2 Dec 2010
2.12.10
Evarist Chahali
URBAN PULSE
No comments
Utawala wa URBAN PULSE CREATIVE MEDIA Unapenda kuwashukuru wale wote ambao walijitolea kufika, kushiriki na kutoa support ya namna moja au nyingine wakati wa URBAN TOUR ili kusaidia kuchangia fedha za kupambana na vita dhidi ya Malaria Tanzania. Tour hii ilifanikiwa kwa kiwango kikubwa sana kuweza kupata publicity duniani kote na kuhamasisha watu mbalimbali ili kutambua umuhimu na namna ya kufanya ili kutokomeza ugonjwa huu kama ambapo kila mtu ataamua kuchukua majukumu na kufanya sehemu yake.
Itakuwa ni vigumu kutoa shukrani kwa kila mtu ila URBAN PULSE ingependa kutoa shukrani za dhati kwanza kabisa kwa Mwenyezi MUNGU ambaye alisaidia kufanikisha tour hii, Ubalozi wa Tanzania hapa UK Pamoja na staff wake,ASET(ASHA BARAKA; BARAKA MSILWA) Bloggers Wote waliosadia kutangaza show yetu ukianzia na MICHUZI,JIACHIE,MISS JESTINA,DJ CHOKA,TZ UK, HAKI NGOWI,GLOBAL PUBLISHERS, ABDALLAH MRISHO,KULIKONI UGHAIBUNI,HUNGA,MASHUGULI,KANUMBA,VINCENT KIGOSI,JENGATZ,MASHUGHULI,TA READING,LADY JAYDEE,MJENGWA,MTAA KWA MTAA,BONGO WIKEND na wengine wote.TV ; RADIO STATION zikiwepo BBC, BEN TV, BET,MTVBASE,AILTV, PRESENTERS: SPORAH, AYOUB MZEE, FRED MTOI, FRED MACHA, SAFINA,IDD SAFE, CHRIS GOLDFINGER NA JJ. MA DJZ; CHAMBI,ASH,ANDREW,10 TONNES,JCOM,MOJA PAMOJA NA CHRIS GOLD FINGER
Hiyo basi Imeandaa party ya kutoa shukrani na kusherekea anniversary ya kwanza ya URBAN PULSE kwa wote jumamosi hii kuanzia 10pm- 4am. DJZ on the deck DJ CHAMBI ;ANDREW
4th November 2010
CLUB AMBASSADOR
20 LONDON ROAD
BARKING, 1G11 8AJ
WOTE MNAKARIBISHWA
ASANTENI
URBAN PULSE CREATIVE
Nimetumiwa na mdau,nami nawasilisha
Nadhani kwa wakaazi wa Arusha na vitongoji vyake watakuwa wameshaona kwenye mabango mbalimbali barabarani ama kupitia redio ama magazeti ya kuwa iliyokuwa inaitwa Novotel Mount Meru Hotel inafunguliwa tena upya ikijulikana kama New Mount Meru Hotel.
Kikubwa nachotaka kuwafikishia watanzania wenzangu ni kuwa nimestaajabika sana ile maana kamili ya uwekezaji kuendelea kutupwa kapuni. Huwezi amini moderator na watanzania kwa ujumla, Hotel hii hadi maua na mchanga vyote vimetoka South Africa ambapo ndipo ilipo kampuni iliyopewa jukumu la kuindesha hotel hii ijulikanayo kama Zabulan.
Nachokiona hapa ni kuwa wasauzi afrika wao wanathamini vyao hata kama wako nje ya kwao, itakumbukwa watu walishapiga kelele kuhusu bidhaa zipatikanazo shoprite ya kuwa hadi nyanya na vitunguu hata mchicha vinatoka hukohuko SA, sasa ambacho watu watajionea hapa ni kuwa mchanga, maua, mbolea, signboards, tisheti, viatu, sabuni, vitambaa, computer, curtains na vyooote vinatoka sauzi afrika, hivi ina maana hapa hatuna hivyo vitu; vingine itasemekana labda viwango na jee hata mbolea na mchanga??
Kali zaidi ni kuwa Senior staffs woote ni ndani ya sauzi afrika ama asia au kwa watani wa jadi, ina maana hapa hatuna mameneja wazuri wakuendesha hotel? hatuna mashefu wazuri hapa tz?
Ikumbukwe walisema katika ajira wataweka mbele wazawa...hii imefia wapi??
Kama uwekezaji ndo hivi jamani bora tufie na tai shingoni.
Kali nyingine ni kuwa Raisi wetu yuleyule aliyeifunguaga Snow Crest Hotel then kesho yake ikaja kuvunjwa ukuta ndio anakuja tarehe 17 Dec kuifungua hii ambayo ilikuwa mali ya watanzania then Mkapa na Magufuli wakaiuza na sasa watanzania hawana hata percent moja hapa, hilo moja pili ni kuwa wafanyakazi woote ni wametoka kenya ama sauzi afrika ma bara asia na pia waliopewa tenda za ku-supply vyakula ni wakenya tupu na vyote vinatoka hukuhuko kenya kuanzia kuku, maharage hadi matunda, jamani rais hana washauri wakamfungua kwenye hili na jee watanzania tutakuwa wapole hadi lini watu wanakuja kupora malighafi zetu na kukimbia??
Ama ndio kichwa cha mwendawazimu??
TUAMKE WATANZANIA NA TULIANGALIE HILI SWALA LA MOUNT MERU KWA JICHO LATATU.
NGUVU YA UMAA IFANYE KAZI JAMANI............
28 Nov 2010
![]() |
| Waislam wakiwa kwenye swala.Picha hii haihusiani moja kwa moja na habari ifuatayo |
Waislam wenye msimamo mkali wanashukiwa kuyachoma moto majengo mawili ya kanisa huko Zanzibar,tukio lililotokea Jumapili iliyopita huku waumini wa makanisa hayo wakipokea vitisho vya kuuawa.
Majengo hayo ya Kanisa la Assemblies of God (TAG) na Evangelical Assemblies of God Zanzibar (EAGZ) katika kijiji cha Masingini kilichopo kilomita 5 kutoka mjini-kati Zanzibar yalichomwa moto takriban saa 2 usiku,kwa mujibu wa Askofu Fabien Obeid wa EAGZ.Polisi wa Mwera walipata taarifa ya tukio hilo kesho yake asubuhi.
Matukio hayo ni mwendelezo wa vitendo vya kuwatisha Wakristo katika eneo hilo lenye Waislam wengi,na kuibua hofu kwamba Waislam wenye msimamo mkali wanaweza kudiriki kufanya lolote lile kuzuwia ustawi wa Ukristo.
“Muislam mmoja alisikika akisema, ‘Tumesafisha eneo letu kwa kuharibu makanisa mawili,na sasa tuna mpango wa kuwaua waumini wa makanisa haya mawili-hatutaruhusu kanisa kujengwa tena,’” alisema muumini mmoja wa kanisa ambaye aliomba jina lake lihifadhiwe.
Jengo hilo la matofali la TAG lilikuwa katika hatua za mwisho za ujenzi,na kwa mara ya kwanza Jumapili hiyo waumini walifanya ibada katika jingo hilo jipya.Jengo la EAGZ ambalo waumini takrban 30 walihudhuria ibada lilikuwa la udongo.
Pasta Michael Maganga wa EAGZ na Pasta Dickson Kaganga wa TAG walieleza hofu yao kuhusu hatma ya kanisa hapo Masingini.Mapasta wa Zanzibar walitarajiwa kukutana jana (Jumamosi) kujadili namna ya kukabiliana na uharibifu huo,alieleza Mwenyekiti wa Usharika wa Mapasta Zanzibar,Askofu Lonard Masasa wa Kanisa la EAGT.
Kwa muda mrefu Waislam wenye msimamo mkali visiwani Zanzibar,wanaoungwa mkono na baadhi ya viongozi wa serikali katika maeneo husika,wamekwaza uwezekano wa Wakristo kupata ardhi kwa minajili ya ujenzi wa majengo ya ibada.Kuna nyakati ambapo wamebomoa majengo yaliyopo na badala yake kuanzisha ujenzi wa misikiti.
Huku wakikanganywa na kutopata ushirikiano wa serikali katika kuwashughulikia wahusika wa matukio hayo,viongozi wa makanisa wameeleza kuwa uwezekano wa waliochoma moto majengo hayo kukamatwa ni mdogo.Mara nyingi,serikali huegemea upande wa wanaofanya matukio hayo,kuchelewesdha uchunguzi kwa hofu ya kuwaudhi Waislam walio wengi ambao wanapinga kuenea kwa Ukristo.
Mwaka jana,maafisa wa serikali katika eneo la Mwanyanya-Mtoni waliungana na Waislam wa eneo hilo kujenga msikiti katika eneo lililotengwa kwa ajili ya ujenzi wa kanisa la EAGZ,alieleza Pasta Paulo Kamole Masegi.
Pata Masegi alinunua ardhi mwezi Aprili mwaka 2007 kwa ajili ya ujenzi wa kanisa katika eneo hilo la Mwanyanya-Mtoni,na kufikia mwezi Novemba mwaka huohuo tayari kulikuwa na jengo lililotumika kama sehemu ya ibada kwa muda.Muda si mrefu Waislam wa eneo hilo walipinga hatua hiyo.
Mwezi Agosti mwaka jana,Waislam hao walianza ujenzi wa msikiti futi tatu tu kutoka kitalu cha kanisa.Mwezi Novemba mwaka huohuo,Pasta Masegi alianza ujenzi wa kanisa la kudumu.Waislam wenye hasira walivamnia eneo hilo na kubomoa msingi wa jengo hilo,alieleza Pasta huyo.
Viongozi wa kanisa waliripoti tukio hilo kwa polisi,ambao hawakuchukua hatua yoyote- na walikataa kutoa ripoti ya tukio,hivyo kukwamisha suala hilo kufikishwa mahakamani,alisema Pasta Masegi.
Wakati huohuo,ujenzi wa msikiti ulikamilika mwezi Desemba (mwaka jana).Hatma ya mpango wa ujenzi wa kanisa ilielekea kufikia ukomo mapema mwaka huu baada ya Mkuu wa Wilaya Ali Mohammed Ali kumfahamisha Pasta Masegi kuwa hana haki ya kufanya ibada katika jengo husika.
Kihistoria, wafanyabiashara wa Kiislam kutoka Ghuba ya Uajemi walifika visiwani Zanzibar mapema karne ya 10 baada ya kusukumwa na pepo za monsoon katika Ghuba ya Aden.Muungano wa visiwa hivyo na Tanganyika mwaka 1964 (na kuunda Tanzania) uliwaacha Waislam visiwani humo wakiwa na hofu kuhusu Ukristo,wakiuona kama njia inayoweza kutumiwa na Tanzania Bara kuwatawala,na tangu wakati huo kumekuwa na hali ya mashaka.
Imetafsiriwa kutoka Compass Direct News (Tarehe 25/11/2010)
27 Nov 2010
Ni matumaini yangu kuwa muwazima na mnaendelea na majukumu yenu ya kujenga Taifa au ustawi wa familia zenu popote mlipo.
Ni kitambo kidogo nilitoweka katika ulimwengu wa Kublog, na hiyo ilitokana na majukumu yangu ambayo yalinifanya nihamie Arusha kwa muda ambapo nilijikuta nikiwa na wakati finyu sana kuutenga kwa ajili ya kublog.
Najua kwa wale wapenzi wa Blog ya VUKANI, watakuwa wame-miss makala zangu ambazo kwa kweli zilikuwa zikiibua mijadala mipana ambayo ilikuwa ikifurahisha kuchangamsha na wakati mwingine kukera kidogo.......lakini yote kwangu yalikuwa ni heri tu... lakini pia kwa wale waliokuwa wakifuatilia maoni yangu popote pale nilipokuwa nikichangia mada mbalimbali nao pia walikuwa wanani-miss kwa kuwa napo huko nilikuwa siishi uchokozi.
UCHAGUZI UMEKWISHA!
katika kipindi kizima cha kampeni za uchaguzi karibu blog zote zilikuwa zimedorora, nadhani sikuwa peke yangu, nawapongeza sana wale walioendelea kutupasha habari mbalimbali wakati wa kampeni hususan kaka zangu Evarist Chahali, Mubelwa Bandio,Prof. Matondo,Prof Mbele, Mzee wa Karibu Iringa, Magid Mjengwa Simon Kitururu, Chacha Wambura, Kamala Fadhy Dada yangu Subi, Yasinta na wengine ambao sikuwataja hapa, lakini nilikuwa napitia blog zenu na kujifunza japo mawili matatu.
sasa baada ya uchaguzi kwisha ni vyema wote turejee na nguvu mpya tukiwa na fikra pevu za kuijenga nchi yetu, kuna haja sasa ya kuwa na sauti moja yaani wanablog na wasomaji wa blog kuwahamasisha viongozi wa serikali wasome blog zetu hizi kwani kuna mawazo mengi yanayotolewa katika eneo hili la blog lakini yameachwa tu yapotee bila sababu.
Ni vyema kuunganisha nguvu zetu bila kujali vyama, maana najua wengi tumeumia mioyoni mwetu baada ya kuona yule tuliyemtegemea hakutangazwa na tume kuwa ndiye mshindi, lakini mimi naamini kuwa kwa kiasi kikubwa vyama vya upinzani vimeshinda uchaguzi wa mwaka huu, kwani kwa nguvu ndogo walizokuwa nazo kwa maana ya nguvu ya kifedha, lakini wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuzoa wabunge na madiwani wengi nchini na hivyo kuonyesha kuwa wananchi wamewakubali.
Tunahitaji sasa kuonesha mshikamano, na kumsaidia bwana mkubwa aliyeko madarakani ili aweze kutuvusha katika miaka mitano hii aliyobakiza salama.Tunatakiwa kukosoa kwa nia ya kujenga na kuelekeza na ikibidi kufundisha........katika tasnia hii ya wanablog naamini kuna vichwa vilivyojaa hekima na mawazo mapya, na ninaamini hata wao wanalitambua hilo
Nimerejea lakini sidhani kama nitakuwa na nguvu kama ile ya kipindi kilichopita kwa sababu ya kutingwa na mambo ya kujiimarisha kiuchumi......
nawatakia kila la kheri na mafanikio mema katika kipindi hiki cha kuumaliza mwaka huu wa 2010.
Ni mie Koero Japhet Mkundi
ASANTE SANA DA KOERO.NAMI NAKUTAKIA HERI NA MAFANIKIO MEMA KATIKA KIPINDI HIKI KILICHOSALIA KABLA YA KUMALIZA 2010 NA SIKU ZOTE.
ASANTE SANA DA KOERO.NAMI NAKUTAKIA HERI NA MAFANIKIO MEMA KATIKA KIPINDI HIKI KILICHOSALIA KABLA YA KUMALIZA 2010 NA SIKU ZOTE.
26 Nov 2010
Kwa mara nyingine,shule ya Sekondari ya Wavulana ya Tabora (Tabora Boys')imezalisha kiongozi mwingine baada ya Mheshimiwa Mahadhi Juma Mahadhi (pichani kulia anayehojiwa) kuteuliwa kuwa Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje na Uhusiano wa Kimataifa.Mahadhi pia alishinda ubunge wa jimbo la Muyuni kwa tiketi ya CCM huko Zanzibar.
Ushindi wako wa kiti cha ubunge na kuteuliwa kuwa Naibu Waziri ni sifa kubwa kwako na kwa Tabora Boys kwa ujumla,a inadumisha rekodi ya shule hiyo kama kitalu cha kuzalisha viongozi wa baadaye wa taifa.
Hongera sana,Mheshimiwa Naibu Waziri.
26.11.10
Evarist Chahali
DIAMOND, URBAN PULSE
No comments
Msanii wa kizazi Kipya Diamond aka Mzee wa Mbagala ametengeneza kibao kipya mapema wiki hii ndani ya Studio za URBAN PULSE CREATIVE maalum kwa ajili Urban Tour war on Malaria. Kibao hicho cha kusisimua kinaitwa LALA SALAMA kimeangushwa na Producer Young Josh na Salim kutoka URBAN PULSE. Ili kuwapa mafans wake burudani ya ukweli Diamond ataperfom LALA SALAM kwa mara ya kwanza kwenye show zake za mwisho ambazo zitafanyika:
CLUB AMBASSADOR
20 LONDON ROAD
BARKING, 1G11 8AJ
CLUB AMBASSADOR
20 LONDON ROAD
BARKING, 1G11 8AJ
![]() |
BARAKA, FRANK NA DIAMOND WAKIJADILI MWELEKEO WA NYIMBO MPYA YA DIAMOND. |
![]() |
| DIAMOND AKITUNGA NYIMBO MPYA NA URBAN PULSE |
116 GAR GOSFORD STREET
PALMS BAR
COVENTRY
CV1 5 EA
Kiingilio ni £10 kabla ya saa sita usiku.
Tafadhali wahi mapema na pia tunaomba mpe taarifa mwenzako.
WOTE MNAKARIBISHWA
Asanteni sana,
URBAN PULSE CREATIVE
24 Nov 2010
24.11.10
Evarist Chahali
HIV/AIDS
No comments
![]() | |
|
| A pill which prevents people from getting HIV has come a step closer after medication already available in pharmacies was shown to lessen the chances of infection. |
.Scientists gave the pill, which is currently used to treat people who have contracted the virus, to healthy gay and bisexual men during the three-year global trial.
They discovered daily doses of the pill, Gilead Science's Truvada cut the risk of infection when given with condoms, counselling and other prevention services.
![]() |
| Breakthrough: Truvada, pictured being held by Gilead Sciences Inc. Chief Executive John Martin, was found to lessen the chances of infection among gay men |
The drug lowered the chances of infection by 44 per cent, and by 73 per cent or more among men who took their pills most faithfully.
Researchers had feared the pills might give a false sense of security and make men less likely to use condoms or to limit their partners, but the opposite happened - risky sex declined.
The results are 'a major advance' that can help curb the epidemic in gay men, said Dr. Kevin Fenton, AIDS prevention chief at the U.S. Centers for Disease Control and Prevention.
But he warned they may not apply to people exposed to HIV through male-female sex, drug use or other ways. Studies in those groups are under way.
Because Truvada is already on the market, the CDC is rushing to develop guidelines for doctors who want to use it to prevent HIV, and urged people to wait until those are ready.
However, high prices of the pills which cost $5,000 to $14,000 a year in the United States could be prohibitive.
They are sold for roughly $140 a year in some poor countries where they are produced in generic form.
Whether insurers or government health programs should pay for them is one of the tough issues to be sorted out, said Dr. Anthony Fauci, director of the National Institute of Allergy and Infectious Diseases.
![]() |
| Historic: The Vatican, led by Pope Benedict XVI, has indicated it now supports condom use in the fight against AIDS |
'This is an exciting finding,' but it 'is only one study in one specific study population,' so its impact on others is unknown, Fauci said.
His institute sponsored the study with the Bill & Melinda Gates Foundation.
It was the second piece of good news in a day for the fight against AIDS after U.N. officials said new HIV cases are dropping dramatically worldwide.
The U.N. report said that new cases dropped nearly 20 percent over the last decade and that 33.3 million people are living with HIV now.
And earlier, the Pope, in a shift from historic teachings, said that using a condom is a lesser evil than infecting a sexual partner with HIV.
Gilead Sciences Inc. donated Truvada for the study, which involved about 2,500 men at high risk of HIV infection in Peru, Ecuador, Brazil, South Africa, Thailand and the United States.
The foreign sites were chosen because of high rates of HIV infection and diverse populations.
The men were given either Truvada or dummy pills. All had monthly visits to get HIV testing, more pills and counselling.
Every six months, they were tested for other sexually spread diseases and treated as needed.
After a median follow-up of just over a year, there were 64 HIV infections among the 1,248 men on dummy pills, and only 36 among the 1,251 on Truvada.
Among men who took their pills at least half the time, the risk of infection fell by 50 per cent. For those who took pills on 90 per cent or more days, risk fell 73 per cent.
Tests of drug levels in the blood confirmed that more consistent pill-taking gave better protection, and in one subgroup, the reduction in risk was 92 per cent.
SOURCE: Daily Mail
Mwandishi Wetu
Novemba 24, 2010
Polisi Uingereza wamchunguza mwanawe
Washitushwa na uhamishwaji wa Sh.bil. moja
MTOTO wa Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa anayeitwa Frederick Lowassa anachunguzwa na Kitengo Maalumu cha Polisi wa Kimataifa wa Uingereza wanaofuatilia utata wa uhamishaji fedha kutoka Tanzania, Raia Mwema limedokezwa.
Fedha hizo zinahusishwa na ununuzi wa nyumba yenye thamani ya pauni za Uingereza 475,000 (takriban Shilingi bilioni moja) katikati ya Jiji la London, .
Hata hivyo, watu walio karibu na Frederick wameelezea kwamba kijana huyo hakuwahi kununua nyumba; bali aliwahi kutaka kupanga kwa ajili ya kuishi akiwa masomoni nchini Uingereza na fedha nyingine alizituma kwa ndugu yake aishie nchini humo.
Nyumba ambayo inatajwa katika maelezo ya awali iko mtaa wa Leinster Gardens, jijini London.
Hata hivyo, hakuna ofisa yeyote wa Serikali ya Tanzania aliyekuwa tayari kuzungumzia suala hilo, pamoja na kuwapo taarifa kwamba tayari vyombo vya dola vya Tanzania vimekwisha kuhusishwa katika uchunguzi huo.
Maofisa wa Polisi wa Idara ya Upelelezi wa Jinai (CID) wanaohusika na uchunguzi wa fedha haramu, wamekwepa kuzungumzia suala hilo na Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) Robert Manumba, hakuweza kupatikana, na alielezwa kuwa nje ya nchi kikazi.
Ofisa wa CID aliyeelezwa kuongoza kitengo kinachochunguza makosa ya uhalifu wa fedha na nyaraka, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP), Samson Kasala, alikanusha kufahamu chochote kuhusiana na suala hilo, kabla ya kukata simu alipohojiwa na Raia Mwema kuhusu taarifa hizo.
Taarifa zinaeleza kwamba Kitengo cha Ufuatiliaji wa Fedha Haramu (Financial Intelligence Unit-FIU) kilichopo chini ya Wizara ya Fedha nchini, kilipokea taarifa kutoka Polisi wa Kimataifa wa London, Uingereza, wakitaka taarifa muhimu kuhusiana na Frederick, kabla ya kitengo hicho kuomba msaada wa polisi.
Hata hivyo, Kamishna wa FIU, Herman Kessy, hakuweza kupatikana wiki iliyopita akielezwa kuwapo nchini Afrika Kusini kikazi, lakini hata aliporejea wiki hii Raia Mwema ilikosa ushirikiano kutoka kitengo hicho Jumatatu wiki hii.
FIU imeanzishwa chini ya Sheria ya Udhibiti wa Fedha Haramu ya mwaka 2006 (Anti-Money Laundering Act-2006) kwa kuundiwa kanuni mwaka 2007, lakini hadi sasa kitengo hicho kimekuwa kikiendeshwa na maofisa watano tu, Kamishna Kessy, mchambuzi mmoja, mtaalamu wa mawasiliano na wasaidizi wawili wasio wataalamu, kitengo kilichopaswa kuendeshwa na watu wengi zaidi kutokana na unyeti wake.
Habari zinaeleza kwamba hata ofisa wa Polisi aliyewahi kuhamishiwa FIU kwa kazi maalumu alijikuta akitengwa na kutopangiwa kazi na maofisa hao ambao wengi wanatoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), baada ya kuwa ‘wameaminiwa’ sana na uongozi wa juu wa serikali.
Kwa mujibu wa taarifa hizo ambazo bado zinafanyiwa kazi, Frederick ambaye baba yake alijiuzulu Waziri Mkuu kwa kuhusishwa na kashfa ya ununuzi wa mitambo ya kuzalisha umeme iliyokabidhiwa kwa kampuni tata ya Richmond Development LLC, anadaiwa kufanya mawasiliano kupitia kampuni ya uwakala iliyotajwa kwa jina la ‘Mishcon’.
Nyaraka alizowasilisha, zilidai kuwapo ubia kati ya mtuhumiwa huyo na kampuni tatu ikiwamo Integrated Property Investment(T) Ltd na Barare Ltd Company.
Mkataba huo unaonyesha kuwa Frederick Lowassa ana hisa kwenye kampuni hizo, na kwamba fedha za ununuzi wa nyumba hizo zinatokana na fedha za malipo ya hisa anazopata kutokana na kampuni hizo.
Hata hivyo, mkataba huo unaonyesha kusainiwa Machi 25 mwaka 2009 siku moja baada ya Frederick Lowassa kusaini mkataba kati yake na kampuni ya Mishcon kama wakala wake katika ununuzi wa jengo hilo.
Pia aliwasilisha nyaraka zinazoihusisha kampuni ya Alphatel kama moja ya kampuni ambayo pia yeye ni mkurugenzi wake ambayo pia ni chanzo chake kingine cha fedha anazotumia kununua jengo hilo.
Taarifa zimedokeza kuwa ununuzi huo ulikwama baada ya kushindwa kutoa malipo hayo kwa mujibu wa mkataba kati yake na wakala wa ununuzi wa nyumba hiyo (kampuni ya Mishcon) ambao ulimtaka awe amekamilisha kulipa fedha hizo kabla ya Aprili 14, mwaka 2009.
Hata hivyo, siku chache baadaye ndani ya mwezi huo wa Aprili, Frederick aliipelekea Mishcon kiasi cha pauni za Uingereza 199,940 zikitokea kwenye kampuni ya ununuzi fedha ya Wall Street Exchange.
Aidha kiasi cha pauni 100,000 kiliingizwa kwenye akaunti ya kampuni hiyo hiyo ya Mishcon kwa fedha taslimu katika mikupuo 12 tofauti zikitokea kwenye matawi tofauti ya benki ya NatWest Bank plc iliyoko Kaskazini mwa Jiji la London.
Raia Mwema limeelezwa kuwa mazingira ya kuingizwa fedha hizo kwenye akaunti ya wakala huyo ( Mishcon) ndiyo yameifanya Taasisi ya SCD 6 Economics and Specialist Proceeds of Corruption Unit ya Uingereza inayosimamia uchunguzi wa sakata hilo kuwa na mashaka makubwa kuhusu uhalali wa fedha hizo.
Kutokana na mazingira hayo, SCD 6 Economic and Specialist Crime Proceeds of Corruption Unit yenye ofisi zake Victoria Block, New Scotland Yard, London, ililazimika kuwasiliana na FIU ikitaka maelezo ya awali kuwezesha kufanyika kwa uchunguzi kuhusu fedha hizo.
Raia Mwema iliwasiliana na Fred ambaye alikana kununua nyumba Uingereza lakini alikiri kuwahi kutuma fedha huko. Aliliambia Raia Mwema pia kwamba hajawahi kuhojiwa na yeyote kuhusu suala hilo, na pia kwamba hana taarifa kuwa polisi wa Uingereza wanampeleleza.
Hata hivyo kwa upande mwingine, gazeti hili limebaini kuwa, maelezo ya awali ambayo yalitakiwa kutoka Tanzania na makachero hao wa Uingereza, ni pamoja na kutaka kufahamu kama kweli Frederick Edward Lowassa amezaliwa Agosti 26, 1977, Mwanza Tanzania na anamiliki hati ya kusafiria yenye namba AB 109402 iliyotolewa Tanzania na kwamba anwani yake nchini Uingereza ni 71 Hendrix Drive, Milton Keynes, MK8 0DY.
Pia makachero hao waliitaka Serikali ya Tanzania kutoa ufafanuzi wakitaka kujua kama Frederick Lowassa ni mbia katika kampuni za Alphatel Partnership (Tanzania) Barare Ltd na Intergrated Tanzania Limited, kampuni ambazo zimefahamika kumilikiwa na familia ya Lowassa.
Asasi hiyo ya Uingereza pia imeomba kujua kama FIU wana taarifa zozote za uhalifu dhidi ya Frederick Lowassa na kama baba yake Edward Lowassa anachunguzwa kwa tuhuma yoyote ya rushwa na mamlaka za uchunguzi wa rushwa nchini Tanzania kuhusu fedha haramu.
Uchunguzi wa awali uliofanywa na vyombo vya dola, ulielezwa na taarifa hizo kwamba Frederick Lowassa si mbia katika kampuni hizo na kwamba Barare Ltd wenye hisa ni Edward Ngoyai Lowassa mwenye hisa 500 na Regina Mumba Lowassa mwenye hisa 500 huku wakurugenzi wakiwa ni hao hao.
Ofisa wa Uingereza anayesimamia uchunguzi huo, George Simpson, ameliambia Raia Mwema kupitia barua pepe kwamba kanuni za uchunguzi kuhusiana na kesi zenye mguso wa kisiasa huwazuia kukanusha au kuthibitisha kuhusu uchunguzi unaoendelea hadi pale wanapofikia hatua ya kukamata mtuhumiwa ama anapofikishwa mahakamani.
CHANZO: Raia Mwema
24.11.10
Evarist Chahali
HEALTH
No comments
Hurrah! No more potions, gruelling exercise, or all turnip diets.
In what could fairly be called a watershed moment, scientists have confirmed that drinking water before a meal helps shed the pounds.
Yup, it's that simple. And you don't even have to buy the book.
In clinical trials, US researchers found that drinking a pint of water before a meal leads to weight loss.
Dr Brenda Davy, an associate professor in human nutrition, who led the study said: "We found in earlier studies that middle aged and older people who drank two cups of water right before eating a meal ate between 75 and 90 fewer calories during that meal.
"In this recent study, we found that over the course of 12 weeks, dieters who drank water before meals, three times per day, lost about 5 pounds more than dieters who did not increase their water intake."
"People should drink more water and less sugary, high-calorie drinks. It's a simple way to facilitate weight management," Dr Davy added.
While drinking water to lose weight is very much common sense, Dr Davy said that there has been little scientific information on this topic.
Previous studies have suggested that drinking water before meals reduces calorie intake, but according to Dr Davy this is the first randomised controlled clinica trial to show that increasing the amount of water that you drink water is an effective way to lose weight.
The study tracked the weight of 48 adults aged 55 to 75, who were separated into two groups. The first group drank two cups of water before meals and the second group did not. All of the subjects ate a low-calorie diet during the study.
Over the course of 12 weeks, the water drinkers lost around 15.5 pounds, while the non-water drinkers lost around 11 pounds.
Dr Davy said water may be so effective simply because it fills up the stomach and has no calories, so that people feel full quicker and eat less during meals.
She also added that replacing diet colas and other artificially sweetened drinks with water also helps to cut calories, and aids weight loss.
Source:Yahoo! Health
Subscribe to:
Posts (Atom)






















