3 May 2011

Rais Obama,Makamu wake wa Rais Joe Bden (wa kwanza kushoto),Waziri wa Mambo ya Nje Hillary Clinotn (aliyeweka mkono mdomoni),Waziri wa Ulinzi Robert Gates (wa kwanza kulia),pamoja na timu ya usalama wa taifa wakifuatilia shambulizi la askari wa kikosi maalum (SEALs) nchini Pakistan lililopelekea kuuawa kwa Osama Bin Laden.Hapo ni katika ukumbi wa kutathimini mwenendo wa mambo (Situation Room),Ikulu ya Marekani

Rais Obama akisisitiza pointi huku Mshauri wake wa usalama wa taifa Tom Donilon (kulia) akisikiliza.





Rais Obama na timu yake ya usalama wa taifa huku Makamu  Mnadhimu Mkuu wa Majeshi ya Marekani,Jenerali James Cartwright akonekana kwenye screen




Rais Obama akisikiliza kwa makini mwenendo wa operesheni ya kumuua Osama Bin Laden

Rais Obama akiongea kwenye simu katika moja ya simu mbalimbali muhimu alizopiga kufahamisha mafanikio ya operesheni ya kumuua Osama,ikiwa ni pamoja na simu kwa Maraisi wa zamani wa nchi hiyo Bill Clinton na George W. Bush




Rais Obama akipitia hotuba yake kabla hajalihutubia taifa kufahamisha kuwa Osama ameuawa




Viongozi waandamizi katika utawala wa Rais Obama wakifuatilia hotuba yake kwa taifa kuhusu kuuwawa kwa Osama.Kutoka Kulia kwenda Kushoto ni Makamu wa Rais Joe Baden,Waziri wa Nje Hillary Clinton,Mkuu wa Majeshi ya Marekani Jenerali Mike Mullen,Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) Leon Panetta,Mshauri wa Rais katika usalama wa taifa Tom Donilon,na Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa James Clapper.




Rais Obama akiwahutubia Wamarekani na dunia kutangaza kuuawa kwa Osama Bin Laden




Rais Obama akipena mkono na Mkuu wa Majeshi ya Marekani Jenerali Mullen baada ya hotuba yake.Wengine pichani ni Hillary Clinton na Mkurugenzi Mkuu wa CIA Panetta.
CHANZO: Picha za Ikulu ya Marekani katika tovuti ya picha ya Flickr

2 May 2011



Ed Pilkington
guardian.co.uk, Monday 2 May 2011 10.52 BST

How sweet it was on Saturday night for Barack Obama to be able to take to the stage at the White House correspondents dinner in Washington and mock his nemesis Donald Trump for having embraced the birther conspiracy that the president scotched only last week with the production of his birth certificate.

That was nothing compared with the sweetness of the moment that came 24 hours later when Obama took to the national stage, announcing from the East Wing of the White House that he had successfully ordered the killing of Osama bin Laden.

That address, delivered sombrely but with evident relish by Obama, will almost certainly dash any remaining hopes on Trump's part that his wife Melania will be choosing new curtains for the White House in 2013. It may also sweep away the aspirations of several other potential Republican candidates hoping to limit Obama to one term.

Rarely has an incumbent president been handed such a gift in the runup to an election year. As the huge crowd that assembled outside the White House testified, "getting Osama" is grounds for national jubilation, free from party affiliation.

Obama was at pains in his announcement to emphasise the personal role he had played as commander-in-chief. He underlined that he had ordered the CIA to make the killing or capture of Bin Laden its top priority, that he had met repeatedly with the national security team when the al-Qaida leader's whereabouts had become known, and that it was "at my direction" that the operation to assassinate him was launched.

The accent on his firmness in the face of the terrorist threat is unlikely, in the case of Bin Laden, to displease even the most liberal of Democratic voters who have grown increasingly despondent about the president's refusal to break with the central features of George Bush's "war on terror", such as the maintenance of the detention camp at Guantánamo Bay. It is likely to play very well with independent voters upon whom his re-election depends.

In his wording, it was clear that Obama was seeking to put to rest the comparison with Jimmy Carter, the last Democrat to be thrown out of the White House after just one term, that has dogged his presidency.

Obama stressed that none of the US special forces had been harmed in the operation to kill Bin Laden, an allusion to Carter's disastrous attempt in 1980 to rescue the Iranian hostages that cost American lives.

Obama will be hoping that the feelgood fallout from the news of Bin Laden's death will lead to a bounce in his popularity ratings that have remained worryingly low for many months. In the latest Rasmussen poll, 49% of voters said they disapproved of his leadership, 37% strongly, although that was before this weekend's events in Pakistan.

On the other hand, the polls show consistently that the top priority for voters is no longer national security – that has waned as a preoccupation almost 10 years after 9/11 – but the economy.

With petrol prices at a historic high, and unemployment still at 9.2%, Obama will know that even the death of Bin Laden will not secure him a second term unless the economy improves.

At least, for now, he has the pleasure of watching his opponents squirm. The announcement saw Republican 2012 hopefuls reaching for the superlatives, including Mitt Romney who called the news "a great victory for lovers of freedom and justice everywhere".

The gloves won't stay off for long, but for now Obama can enjoy being on top.


For Immediate Release
May 02, 2011
Remarks by the President on Osama Bin Laden
East Room

11:35 P.M. EDT

THE PRESIDENT: Good evening. Tonight, I can report to the American people and to the world that the United States has conducted an operation that killed Osama bin Laden, the leader of al Qaeda, and a terrorist who’s responsible for the murder of thousands of innocent men, women, and children.

It was nearly 10 years ago that a bright September day was darkened by the worst attack on the American people in our history. The images of 9/11 are seared into our national memory -- hijacked planes cutting through a cloudless September sky; the Twin Towers collapsing to the ground; black smoke billowing up from the Pentagon; the wreckage of Flight 93 in Shanksville, Pennsylvania, where the actions of heroic citizens saved even more heartbreak and destruction.

And yet we know that the worst images are those that were unseen to the world. The empty seat at the dinner table. Children who were forced to grow up without their mother or their father. Parents who would never know the feeling of their child’s embrace. Nearly 3,000 citizens taken from us, leaving a gaping hole in our hearts.

On September 11, 2001, in our time of grief, the American people came together. We offered our neighbors a hand, and we offered the wounded our blood. We reaffirmed our ties to each other, and our love of community and country. On that day, no matter where we came from, what God we prayed to, or what race or ethnicity we were, we were united as one American family.

We were also united in our resolve to protect our nation and to bring those who committed this vicious attack to justice. We quickly learned that the 9/11 attacks were carried out by al Qaeda -- an organization headed by Osama bin Laden, which had openly declared war on the United States and was committed to killing innocents in our country and around the globe. And so we went to war against al Qaeda to protect our citizens, our friends, and our allies.

Over the last 10 years, thanks to the tireless and heroic work of our military and our counterterrorism professionals, we’ve made great strides in that effort. We’ve disrupted terrorist attacks and strengthened our homeland defense. In Afghanistan, we removed the Taliban government, which had given bin Laden and al Qaeda safe haven and support. And around the globe, we worked with our friends and allies to capture or kill scores of al Qaeda terrorists, including several who were a part of the 9/11 plot.

Yet Osama bin Laden avoided capture and escaped across the Afghan border into Pakistan. Meanwhile, al Qaeda continued to operate from along that border and operate through its affiliates across the world.

And so shortly after taking office, I directed Leon Panetta, the director of the CIA, to make the killing or capture of bin Laden the top priority of our war against al Qaeda, even as we continued our broader efforts to disrupt, dismantle, and defeat his network.

Then, last August, after years of painstaking work by our intelligence community, I was briefed on a possible lead to bin Laden. It was far from certain, and it took many months to run this thread to ground. I met repeatedly with my national security team as we developed more information about the possibility that we had located bin Laden hiding within a compound deep inside of Pakistan. And finally, last week, I determined that we had enough intelligence to take action, and authorized an operation to get Osama bin Laden and bring him to justice.

Today, at my direction, the United States launched a targeted operation against that compound in Abbottabad, Pakistan. A small team of Americans carried out the operation with extraordinary courage and capability. No Americans were harmed. They took care to avoid civilian casualties. After a firefight, they killed Osama bin Laden and took custody of his body.

For over two decades, bin Laden has been al Qaeda’s leader and symbol, and has continued to plot attacks against our country and our friends and allies. The death of bin Laden marks the most significant achievement to date in our nation’s effort to defeat al Qaeda.

Yet his death does not mark the end of our effort. There’s no doubt that al Qaeda will continue to pursue attacks against us. We must –- and we will -- remain vigilant at home and abroad.

As we do, we must also reaffirm that the United States is not –- and never will be -– at war with Islam. I’ve made clear, just as President Bush did shortly after 9/11, that our war is not against Islam. Bin Laden was not a Muslim leader; he was a mass murderer of Muslims. Indeed, al Qaeda has slaughtered scores of Muslims in many countries, including our own. So his demise should be welcomed by all who believe in peace and human dignity.

Over the years, I’ve repeatedly made clear that we would take action within Pakistan if we knew where bin Laden was. That is what we’ve done. But it’s important to note that our counterterrorism cooperation with Pakistan helped lead us to bin Laden and the compound where he was hiding. Indeed, bin Laden had declared war against Pakistan as well, and ordered attacks against the Pakistani people.

Tonight, I called President Zardari, and my team has also spoken with their Pakistani counterparts. They agree that this is a good and historic day for both of our nations. And going forward, it is essential that Pakistan continue to join us in the fight against al Qaeda and its affiliates.

The American people did not choose this fight. It came to our shores, and started with the senseless slaughter of our citizens. After nearly 10 years of service, struggle, and sacrifice, we know well the costs of war. These efforts weigh on me every time I, as Commander-in-Chief, have to sign a letter to a family that has lost a loved one, or look into the eyes of a service member who’s been gravely wounded.

So Americans understand the costs of war. Yet as a country, we will never tolerate our security being threatened, nor stand idly by when our people have been killed. We will be relentless in defense of our citizens and our friends and allies. We will be true to the values that make us who we are. And on nights like this one, we can say to those families who have lost loved ones to al Qaeda’s terror: Justice has been done.

Tonight, we give thanks to the countless intelligence and counterterrorism professionals who’ve worked tirelessly to achieve this outcome. The American people do not see their work, nor know their names. But tonight, they feel the satisfaction of their work and the result of their pursuit of justice.

We give thanks for the men who carried out this operation, for they exemplify the professionalism, patriotism, and unparalleled courage of those who serve our country. And they are part of a generation that has borne the heaviest share of the burden since that September day.

Finally, let me say to the families who lost loved ones on 9/11 that we have never forgotten your loss, nor wavered in our commitment to see that we do whatever it takes to prevent another attack on our shores.

And tonight, let us think back to the sense of unity that prevailed on 9/11. I know that it has, at times, frayed. Yet today’s achievement is a testament to the greatness of our country and the determination of the American people.

The cause of securing our country is not complete. But tonight, we are once again reminded that America can do whatever we set our mind to. That is the story of our history, whether it’s the pursuit of prosperity for our people, or the struggle for equality for all our citizens; our commitment to stand up for our values abroad, and our sacrifices to make the world a safer place.

Let us remember that we can do these things not just because of wealth or power, but because of who we are: one nation, under God, indivisible, with liberty and justice for all.

Thank you. May God bless you. And may God bless the United States of America.




Breaking news kwenye vyombo mbalimbali vya habari vya kimataifa ni kuhusu kuuawa kwa gaidi wa kimataifa Osama Bin Laden.Rais Barack Obama ametangaza taarifa hizo ambazo zitakuwa ahueni kubwa kwa Wamarekani baada ya kumwinda Osama kwa muongo mzima tangu mashambulizi ya September 11,2001 ambayo inaaminika yalipangwa na Osama.

Taarifa zaidi baadaye


Canada’s lacklustre federal election campaign has finally ignited after claims the man many tip to be the country’s next prime minister was found naked by police in a suspected illegal brothel.

Jack Layton, the leader of the New Democratic Party (NDP), was discovered lying on a bed in a room with a 5ft 10in Asian woman in her mid-20s during a police search for underage prostitutes in 1996.

The married Layton, who was a Toronto city councillor at the time, was cautioned and released without charge, a retired Asian crime unit officer told the Sun News Network.

In a campaign that has been overshadowed by the royal wedding and hockey playoffs the report comes a critical time - just one day before Canadians go to the polls for the fourth time in seven years.

Mr Layton’s popularity surge is unprecedented in recent Canadian political history with polls and political analysts even tipping him to become the country’s first NDP Prime Minister.

The genial 60-year-old, nicknamed ‘Gentleman Jack’, uses a cane after undergoing hip surgery in March and is recovering from a recent battle with prostate cancer.

The left-leaning NDP currently sits in fourth position on Canada’s political map with just 49 seats. It is well behind Prime Minister Stephen Harper’s ruling Conservatives (143 seats), the Liberal Party (77) and the nationalist Bloc Quebecois (49).

But Mr Layton has been riding an extraordinary wave of popularity, seemingly spurred on by an electorate desperate to break the political stalemate which has delivered a series of Liberal and Conservative minority governments.

Olivia Chow, Mr Layton's wife and a New Democratic Party MP seeking re-election in Toronto, issued a statement saying Mr Layton told her about the incident at the time it happened.

‘No one was more surprised than my husband when the police informed him of allegations of potential wrongdoing at this establishment,’ Mrs Chow said. ‘Any insinuation of wrongdoing on the part of my husband is completely and utterly false.’

Married: Jack Layton and his wife Olivia Chow wave to his political supporters

Mrs Chow described the business as a ’massage clinic’ that was registered with the City of Toronto.

The notebook of the officer who questioned Mr Layton details how the NDP leader was asked whether he received any services of a sexual nature, to which he replied: ‘No sir, I was just getting a shiatsu.’

The officer then asked Mr Layton if he knew that sex acts were being carried out in the building, to which he replied: ‘No sir.’

The policeman’s notes also detail how the woman, from China, denied carrying out a sex act on Mr Layton.

During an unscheduled press call in Vancouver Mr Layton claimed he was being smeared in the final hours of a campaign just as opinion polls have his party poised to make a historic breakthrough.

‘It's unfortunate to see the smear campaign starting in these last few days of the campaign. Absolutely nothing wrong was done,’ he said.

‘There was no wrongdoing here, yet the smears start. And you know, this is why a lot of people get turned off politics and don't even want to get involved.’

Mr Layton did not address the allegations specifically but a lawyer for the New Democratic Party issued a stern warning about the reports.

‘The facts are that Mr Layton had obtained a massage from a massage therapist, but had no knowledge whatsoever that the therapist’s location may have been used for illicit purposes,’ Brian Iler said.

‘Any statement or inference that Mr Layton’s actions or behaviour was other than the facts stated above would be without any factual basis, would clearly (be) made with malice, and ought not to be published.’

Mr Iler added that Mr Layton was told by police he did nothing wrong but that the location was questionable. He said Mr Layton gave police his name and address and nothing further happened.

Prostitution is legal in Canada but brothels are outlawed.

SOURCE: Dailymail

Francia ambaye alikuwa akisherehekea birthday yake na meneja wake Shelami

Jambo Band wakitumbuiza

Kawelee mzigoni

Kiondo kutoka ubalozini na familia yake

Abubakar Faraji na Chris Love

Maofisa ubalozi

Balozi akifungua sherehe

Balozi na mkewe wakifungua muziki

Balozi na Urban Pulse

Balozi na mkewe wakijiandaa kufungua dansi


Mkurugenzi wa ASET,Asha Baraka,akiongea na mke wa Balozi.

Miss Jestina na Jesse Malongo

Wadau kwenye pozi

Wakati wa kusakata rumba

1 May 2011



Ansbert Ngurumo

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kinajitapa kwamba kinajivua gamba. Lakini sasa imeanza kudhihirika kwamba badala ya kujivua gamba kinajichuna ngozi. Kitakufa!

Bahati mbaya, kama baadhi yetu tulivyowahi kuandika huko nyuma, CCM kinashindwa kuwaaminisha watu wenye akili timamu kwamba kikiwafukuza ujumbe wa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu watu watatu – Andrew Chenge, Edward Lowassa na Rostam Azizi – kitakuwa safi. Kinajidanganya!

Taarifa zinaonyesha kuwa wanaoshabikia igizo hili la kujivua gamba ni Mwenyekiti wao, Rais Jakaya Kikwete, Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, na kundi linalofuata mkumbo kwa unafiki na woga.

Lakini wapo wana CCM wengi wenye akili timamu, na wananchi wengine, wanaosema wazi kwamba hata hao watatu wakiondoka, CCM haiwezi kuwa safi tena. Wala haitamsaidia Rais Kikwete kuonekana mwema kwa Watanzania. Na haitakifanya chama hicho kirejeshe mng’aro wake kwa umma.

Ni wazi, jitihada za Rais Kikwete na wenzake zinatokana na ukweli unaomuuma yeye binafsi kutokana na CCM kufanya vibaya katika uchaguzi mkuu uliopita.

Na ingawa kuna ukweli kwamba ufisadi umechangia kukifanya CCM kichukiwe na wananchi, hoja hiyo haiishii kwa watatu hawa. Mafisadi CCM ni wengi. Nimesema huko nyuma, kwamba hata Rais Kikwete mwenyewe, alitajwa kuwa miongoni mwao.

Hata jana alitajwa upya katika mkutano wa Mchungaji Christopher Mtikila na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, akimhusisha rais na utajiri wa ghafla wa mtoto wake.

Ufisadi huu wa rais unamnyima makali ya kuwashughulikia mafisadi wenzake. Na zaidi ya hayo unapanua wigo wa adui zake, maana sasa anagombana na watu wanaomfahamu vema; waliomsaidia na kumjenga, wakambeba hadi Ikulu.

Woga wake ni kwamba baadhi ya hawa waliombeba hadi Ikulu wana uwezo wa kutumia nguvu zile zile kumwondoa ama Ikulu au kwenye chama. Anachofanya sasa ni kuwashughulikia mapema ili kujinusuru.

Lakini nina hakika jitihada hizi hazitakinusuru chama chake. Na ingawa ameaminishwa kwamba mafisadi hawa ndio waliokifanya chama chake “kishindwe” uchaguzi mwaka jana, wapo wanaosema yale asiyotaka kusikia.

Anajiuliza zilikokwenda kura zake mwaka 2010, anapolinganisha na mwamko wa 2005. Anatafuta wachawi, lakini anasahau mambo kadhaa.

Kwa mfano, serikali imeshindwa kukidhi matakwa ya wananchi kama ilivyoahidi mwaka 2005. Kwa nini waipe CCM kura nyingi hata kama inawahonga mashati, kanga, kofia, pesa na pombe?

Wananchi walimsikia Rais Kikwete mwenyewe akiwaambia wafanyakazi ”sitaki kura zenu!” Wengi walikuwa waaminifu kwa kauli yake; wakamnyima. Si wao tu, bali hata rafiki zao, ndugu zao na wajuani wao, walikaa upande wa wafanyakazi. Kwa nini atarajie kura za CCM ziongezeke?

Mara kadhaa, Rais Kikwete alijikuta akigombana na baadhi ya viongozi wa dini kubwa zenye ushawishi kwa umma. Aliwadanganya Waislamu kuhusu Ofisi ya Kadhi Mkuu. Wamedai hadi wakakata tamaa. Hatimaye akawapatia ufumbuzi usioendana na ahadi yake. Wana sababu ya kumwamini na kumpa kura nyingi?

Serikali yake, kupitia kwa wasaidizi na washauri wake kadhaa, na hata yeye binafsi, ilijiingiza katika mzozo usio wa lazima na madhehebu kadhaa ya Wakristo, ikikerwa na jitihada zao za kukuza elimu ya uraia, na kuwahamasisha kuchagua viongozi waadilifu.

Sasa kama alikerwa na kampeni ya kuchagua viongozi waadilifu, tutamwaminije leo katika vita dhidi ya ufisadi? Na anapata wapi ujasiri wa kupiga vita mafisadi wale wale ambao alifika kwenye majimbo yao akawamwagia sifa na kuwanyanyua mikono kuwaombea kura?

Na kumbukumbu zinaonyesha kwamba katika wote, kama tunarejea ile orodha ya mafisadi ya awali (ambamo naye yumo), walishinda wote isipokuwa mmoja – Basil Mramba.

Zaidi ya hayo, walishinda wa kura nyingi. Maana yake ni kwamba wanakubalika katika majimbo yao, na hata nguvu yao inapenya katika vikao vya juu vya chama.

Ndiyo maana baadhi yao (kwa mfano Lowassa) wamefanikiwa hata kupata uongozi katika kamati za Bunge. Anajua nguvu yao ya ushawishi. Ndiyo inayomtisha.

Zaidi ya hayo, CCM kimetumia mabilioni ya shilingi kwa ajili ya “kununulia kura,” kinyume kabisa cha sheria ya gharama za uchaguzi. Ni mbunge gani wa CCM anaweza kujitapa kuwa amepita bila nguvu za ufisadi? Sasa rais na wenzake wanapiga vita ufisadi gani wakati wenyewe wamepita kifisadi, na chama kimejaa wabunge waliopita kifisadi?

Ndiyo maana sisi wengine tunakwenda mbali. Tunasema katika igizo la sasa la kujivua gamba, Rais Kikwete na wenzake, kama wana ujasiri wa kutosha, wasiishie tu kuwafukuza kwenye vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu.

Wawavue na ubunge. Wapoteze kila kitu. Tuanze upya. CCM igombee majimbo hayo bila nguvu ya rushwa. Je, CCM ina ujasiri huo?

Wapo wanaodokeza pia kwamba hata udhaifu binafsi wa rais kiafya ulichangia kupunguza imani na matumaini ya watu. Kwa mfano, madaktari wake walijaribu kufunika funika kwa taarifa zenye utata, lakini walishindwa kumzuia kuanguka hadharani mara kadhaa. Wanadhani hiyo ilikuwa mbinu ya kumwongezea kura?

Hizi ni chache tu, lakini zipo sababu nyingi za kuanguka kwa CCM katika uchaguzi uliopita. Hata maisha magumu yanayowakabili wananchi sasa hivi, ni kigezo kingine cha kuwahamasisha wananchi waichukie serikali na chama chake.

Ndiyo maana wenye akili wanapotazama kampeni hii ya kuvuana magamba wanasema bila woga kwamba tatizo la CCM si watu fulani, bali mfumo. Chama kimejikita katika mfumo wa ufisadi, kinaongoza kwa mazoea, kinakumbatia udikteta wa rais na mwenyekiti, na kinaogopa mabadiliko.

Mtu mmoja amenidokeza kwamba haikuwa kwa bahati mbaya Pius Msekwa kuteuliwa makamu mwenyekiti wa CCM. Ni Msekwa huyu aliyekuwa Katibu Mtendaji Mkuu wa CCM mwaka 1977.

CCM haina muono mpya, au damu mpya za kushika nafasi ya Msekwa katika chama? Maana yake ni kwamba CCM iko nyuma ya wakati kwa miaka 34.

Hii ndiyo CCM inayoshabikiwa na kina Nape waliozaliwa ndani ya kipindi cha u-CCM wa Msekwa?

Ndiyo maana wanashindwa kujivua gamba, maana wao wenyewe ni magamba manene yaliyoshikamana na nyama za chama. Wakidiriki kuyavua, wataondoka na mnofu wa CCM.

Lakini hili haliwezekani kwa sababu CCM bila ufisadi, haiwezi kudumu. Ninachoona ni kwamba, ingawa wanaogopa kujichuna ngozi ili wasife, jitihada wanazofanya sasa ni sawa na kunywa sumu kali ambayo haiwezi kuwaepusha na mauti ya kisiasa. Wanalijua hilo?



Wanasema "kisasi ni sawa na chakula ambacho ladha yake inaongezeka kinapokuwa kimepoa".Maana ya msemo huo ni kwamba kisasi kinamuumiza zaidi mkosaji pale mkosewa anapomvutia muda mkosaji hadi anasahau kuwa alishawahi kumkosea mtu,kisha mkosewa analipiza kisasi.Inakuwa kama kuchonokoa kidonda kilichokwishapona.

Lakini inaelekea Rais Barack Obama hakutaka kusubiri hadi Donald Trump asahau kuwa alikuwa kinara wa fitna kwamba Obama si raia wa Marekani.Na jana alipata fursa mwanana ya "kumfanyizia" tajiri huyo wa uwekezaji kwenye majengo.

Katika hafla ya kila mwaka ya Waandishi wa Habari wanaoripoti habari kutoka Ikulu ya Marekani ambapo mgeni rasmi huwa Rais,Obama alimrushia Trump vijembe vikali lakini katika hali ya utani,kama ilivyo desturi ya halfa hiyo.

Hikuwa siku nzuri kwa Trump aliyehudhuria hafla hiyo kwa mwaliko wa gazeti la Wahington Post.Alipowasili tu alikumbana na sauti za kuzomewa.Lakini alikuwa Obama aliyemnyong'onyeza tajiri huyo kwa vijembe vikali vya utani wenye ukweli.

Obama alimkebehi Trump kwa kijembe kwamba ana furaha suala la wanaodadisi uraia wake sasa limekwisha kwahiyo Trump atapata wasaa wa kuchunguza kama kweli wataalamu wa anga walifika kweli mwezini,na iwapo Tupac na Biggie (Notorious B.I.G) kweli waliuawa.

Lakini kimbembe kwa tajiri huyo hakikuishia kwa vijembe vya Obama pekee kwani mchekeshaji maarufu Seth Meyer hakubaki nyuma katika "kummaliza" Trump.Alimgalagaza kwa kutanabaisha kuwa "Donald Trump amekuwa akieleza kuwa atagombea urais kwa tiketi ya chama cha Republican,jambo ambalo ni la kushangaza...nilidhani jambo pekee analoweza kugombea ni kuwa kituko".

Kadhalika,Obama aliwatania pia baadhi ya wagombea urais watarajiwa wa Republicans kwa kusema tetesi zinaonyesha kuwa Michelle Buchmann,mwanamama kipenzi cha wahafidhana wa Tea Party Movement,alizaliwa Canada na sio Marekani (na kumkumbusha kuwa majungu huwa yanaanza kihivyo).Pia alimtania mgombea mwingine mtarajiwa Tim Pawlenty kwa kudai amesikia kwamba jina kamili la mwanasiasa huyo ni Tim HOSNI Pawlenty (akimaanisha pengine ana asili ya Misri kwa akina HOSNI Mubarak).

Sio siri.Kwa mara ya kwanza kabisa nilimwonea huruma Trump alipokuwa akipigwa vijembe na Obama na Meyer huku ukumbi ukilipuka kwa mayowe.Lakini ndio hivyo,mkuki mtamu kwa nguruwe lakini kwa binadamu mchungu.

Angalia clip ifuatayo kisha jiburudishe kwa video za Tupac na Biggie (kwa vile walitajwa katika hafla hiyo)




Mimi ni Rais wenu,na huyu ndiye mwanangu mpendwa ninayependezwa na ufisadi,oops..ujasiriamali wake

na Mwandishi wetu

RAIS Jakaya Kikwete anakabiliwa na kashfa nzito kutokana na utajiri wa mtoto wake, Ridhiwani. Sasa anatuhumiwa kuitumia Ikulu kumtajirisha mwanawe, ambaye anasemekana ni bilionea.

Kwa nyakati mbalimbali, ukwasi wa mtoto huyo wa rais uliibuliwa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa na Mwenyekiti wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila.

Katika moja ya mikutano yake ya hadhara hivi karibuni mkoani Tabora, Dk. Slaa alisema Ridhiwani amemaliza shule miaka michache iliyopita, lakini hivi sasa ni tajiri bilionea na kwamba ameupata utajiri huo katika mazingira ya kutatanisha.

Jana Mtikila alizungumza na waandishi wa habari katika Hoteli ya Travertine, akidai Ridhiwani amegeuka bilionea kwa muda mfupi “kwa mgongo wa baba yake.”
Akibainisha zaidi uwezo wa kifedha wa kijana huyo, Mtikila alisema hivi karibuni mtoto huyo ambaye ni Mjumbe wa Baraza Kuu la Umoja wa Vijana (UVCCM), aliingiza magari makubwa ya mizigo aina ya “semi trailer” zaidi ya 100 na kudai kuwa yanafanya kazi ya kusomba mizigo DRC na mengine ameyauza.

Alidai pia mtoto huyo wa rais anamiliki makampuni ya ujenzi wa barabara na maeneo mengi ya ardhi kwa lengo la kujenga maghorofa ya kupangisha.

“Huyu ni mtoto mdogo, kamaliza shule juzi, pesa za utajiri wote huu kazipata wapi?” alihoji Mtikila.

Hata hivyo, wiki iliyopita, Ridhiwani alikaririwa na moja ya vyombo vya habari akisema kuwa yuko tayari kutoa ushirikiano kwa Dk. Slaa kuonyesha kila anachomiliki.

Kutokana na tuhuma hizo, Mtikila alimtaka Rais Kikwete naye ajivue gamba kwa kuonyesha mfano, vinginevyo ni uendawazimu kujivua gamba bila mkuu huyo wa nchi kujiuzulu urais na uenyekiti wa CCM.

Huku akionekana kuwatetea Edward Lowassa (Monduli), Andrew Chenge (Bariadi Magharibi) na Rostam Aziz (Igunga), Mtikila alisema Kikwete anawachezea wana CCM na Watanzania kwamba ana nia ya kuwatimua makada hao kwa madai kuwa ni mafisadi wakati yeye ni mshirika wao.

“Kikwete aanze kutoka yeye ndipo awanyoshee vidole hawa Mapacha Watatu alioshirikiana nao kwenye ufisadi wa EPA, Richmond na Dowans, vinginevyo anawadanganya Watanzania. Aanze yeye,” alisema Mtikila.

Alisema anashangazwa na Kikwete kuibuka na dhana ya kujivua gamba kwa kuwatosa marafiki zake watatu wakati chama hicho kina mafisadi lukuki.

Mchungaji Mtikila pia aliorodhesha miradi ya ufisadi aliyomhusisha nayo Kikwete na watendaji wengine serikalini kuwa ni pamoja na IPTL, uuzaji wa iliyokuwa Benki ya NBC, Meremeta, Richmond, Dowans, EPA na nyingine, kwamba zinawahusu watendaji wengi na si mapacha watatu pekee.

”Kikwete aliunda tume kubaini waliochota fedha za EPA na kutakiwa warudishe, lakini hadi sasa hatujui kina nani wamehusika, na kiasi gani cha fedha kilichorudishwa. Kama rais hahusiki na ufisadi huu, usiri wa nini?” alihoji Mtikila.

Alisisitiza kuwa hana maana kuwa Lowassa, Rostam na Chenge ni wasafi, bali anataka orodha ya kuwatimua mafisadi wa CCM iwe kubwa, akiwamo Rais Kikwete kwani ndilo gamba kubwa kuliko yote.

Kuhusu hatima ya CCM na kile alichokiita usanii wa kujivua gamba, Mchungaji Mtikila alisema chama hicho kina ugonjwa wa ‘Nambulila’ ambao mgonjwa hufa na kuzikwa akijiona.

“Wapangwa wana ugonjwa unaitwa Nambulila. Ni ugonjwa unaotokana na tego la mke. Mtu akitembea na mke wa mtu anaupata na anapokufa, anawaona watu wanavyomlilia, wanavyomuingiza kwenye kaburi, lakini hana uwezo wa kusema, hivyo anazikwa akiwa hai, akiona kila kitu. Ndivyo ilivyo CCM, inakufa ikijiona. Hii ndiyo Nambulila,” alisema Mtikila.

Alisema usanii wa kujivua gamba hauwezi kuinusuru CCM kwani ni dhana ya uendawazimu yenye lengo la kuwaghilibu Watanzania.

Sambamba na hilo, Mtikila aliwataja mawaziri wakuu wastaafu, Frederick Sumaye, Joseph Warioba na Cleopa Msuya, kuwa ni miongoni mwa watu wachache wasafi ndani ya CCM.

Alipobanwa kueleza usafi wa Sumaye wakati miaka sita iliyopita alipata kumtaja kwamba ni fisadi namba moja, Mtikila alikiri kutoa kauli hiyo na kuongeza kwamba baada ya kufuatilia walibaini kashfa dhidi yake zilikuwa za uongo na zilipikwa ili kumrahisishia Kikwete njia ya kuwa rais.

“Kweli niliwahi kumtaja kama fisadi namba moja, tulipofuatilia tulibaini kwamba haikuwa sahihi na ndiyo maana leo namtaja kama mmoja ya viongozi wachache wasafi,” alisema.

Aliwataka wana CCM kutobeza ushauri wa viongozi hao wachache wasafi na kutolea mfano wa Warioba na Sumaye walivyoshambuliwa na UVCCM walipotoa mawazo yao.




Opinion by Jerome McCollom
(8 Hours Ago) in Society

President Obama, in far beyond what he is legally required to do, released his long-form birth certifiate from the state of Hawaii. He had already released the short-form certificate, the one that Hawaii gives to those born there, and which was already good enough to get issued a U.S. passport.

Who takes credit, well Donald Trump. See, Trump wants attention, and he says he is going to run for the presidency, and to do so he is trying to attract birther support. Well, Trump had stated before Obama released the long form in an interview with Meredith Vieira.

DONALD TRUMP:

" …You are not allowed to be a President if you are not born in this country. He may not have been born in this country, and I tell you what: three weeks ago I thought he was born in this country — right now I have some real doubts. I have people that actually have been studying it, and they cannot believe what they’re finding."

MEREDITH VIEIRA:
"You have people now, down there, searching, I mean in Hawaii?"

DONALD TRUMP:
"Absolutely. Absolutely, and they cannot believe what they’re finding."

When George Stephanopoulos asked him about these supposed investigators, after Obama's release of the original birth certificate, The Donald responded, "That’s none of your business right now.”

What?! The Donald runs for the presidency by saying he has investigators who "cannot believe what they are finding', and now that isn't a concern? Who are these incompetent investigators on Trump's payroll? Because he sure needs to say you're fired to them, if anyone. Look at the ego on a man who gets angry that anyone dare question or point out that either he has incompetents/liars on his payroll or that he was lying himsef. Actually, it is pretty clear that Trump lied about this.

Or, maybe he was just believing the blather of one of those birthers writing books attacking Obama as a non-citizen, the Jerome Corsis and Joseph Farahs of the birther movement The Donald is actually taking credit for his absurd crusade to get Obama to release a certificate that wasn't necessary to prove he was a citizen, because Obama already released the short form version that the state of Hawaii releases to everyone. We don't need an energy solution in America, we need just to power our electronics and lights from the hot air that is Donald Trump.


Jasusi ChatBot

Categories

Blog Archive

© Evarist Chahali 2006-2022

Search Engine Optimization SEO

Powered by Blogger.