3 Dec 2009


Sijui tuiweke CCM katika kundi gani maana kila kukicha ni songombingo moja baada ya nyingine.Of course,migongano ni jambo la kawaida kwani hata ukiweka glasi katika boksi moja zinaweza kugongana kama si kuvunjika kabisa.Ndio maana maboksi yaliyosheheni glasi huwa na tahadhari "handle with care" au "fragile".

Pengine kabla sijaendelea na mada yangu kuhusu utovu wa nidhamu unaoendelea ndani ya chama tawala CCM,huku Katibu Mkuu Yusuph Makamba akitoa kauli zisizoendana na hadhi yake katika jamii,ni vema ukasoma habari ifuatayo kisha tujadili kidogo:

Makamba awatukana wanaoshauri Kikwete asigombee 2010

Rais Kikwete kongamano la Nyerere limemweka katika lawama za kutokuwa na maamuzi na kuwa asipendekezwe kugombea awamu ya pili.

Na Leon Bahati
KATIBU mkuu wa CCM, Yusuf Makamba, ambaye katika miezi ya karibuni amekuwa akihaha kutoa ufafanuzi, kukanusha au kujibu tuhuma mbalimbali dhidi ya chama hicho tawala, jana alikuwa na kazi nyingine ya kumtetea Jakaya Kikwete baada ya waziri katika serikali ya awamu ya tatu kushauri asiteuliwe kugombea urais 2010 iwapo atashindwa kufanya maamuzi magumu dhidi ya mafisadi.

Safari hii, Makamba alitumia maneno makali kumjibu waziri huyo, Matheo Qares akisema watu wenye fikra kwamba CCM inaweza kumtosa mwenyekiti wake kwenye mbio za urais wakati wa uchaguzi mkuu wa mwakani, "ni wehu".

Qares, ambaye aliwahi kushika wadhifa nyeti wa Waziri wa Menejimenti ya Utumishi wa Umma, alitoa rai hiyo juzi kwenye kongamano la kumuenzi muasisi wa taifa la Tanzania aliposema kuwa CCM haina budi kutafuta mwanachama mwingine wa kugombea nafasi ya urais mwaka 2010 iwapo Kikwete atashindwa kufanya maamuzi magumu dhidi ya mafisadi, ambao alisema hawakijui chama na wengine uraia wao una utata.

Lakini jana, Makamba alisema watu wenye fikra hizo ni wehu kwa kuwa uteuzi wa wagombea ndani ya CCM ni mchakato usiotoa ruhusa kwa mawazo binafsi ya watu.

"Mtu mwenye akili nzuri hawezi kusema kwamba Rais Kikwete ameshindwa kutekeleza wajibu wake. Anayefikiria hivyo, ni mwehu," alisema Makamba alipotakiwa kutoa maoni yake kuhusu kauli hizo.

Alisema ni vyema watu hao wakafahamu kuwa mgombea urais wa CCM anateuliwa kwa mujibu wa taratibu za chama kupitia vikao mbalimbali hivyo, wazo binafsi halina nafasi.

Alipoulizwa kuhusu shutuma zinazoelekezwa kwa Rais Kikwete, Makamba alisema asingependa kujibu hoja zilizotolewa na mjumbe mmoja mmoja kwenye kongamano hilo.

Lakini akaeleza kwamba yupo tayari kutoa maoni yake binafsi baada ya Taasisi ya Mwalimu Nyerere kuwasilisha kwake mapendekezo waliyofikia kwenye kongamano hilo.

"Mimi mwenyewe sikuwepo kwenye kongamano hilo. Wala sijui mapendekezo yao. Siwezi nikatolea maoni hoja za mtu mmoja mmoja alizotoa kwenye Kongamano hilo. Nitakapopata mapendekezo ya jumla ya taasisi hiyo, nitakawa katika nafasi nzuri ya kutoa maoni yangu."

Katika kongamano hilo, Rais Kikwete amekuwa akilaumiwa kwa kutochukua hatua dhidi ya watu wanaotuhumiwa kwa ufisadi, wengi wao wakielezwa kuwa ni wafanyabiashara ambao wanatuhumiwa kukiteka chama kwa kutumia nguvu zao za pesa.

Wakati fulani Joseph Butiku, mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere ambayo iliandaa kongamano hilo, alisema Rais Kikwete amezungukwa na mafisadi ambao wanaitafuna nchi.

Akizungumza kwenye kongamano hilo juzi, Qares alisema rais hana budi kufumba macho na kuwashughulikia hao watuhumiwa ambao wanadai Kikwete hakujuana nao barabarani na kama atashindwa basi ashauriwe kuwa miaka yake mitano inamtosha.

Kabla ya Qares, Musa Nkangaa, ambaye aliwahi kuwa waziri kwenye serikali ya awamu ya pili, aliituhumu CCM kuwa imepoteza hadhi na kujikuta ikikumbatia matajiri wachafu.

Kwa mujibu wa Nkangaa, CCM imekuwa si chama cha wakulima na wafanyakazi tena, bali kimebaki kuwa chama cha matajiri.

"Ndiyo maana imekuwa ikiweweseka kuwashughulikia watuhumiwa wa Richmond na Kagoda," alisema akimaanisha kashfa ya utoaji zabuni ya ufuaji umeme wa dharura kwa Richmond Development Company LLC na tuhuma za wizi wa mabilioni ya fedha kutoka BoT.

CHANZO: Mwananchi

Tatizo kubwa la watawala wetu ni yale mazowea waliyojijengea ya kupigiwa makofi na vigeregere hata wanapoongea pumba.Ni katika mstari huohuo,kauli na mawazo mbadala huchukuliwa kuwa ni mithili ya kosa la uhaini.Sidhani kama kuna ubaya kwa wana-CCM kumpa changamoto mwenyekiti wao kama ambavyo Mtanzania yeyote mwenye mapenzi ya dhati anavyostahili haki ya kukemea mwelekeo mbovu wa nchi yetu.

Japo naafikiana na Makamba anapokumbusha wana-CCM wenzie kwamba chama hicho kikongwe kina utaratibu wake wa kumpata mgombea urais lakini hiyo sio sababu ya kuwaziba midomo wale wanaodhani mwanachama mwenzao waliyempitisha kugombea urais katika uchaguzi uliopita,na kushinda,yaani Jakaya Kikwete,ameshindwa kukidhi matarajio ya wana-CCM hao (kama Matheo Qareshi).Sio tusi kutoa mawazo kuwa flani ameshindwa hasa pale kauli kama hiyo inapoambatana na mifano hai kadhaa.

Sidhani kama Makamba anafanya hivyo kwa ile anaamini kuwa Qaresi ni mwehu (ikumbukwe Mtanzania huyo alishawahi kushika nyadhifa za juu ikiwa ni pamoja na uwaziri katika ofisi ya rais) bali ni muendelezo wa kasumba ya kujikomba.Kwa Makamba kumhukumu Qaresi kuwa ni mwehu amekwepa ujasiri wa kujadili hoja badala ya kumjadili mtu.

Ni muhimu tuwe wakweli na wawazi katika kujadili hatma ya taifa letu.Ni dhahiri kuwa vita dhidi ya ufisadi inakwamishwa na mwenye jukumu la kuchukua hatua.Hatuwezi kufanikiwa katika mapambano dhidi ya rushwa (kama yapo at all) ilhali ilishashauriwa kwamba Mkurugenzi wa TAKUKURU,Edward Hosea,ang'olewe madarakani kutokana na kuhusishwa na utapeli wa Richmond.Ushauri huo ulitolewa pia kuhusa aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali,Johnston Mwanyika.Huwezi kuwalaumu Hosea na Mwanyika kwa vile hawakujiteua kushika nyadhifa hizo.Aliyewateua yupo na amesikia yaliyosemwa dhidi yao lakini kaamua kupuuza.

Kwa hakika kama tunataka kuiona Tanzania ikijikomboa kutoka katika lindi la umasikini unaochangiwa kwa kiasi kikubwa na ufisadi,basi ni dhahiri tunahitaji kuangalia makosa yaliyofanyika mwaka 2005 na kuhakikisha hatuyarudii katika uchaguzi mkuu ujao hapo mwakani.Haya mambo ya kuangalia haiba ya mtu na pasipo kujali kama haiba hiyo inaendana na uwezo wa kazi yameshatufikisha hapa,na tukizubaa yatatupeleka pabaya zaidi,

Kinachisikitisha ni mwamko mdogo mingoni mwa Watanzania wa tabaka la kati (the middle class).Tabaka hili lina nafasi nzuri ya kuunganisha nguvu na tabaka la walalahoi ili kulibana tabaka tawala ambalo so far limeji-identify kama sehemu muhimu ya ustawi wa ufisadi na mafisadi.

Inawezekana kabla hatujachelewa.






Honorable office of Senate
Federal Republic of Nigeria
Senate Building Wuse Abuja


FROM; Senator. David Mark,
Senate President Federal Republic of Nigeria.

Dear Beneficiary,

SENATE COMMITTEE ON OUTSTANDING FOREIGN PAYMENT.

May i use this juncture to notify you that our new Government have Paid the bills
which was the cause of the delay of your Payments, and the Office of presidency in conjuction with Senate Commette on outsatnding Foreign Payment have Concluded arrangement with Central Bank of Nigeria and BCEAO to raise International Certified Bank Draft in the tone of $1,000,000.00 (One Million United Staes Dollars) and send across to you upon receipt of the bellow informations through, there Accredited Attoney.

WARNNING/ADVISE: Please note carefully that any fee of any kind DOCUMENTATIONS, COURIER, BRIBE OR GIFT requested from you by anybody, office,banks or group of people from Africa/Nigeria or any part of the world to receive your payment,Except legal fee of the R.E.D.L of FORCE OF NATURE which is just $150.00. is at your OWN RISK, so stay away from any other office, person or group of people and commence communication with only the Central Bank of Nigeria Carredited Attorney till you receive your Certified Bank Draft Deposit With your Bank and Confirm your part payment within Three Bank Working days.

We are really sorry for all the incoviniences you have suffered in the cost of receiving your funds from our Government. Also we assure you that we are doing everything possible to release the Balance of your payment to you by Janaury 2010. we wish to effect this part payment of $1,000,000.00 through the International Certified Draft system to avoid another stress of K.T.T and so on with our banks.and our Government has mandated and paid the FEDEX COURIER SERVICE for the services of delivery the Draft to you.

Therefore, YOU have to get in touch with Central Bank of Nigeria Acredited Attorney Barr. Mike Obi via email or telephone immediately. Below are his contacts

Contact Attorney In-charge : Barr. Mike Obi Tel: 234-1-7652522 EMAIL:([email protected])

Fill bellow informations and Send back to him with R.E.D.L FORCE OF NATURE fee of $150 only. to enable him proceed with the procument of your R.E.D.L FORCE OF NATURE PERMIT from the Legal Department and submit to the Central Bank of Nigeria for onward issuance of your International Certified Draft.

* Full Names.................
* Address. (not P.O.Box)..............
* City..................
* State.................
* Postal Code...........
* Phone.................
* Fax.......................
* Email................
* Age...................
* Marital Status...............
* Sex...............


CHEERS ,
Senator David Mark
Senate President Federal Republic of Nigeria.

30 Nov 2009


When 50 Cent ended his 2003 relationship with actress Vivica A. Fox, the two exchanged insults so harsh that there was no chance for a reconciliation. Until now!

Six years after they split, 50 Cent confirms their newfound friendship on The Tyra Show Tuesday.

See photos of Hollywood's ugliest splits!

"I called her," the rapper, 34, says.

Tyra Banks admits she was shocked they reconnected.

"I'm confused because you guys had beef. You were saying crazy stuff about her," Banks tells 50 Cent. "She even came on this show, and she was not very happy with you."

Find out which stars fared better after a bad breakup

50 Cent says that he dated Fox, 45, for "about a year," despite reports that it was only a month-long romance.

Check out more couples who had many years between them

"It was like a month, but we were still going back and forth with each other for the rest of the year," he said, adding that after their public blowout, "she was really upset with me."

His olive branch?

"I said, 'You got to stop fighting and be in my video,'" he says of his latest music video, "Do You Think About Me."

He says they are now friends. As for whether they'll ever date again, 50 Cent is not counting on it.

Take a look at stars who did reunite their romance

"The song's about when relationships don't work, and when I explained it to her it kind of intensified what the song was about," he says. "And it's now being a visual with the public sees us as that relationship that didn't work."



(AFP) – 7 hours ago

PORT OF SPAIN — Tanzania has fiercely denied allegations said to come from the United Nations that it has illegally funneled arms to Rwandan Hutu rebels in the Democratic Republic of Congo.

"It is simply not true. It is an outright malicious lie being concocted with the evil intention of tarnishing the good name of Tanzania and our government," Tanzanian Foreign Minister Bernard Membe said in a statement late Saturday.

"Tanzania has never and will not even contemplate to indulge in such despicable, reckless and worthless causes of trafficking in arms which foment violent conflicts against friendly neighbors like Rwanda and the DRC."

Membe, attending a Commonwealth summit in Trinidad, also demanded an apology from the United Nations, saying the allegations were contained in a report for the UN Security Council.

He said the allegations were based on "second hand quotes, hearsay, farfetched assumptions and stretched extrapolations."

In the report, as yet unpublished and seen by AFP, researchers said this year's attempts by Congolese, Rwandan and UN forces to disarm Rwandan Hutu rebels in eastern DR Congo have not succeeded and global action is needed to cut off their funds.

"This report concludes that military operations against the FDLR have failed to dismantle the organization's political and military structures on the ground in eastern DRC," the detailed 93-page document begins.

The report alleges that the FDLR recruits and arms fighters using profits from a corrupt international trade in minerals, and calls on the international community to step up efforts to cut off rebel funds.

The militia sprang up in camps in the east of the Democratic Republic of Congo (DRC) housing mainly ethnic Hutu refugees who fled Rwanda after their leaders launched the 1994 genocide, which left some 800,000 people dead.

The document was researched on the ground in Congo and the region over six months by a five-strong stream of experts hired by UN Secretary General Ban Ki-moon.

It was addressed to the chairman of the UN Security Council committee on September 9. It is not known when it will be published.

29 Nov 2009



In 2002, one in every 109 £1 coins was a fake. Today it's one in 40. A former counterfeiter reveals how to spot the fake in your pocket... and asks the question: bearing in mind you can't swap one for legal tender, would you throw yours in the bin?



28 Nov 2009



KINGSTON, Jamaica

RAIS Jakaya Kikwete ametaka ushirikiano zaidi kati ya Jamaica na Tanzania katika nyanja za muziki na michezo.

"Jamaica ina wanariadha wenye kasi zaidi duniani kwa sasa," alisema kwa kusifia.

Alisema kuwa muziki wa rege ni maarufu zaidi nchini Tanzania, huku akimtaja nyota wa muziki huo, Bob Marley kuwa ni maarufu zaidi nchini mwake.

Kikwete aliiomba Jamaica kuisaidia nchi yake kwa kuwapatia kocha wa ajili ya kuendeleza mchezo wa riadha.

Kiongozi wa Upinzani, Portia Simpson Miller alimweleza Kikwete kuwa wanachama wa chama chake, People's National Party nao wako tayar kushirikiana na Tanzania.

CHANZO: Mwananchi

Alimshauri rais aanzishe ofisi nchini kuratibu shughuli za ushirikiano katika ukanda wa Karibiani.

27 Nov 2009


Uwajibikaji uliotukuka au kupitiliza majukumu?Who cares as long as we are kept safe.Katika magazeti mbalimbali ya hapa Uingereza kuna habari kwamba Waziri wa Usalama,Lord West,amehenyeshwa na askari baada ya kusimamishwa na kusachiwa (stop and search) kwa mujibu wa sheria za kuzuia ugaidi.Uzuri wa hawa wenzetu ni ile tabia ya "hapendwi mtu",yaani kutekeleza majukumu kwa maadili badala ya kuangalia urembo au haiba.

Sidhani kama kuna haja ya kuwakumbusha madudu ya Waziri wetu mwenye jukumu la utawala bora (which includes mapambano dhidi ya ufisadi) alivyojitokeza kuwa mama mlezi wa mafisadi.Ni katika tawala ambazo mtu anaweza kuropoka chochote na akaendelea kuitwa mheshimiwa ndipo hadi muda huu Sophia Simba anaendelea na wadhifa unaohitaji uadilifu wa hali ya juu,including umakini katika kauli.

Sasa kama askari wanaweza kudili na bosi wao kama raia mwingine iweje basi waziri wetu mwenye dhamana ya kuhakikisha mafisadi "wananyea ndoo" gerezani awe mtetezi wao mkubwa?Jibu jepesi ni kwamba Waziri Simba anapata jeuri hiyo kutoka mahala flani.Na si yeye tu bali viongozi wetu wengi wametokea kuwa na jeuri ya ajabu kwa vile wanafahamu fika hakuna wa kuwaadhibu.Kama aliyekuteua haonekani kuerwa na madudu yako why would you care kurekebisha madudu hayo?

Unfortunately,lawama nyingi zimekuwa zikielekezwa kwa watendaji wabovu badala ya kumkalia kooni aliyewapa fursa ya kuweka hadharani udhaifu wao.Ni kama katika futiboli;kocha akipanga kikosi kibovu basi lawama zaidi zitaelekezwa kwake kwa vile kikosi alichopanga hakijichagua chenyewe.Na ndio maana hivi majuzi kocha wa timu ya taifa ya Scotland alijikuta akifungashiwa virago vyake baada ya timu hiyo kufanya vibaya kwenye kampeni yake ya kushiriki Kombe la Dunia hapo mwakani.

Na ukidhani mie ni malalamishi nisiye na hoja basi SOMA HAPA uelewe chanzo cha tatizo kiko wapi.

Jasusi ChatBot

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.