara yao ambayo walisema kuwa ni asilimia tano. 

Katibu wa TUICO Mkoa wa Mwanza, Bw. Renatus Chimola, ambaye aliungana na wafanyakazi wa benki hiyo, alisema kama menejimenti na viongozi wa Serikali hawatatokea katika kikao hicho, mgomo huo utaendelea hadi leo mpaka uongozi huo utakapokutana nao na kujadili matakwa yao. 

Alisema wananchi ambao ni wateja katika matawi hayo watapata usumbufu, yeye na wafanyakazi hao, hawatajali usumbufu huo kwa madai kuwa wanachodai ni maslahi yao ambayo yatawawezesha kutenda kazi yao kwa ufanisi zaidi kama benki zingine nchini

SOURCE:Majira


SOMA STORI HII  halafu cheki clip hiyo hapo chini kwa uchambuzi zaidi.


Kwa lugha za Mlimani (UDSM) kilaza ni mtu ambaye shule haipandi.Kwake siku ya seminar presentation ni kama kutoa ushahidi kwenye kesi mahakamani ambayo inaweza kumpelekea kunyongwa.Ratiba ya mtihani ikitoka basi kwake inakuwa kama amepewa ratiba ya kifo chake.Vilaza huwa makini sana katika kuchagua marafiki chuoni hapo,hujitahidi kujiweka karibu na vipanga (kinyume cha vilaza).Kipanga halisi anaweza kuonekana kwenye lectures kwa msimu,muda mwingi anautumia kwa shughuli zake binafsi,na si ajabu kumkuta anakamata kinywaji pale Duso wakati watu wanahangaika library.Ni nadra kuwaona vipanga halisi kwenye discussion groups.Lakini come the UE,vipanga wanaendelea kutesa.Well,hiyo ni Mlimani niliyoiacha 1999.Sijui mambo yakoje kwa sasa.

Baadhi ya wachambuzi wa mambo wanamtuhumu Sarah Palin,mgombea mwenza wa John McCain, kuwa huenda ni kilaza na ndio maana amekuwa akikwepa mahojiano ya maana na vyombo vya habari.Zaidi SOMA HAPA



According to the DAILY MAIL

Black farmer quizzed by police THREE times on suspicion of stealing food from his own field

By Andy Dolan

Last updated at 6:13 PM on 22nd September 2008

Huckled: Farmer David Mwanaka with part of his latest crop

A police force sent four squad cars to question a black farmer in his field after receiving reports that a thief was stealing maize - the third time in less than a week that officers had questioned the man.

David Mwanaka, 42, told yesterday how he was reported to the police by people 'who are not used to seeing a black man working in a farmer's field', after he was repeatedly quizzed at the farm where he rents land.

Mr Mwanaka, who is originally from Zimbabwe, was quizzed for half an hour and searched, while officers also checked his van. 

He also had to call the white farmer, from whom he rents his field in Rothley, Leicestershire, before police were finally satisfied that he wasn't stealing food. 

On the third occasion, four patrol cars arrived to quiz the farmer as he was picking maize from his crop. 

The father-of-three was with wife Brenda and another worker when police first approached him on the land on a Saturday morning as he picked maize.

'They asked me what I was doing and I told them I was cropping my maize', he said. 'They said they couldn't believe me so they asked me for my ID and they did some checks on my vehicle.

'Then I had to call the local farmer, from whom I rent the field, to come and help me with the situation. He was able to tell them who I was and explain that I was renting the field from him.

'Then on Monday morning the same thing happened again. Some officers came over again and said, "We've got a report that you are stealing maize". 

'I had to go over the whole thing all over again, proving my ID and convincing them that I was genuine.
 

Police interest: Mr Mwanaka was visited by police three times in a week after 'ignorant' neighbours thought he was stealing crops

'Then on Wednesday I was in the field when I heard a lady police officer saying, "Hello, hello", so I went over to her and she said she was looking for a thief.

'There were four police cars there, I couldn't believe it. I explained to the officer that I wasn't stealing maize, that I was a farmer but I had to go over the same process again all over again to prove that I was telling them the truth.

'It was a waste of time on my side and for the police. They should have shared the information about this and communicated better.'

Mr Mwanaka, who has a contract to supply white sweetcorn to Sainsbury's stores in the London area, added: 'They (the police) said the people who reported me had said there was a black man stealing food from a farmer's field.' 

He believes he is one of just two black farmers in the country.

The incidents earlier this month are the first time in the five years he has rented the land that he has been bothered by the police. 

He also rents several fields in Enfield, North London,and commutes to his crops from his home in Basildon, Essex. 
 

Smallholder: The farmer rents his fields near Rothley, Leicestershire, from a white farmer. He also grows crops in north London

He said once someone driving past one of his fields in London shouted to him, 'What are you doing to that farmer's crop - leave our food alone.'  

Mr Mwanaka was a journalist in his home country but moved to Britain legally in 1991, initially to study. He insisted he was not offended by the incidents, which he put down to 'ignorance'.

He added: 'If it was the same person calling the police each time, that would be racist. The police haven't told me who has been making the reports, but I suspect people have just become concerned because they are not used to seeing a black man in this area.'

He farms mainly white maize - the crop he grew in Zimbabwe. But he also grows pumpkins, sweet potatoes and sweetcorn.

A spokesman for Leicestershire Police said they had 'a duty' to respond to every call made by the public reporting a suspected crime.

He said: 'Police were called to land off Mountsorrel Lane in Rothley at 9.47am on Saturday, September 13 after a report of a suspected theft.

'Two further calls regarding suspicious activity on the land were received at 8.32am on Monday September 15 and 8.30am on Wednesday September 17.

'On all occasions, officers attended the scene and, after initial investigations they were satisfied there were no suspicious circumstances.'
The National Farmers Union said they did not keep any statistics on black farmers.

A spokeswoman said: 'Farming is traditionally a very white male-dominated industry but we have seen more women coming into it over recent years, and there is no reason why that won't happen with people from ethnic minorities.'

The best known black farmer in Britain - thought to be the only other one than David Mwanaka - is Wilfred Emmanuel-Jones,50, who is the Conservative Party candidate for Chippenham, Wiltshire.

He has his own branded lines of food such as sausages marketed under the name The Black Farmer.

The father-of-three was born in the West Indies, brought up in the Midlands after coming to England with his family when he was three years old and now farms in Devon.

The government ministry responsible for farming, Defra, said they did not keep statistics on black farmers either.




22 Sept 2008

Tanzania’s future in Manji’s hands?

-ROW ERUPTS AFTER CONTROVERSIAL BUSINESSMAN IS TOUTED AS ONE OF NATION’S LEADING ROLE MODELS 

THISDAY REPORTER 
Dar es Salaam 

A ROW has exploded over the decision of organizers of an upcoming investment conference in Dar es Salaam to declare controversial businessman Yusuf Manji as a leading role model helping to shape Tanzania’s future. 

The Economist Group, which is convening a much-hyped roundtable conference in the country on October 6 and 7 this year, lists Manji among ’’people shaping Tanzania’s future.’’ 

Manji, Chief Executive Officer of Quality Group Limited, is scheduled to be one of the key speakers at the roundtable sponsored by Barrick Tanzania, Zain, Artumas Group and Coca-Cola. 

One of the key topics of discussion at the planned conference is aptly titled ’’Is the government doing enough to tackle corruption?’’ 

Sessions of the business roundtable will be led by President Jakaya Kikwete and senior government ministers, according to the organizers. 

’’The Economist’s First Business Roundtable with the government of Tanzania offers you the opportunity to gain exclusive access to the country’s top decision-makers and discuss its economic future with an international audience of high-level executives,’’ says an advert for the conference published in The Economist’s of September 13-19 issue of 2008. 

Manji, who faces a series of corruption allegations in Tanzania, has been highlighted as one of the key players in the nation’s future economic success. 

The Secretary-General of the Opposition Chadema party, Dr Wilbroad Slaa, reacted angrily to the decision of The Economist to name the businessman as one of the ’nation’s role models.’ 

’’How can Manji be among people entrusted with our national economy and future well-being?’’ he queried in an interview with THISDAY. 

’’It’s very unfortunate that Manji is named as one of the people shaping this country’s future ... We should make sure that people tainted with corruption (allegations) are not given such honours at forums,’’ he added. 

The Karatu Member of Parliament, who is an outspoken critic of grand corruption, noted that Manji was just recently alleged to have been involved in the external payment arrears (EPA) scandal at the Bank of Tanzania. 

Among other things, the controversial businessman is also at the centre of a long-standing corruption investigation by the Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) on a dubious 2004 deal involving the sale of overpriced godowns to the National Social Security Fund (NSSF) for 47.5bn/-. 

Persistent questions also remain over another dubious deal between Manji’s Quality Group Ltd and the Public Service Pension Fund (PSPF) involving the sale of Quality Plaza in Dar es Salaam for 36bn/-. 

Slaa slammed organizers of the conference for naming the businessman among the corporate speakers at the meeting, regardless of the various corruption allegations against him. 

’’The fact that Manji faces many corruption allegations in Tanzania should have been the first criteria not to include him in the list of people shaping our nation’s future ... Organizers should seriously reconsider their decision,’’ he insisted. 

Other notable senior government and corporate speakers to be joined by Manji at the gathering include the Minister for Infrastructure Development, Dr Shukuru Kawambwa, Energy and Minerals Minister William Ngeleja and the Minister for Industry, Trade and Marketing, Mary Nagu. 

Also in the list of key speakers at the upcoming conference are East African Co-operation Minister Diodorus Kamala and the Managing Director of Vodacom Tanzania Limited, Deitlof Mare. 

Other topics to be discussed during the gathering include the role of the private sector in tackling Tanzania’s infrastructure bottlenecks, perceptions of new investors from China and India on the country, tourism development and diversification into new areas such as IT and telecoms. 

Source: THISDAY

UNAWEZA KUDHANI VITUKO VIMEISHIA HAPO.YOU'RE WRONG!HEBU MSIKIE NA HUYU NAE ANAYETAKA AACHWE NA UFISADI WAKE.


Kwa Dar es Salaam,na pengine kwingineko pia,sijui utaenda baa gani ambayo hawajafungulia muziki kwa sauti ya juu.Kumbe kuna maelezo ya kisayansi kwanini wenye baa wanapendelea muziki full blast.BONYEZA HAPA kupata undani zaidi.

Hatimaye Thabo Mbeki amejiuzulu urais wa Afrika Kusini kufuatia shinikizo kutoka kwa chama chake cha ANC.Soma HAPA kuhusu rise and fall of Mbeki.Angalia hotuba yake ya kujiuzulu kwa kuBONYEZA HAPA

Baada ya Billy  O'Reilly kuwashikia bango hackers walioingia kwenye  e-mails  za  Sarah Palin,hacker mmoja amedai kwamba amemfanyia kweli mwanahabari huyo kimbelembele.Stori zaidi soma HAPA

20 Sept 2008

Baada ya kushinda uongozi ndani ya chama chake cha Kadima,kuna dalili kubwa kwamba Tzipi Livni,shushushu wa zamani wa Mossad,anaweza kuchukua cheo cha Uwaziri Mkuu wa Israel,taifa linalofahamika zaidi kwa ubabe.Historia ndefu ya mwanamama huyu inapatikana HAPA

Jasusi ChatBot

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.